Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Free wifi za waarabu zinawapa muwasho hao mabeki 3kahaba housemaid la kikenya lina monitor kila ninacho andika hapa jf.
liko pre-occupied na post zangu...nali keep busy.
moral of the story is, ukiona mtu anakufatilia sana basi ujue wewe ni celebrity wake.
Can you prove that among 2.2 million followers there are Kenyans? Do you know some celebrities have over 100M followers yet remain unknown here?i'm not surprised, it's something very common for kenyans in jf to pretend like they know nothing about stuff or people from tanzania. you are in a state of denial.
FYI this kid is super talented singer, an instagram verified user who has a bigger number instagram followers than nyashinski and khaligraph.
mbaya zaidi, among his 2.2 million followers are kenyans.
kujifanya humjui haitasaidia kukuondelea wivu. get the strap.
View attachment 930257View attachment 930258View attachment 930259
Mnajua kujitetea nyie, kwamba hamna roho mbaya au?Ingekua bora baada ya kutiririka hisia zako halafu ukatujuza habari kamili maana kuna wale tunaishia kusoma povu zako haalfu hatimaye tunabaki kapa bila kujua nini kilitendeka, weka taarifa au link tukajisomee.
Chochote chaweza kutokea maana hata Watanzania wenyewe kwa wivu wenu huwa mnafuatana hadi Kenya, nakumbuka siku meneja wa Diamond akija kumzimia Ali Kiba mike huku.
Huyo Ashley hana lolote kubwa la kufanya ahujumiwe na Wakenya, bora ungesema msanii wa kuskika kama akina Diamond, huyo Ashley ni dogo tu bado anajitutumua kuamka, binafsi hata sikua namkumbuka hadi juzi mlipoleta mada humu eti kapokelewa kule kijijini maeneo ya Turkana mkasema anapendwa zaidi ya rais ndio ikabidi nimfuate Youtube kujikumbusha ni nani, mara ya mwisho mimi kuskliza wimbo wake alikua mtoto bado, ule wimbo wa 'naenda kusema kwa mama'
You're very useless.asante kwa kuandika post ya kijinga.
Ulicho kisema hapa kina ukweli 100% kuna grup flani la kenya la fb yaani wanalaumu sana kwanini wasanii wa Tanzania wanapewa support kenya kuliko wanamziki Under graund wa kenyakwa kenya katika hili chochote kinawezekana..... acha kumsingizia shetani.
Generally you can't beat me in anything, but you're useless.i can't beat you in being useless.
Blah blah nyingi zilizojaa siasa,wanamuziki wetu wanafanya sana shows Kenya na mbona huwa hakuwi na sabotage?ameanguka baada ya stage aliyokuwa anatumia ku-perform kuporomoka.
i'm 100% sure hii inaweza kuwa ni sabotage. nalisema hili kwasababu siku zote mkenya hapendi kuona mtanzania ana prosper katika kazi zake.
kuna baadhi ya blind patriots wa kikenya wanaumia sana kwenye nafsi zao wanapoana vijana wanamziki toka tanzania wanapata kandarasi ya ku-perform kwenye events kubwa za kenya.
inawezekana wanafanya hivi ili kupunguza kasi ya wanamuziki wa tz kwenda kufanya show kenya.ifahamike tu kwamba hata diamond platnumz ana ratiba ya kupeleka wasafi festival ndani ya kenya na mipango yote ipo well organized.
but pia yawezekana ikawa ni sabotage within kenyan music promoters and event organizers themselves. yaani utakuta wakenya wao kwao wanafanyiana hujuma since huwa hawapendani.
pole sana aslay.
View attachment 930134
video[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Pole sana demu wa mwanamuziki wa bongo aliezika mbuzi wanne weupe wakiwa haiBasi waambie wasikuje. Wanatumia ushirikina ili wafahamike/watajirike.Hivi majuzi kuna mwanamuziki Fulani bongo alizika mbuzi weupe wanne wakiwa uhai. Msituambukize uchawi. Kaeni huko huko
Ulicho kisema hapa kina ukweli 100% kuna grup flani la kenya la fb yaani wanalaumu sana kwanini wasanii wa Tanzania wanapewa support kenya kuliko wanamziki Under graund wa kenya
Wasanii wa Tanzania wanapo enda kenya kufanya event wawe makini sani, kuna vita ya chini kwa chini, siku tutapoteza wasanii wa Tanzania
Kumbe hamjajibu.....hata sisi hatujaanzaSignature yako sijaielewa, halafu hawa wasanii wenu mnaowalilia siku wakianza kuhujumiwa sijui ndio mtaomboleza au vipi, mnalazimishia na kusukumizia, kwa sasa Wakenya huwa hawana haja na shughuli zenu huku pamoja na kwamba kutwa hamkomi kuhujumu kila kinachotuhusu na kutusema vibaya tangu chuki mliyolishwa na Nyerere, bila ya Mkenya yeyote kujibu mapigo.
Na we si umekiri una paramiwa na maboss wako wakiarabuKumbe ni ukweli. Nyie watu ni wachawi. Wewe si umekiri huwa unawala albino?
Wakina Janerose mkata maunoHao ni akina nani?
Sasa wewe na kadada mnaniuliza nini jamani? Yaani mnaelekeza mihemko kwangu kisa ngozi nyeupe hakuwapa hela wiki iliyopitView attachment 932182
shukrani sana comrade kwa kueleza ukweli.Ulicho kisema hapa kina ukweli 100% kuna grup flani la kenya la fb yaani wanalaumu sana kwanini wasanii wa Tanzania wanapewa support kenya kuliko wanamziki Under graund wa kenya
Wasanii wa Tanzania wanapo enda kenya kufanya event wawe makini sani, kuna vita ya chini kwa chini, siku tutapoteza wasanii wa Tanzania