ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ukweli upi Sasa? 🤣🤣 Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? 😁😁😁😁Huwezi kumnyima 'credit' zake juu ya hao wachimbaji wadogo wadogo wa madini na soko la madini. Huwezi kuuficha ukweli huo kwa yeyote.
Katika ukichaa wako, kuna mambo mazuri aliyafanya pia.
Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.
On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu wa mazingira walizuia.
Samia anajua kutafuta hela ndio maana anafaulu usilinganishe na wajamaa unaowatetea ni waharibifu na watumiaji wa vya wengine