Tutaamini vp na hivyo vyombo vya nje au hapa tunachagua wa kumuamini na si kuangalia uhalisia wa kinachosemwa? Hebu vuta picha kama sie wenyewe tu ambao ndio tunaishi hapa Tz ila tunatofautiana kwenye vifo vya corona wengine wanasema watu wanakufa sana wengine hawaoni hao watu wanaokufa sana na wote tunaishi nchi mmoja,sasa hivyo vyombo vya nje nao tutawaamini kwa lipi?Bora vyombo vya kimataifa sasa vitumike kueleza nini kinaendelea hapa nchini ili watu wajue hali halisi ikoje.
Wewe jua taarifa za mwisho wagonjw walikuwa 480,vifo 20.Kwahiyo unataka kusema mara ya kwanza waziri wa afya aliipotangaza wagonjwa wa covid 19 na mara ya pili tena waziri wa afya ilipotoa taarifa kuhusu wagonjwa wapya wa covid-19 akili yako haikuweza kuona kama idadi ya wagonjwa wapya ilikuwa imeongezeka? Mwanzoni serikali ilikuwa inakaa kwa muda gani kisha wanatoa update? Kwanini saivi wakae zaidi ya wiki mbili pasipo kutoa update za wagonjwa wa covid-19?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekufa wewe na familia yako yote ingependeza zaidiSasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
In Magu voice
Tatizo lilivyo hata huku mitandaoni hakuna mashuhuda wa waliyofiwa na ndugu zao au hata majirani kwa vifo vinavyojulikana kabisa ni vya corona ili kuja kutoa ushuhuda ili tupate picha halisi kinachoendelea kuhusu corona.Bora mabeberu waseme. Maana sisi huku habari hatuzipati kabisa yani hakuna updates.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itacost nini? Kwan vifo viko Bongo tu hapa shehe? Ugonjwa siyo kwamba uko kwenu tu japo upo.
Sent using ubishi.com
Hata kama ni kimoja kwanini ufiche. Alafu kuhusu USA hawa watu wanatudanganya. Hawa watu wanazikwa wapi. Mbona hatuini makaburi kama BrazilSasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Kwa kuwa uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo ndio maana umeandika ulichokiandika. Naomba ufanye hesabu ya Kutafuta CASE FATARITY RATE (CFR) kati ya Tanzania na huko USA halafu utagundua ni nchi gani tatizo lipo kubwa usiangalie idadi ya vifo pekee piga hesabu ndugu.Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Tembelea miji ya Dar na Arusha. Ulizia sehemu zote wanakozikia.
Kwahiyo hadi sasa tujue ya kwamba hakuna maambukizi mapya hivyo kwa takribani wiki tatu sasa, watanzania tumejitahidi kupambana na hili janga la covid-19? AmaWewe jua taarifa za mwisho wagonjw walikuwa 480,vifo 20.
Ikitoka taarifa nyeingine ndio itakuwa ya kushika.
Kaka tuchati
Ukiona meko katoka chato na kuja dar ujue hali imetulia.. namba za ukweli anapelekewa yeye ndio ana amua nini kitangazwe
Sent using Jamii Forums mobile app