Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Huwezi kumnyima 'credit' zake juu ya hao wachimbaji wadogo wadogo wa madini na soko la madini. Huwezi kuuficha ukweli huo kwa yeyote.
Katika ukichaa wako, kuna mambo mazuri aliyafanya pia.
Ukweli upi Sasa? 🤣🤣 Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? 😁😁😁😁

Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.

On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu wa mazingira walizuia.

Samia anajua kutafuta hela ndio maana anafaulu usilinganishe na wajamaa unaowatetea ni waharibifu na watumiaji wa vya wengine
 
Mwendazake hana huo ubavu wa ku deal na maisha ya watu yeye alikuwa busy na Sgr,bwawa na mambo kama hayo ambayo hayana maana Kwa maisha ya individuals wa huko Chunya,Katavi and the likes.

Mali ipi imeuzwa na Kwa bei gani? Hata Mkapa mlisema ameuza Mali ya Nchi ila ndio hizo Bado zipo 🤣🤣
Bandari, na mbuga za wanyama na watu kuhamishwa makazi kupisha wawekezaji.
Yeye kuamini kwamba waTanzania hawawezi kuleta maendeleo ya nchi yao; bali tuwategemee watu kutoka nje waje kutuletea maendeleo hapa. 'Philosophy' ya kijinga sana hii kuwa nayo kiongozi wa nchi.
 
Ukweli upi Sasa? 🤣🤣 Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? 😁😁😁😁

Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.

On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu wa mazingira walizuia.

Samia anajua kutafuta hela ndio maana anafaulu usilinganishe na wajamaa unaowatetea ni waharibifu na watumiaji wa vya wengine
Wapiga makofi wa samia kama kawaida yenu, tafiti inewaumbua endeleeni kupiga tu makofi lakini ukweli uko wazi
 
Ukweli upi Sasa? 🤣🤣 Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? 😁😁😁😁

Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.

On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu wa mazingira walizuia.

Samia anajua kutafuta hela ndio maana anafaulu usilinganishe na wajamaa unaowatetea ni waharibifu na watumiaji wa vya wengine
Katika yote uliyoyaeleza kuhusu Wilaya ya Chunya na wachimbaji wadogo, karibu yote ni yale aliyoyasimamia Magufuli. Samia hajaongeza chochote cha maana hapo.
 
Bandari, na mbuga za wanyama na watu kuhamishwa makazi kupisha wawekezaji.
Yeye kuamini kwamba waTanzania hawawezi kuleta maendeleo ya nchi yao; bali tuwategemee watu kutoka nje waje kutuletea maendeleo hapa. 'Philosophy' ya kijinga sana hii kuwa nayo kiongozi wa nchi.
#noma sana
 
Nchi hii wizi wa kura uko kwenye vinasaba, kama haikutokea kama wasimamizi wa uchaguzi wanavyotaka, wanafuta matokeo kama ilivyowahi kutokea Zanzibar.
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Semeni tu mumetishwa na wale chawa. watanzania wengi wanajua mipango ya uchumi ya magufuli ilika mizuri kwa namna alivyoleta matokeo haraka kutokana na usimamizi wa mapato ya serikali kwa jinsi alivyodhibiti rushwa uzembe na ufisadi serikalini. Hebu fikiri kiongozi wa nchi unawaambia watumishi wa serikali wale kwa urefu wa kamba zao za malisho unategemea nini hapo.
 
Wamejitekenya afu wakacheka wenyewe, hili jambo la uchawa kwa mama kuna watu kitawapata kitu kujipendekeza. Sssa imagine unashindanishwa na marehemu na anakushinda sijui unajisikiaje kama mtu alie hai.
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Rais aliyerithi kiti anatakiwa afanye maridhiano na hayati JPM pamoja na wananchi wengi wa kawaida vinginevyo huko anakoelekea itabidi alazimike kuongea lugha yao kwa vyovyote ili akubalike.

JPM policies regarding the country's economic growth were better than the rest of the past and the sitting chair.

Someone sitting on the majesty chair has been mercilessly crucified amid the chanting rogues.

Waandishi wa gazeti hili la mwananchi na citizen si ndio wale walienda hadi Chato kukejeli na kuandika kitabu kumshushia hadhi hayati JPM? This is just a tip of the worst to come before the general elections come 2025.

Wakianzisha poll nyingine ndio watapigwa vibaya zaidi ili aibu iwaangukie na hawatainuka tena
 
Uzuri ni kwamba sisi tumeshika ya awali tu , Awali ni awali na wala hakuna awali mbaya
Hatimaye mwanachadema nae ameamua kusema ukweli wa moyo wake bila kujali chama alichopo 😂 safi sana mkuu, ni vyema kutofautisha mambo yako binafsi na za chama ulichopo
 
Back
Top Bottom