ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ukweli upi Sasa? π€£π€£ Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? ππππHuwezi kumnyima 'credit' zake juu ya hao wachimbaji wadogo wadogo wa madini na soko la madini. Huwezi kuuficha ukweli huo kwa yeyote.
Katika ukichaa wako, kuna mambo mazuri aliyafanya pia.
Bandari, na mbuga za wanyama na watu kuhamishwa makazi kupisha wawekezaji.Mwendazake hana huo ubavu wa ku deal na maisha ya watu yeye alikuwa busy na Sgr,bwawa na mambo kama hayo ambayo hayana maana Kwa maisha ya individuals wa huko Chunya,Katavi and the likes.
Mali ipi imeuzwa na Kwa bei gani? Hata Mkapa mlisema ameuza Mali ya Nchi ila ndio hizo Bado zipo π€£π€£
Mimi nilidhani nao wana haki ya kupiga kura π€Waliopiga kura itakuwa wanyonge walalahoi wala mihogo tu
Si umeweka 'Table" hapo kuhusu habari ya wilaya ya Chunya na maelezo ukayaongeza; sasa unauliza kitu gani tena?Ukweli upi Sasa? π€£π€£ Mbona mnalazimisha mliyoshindwa?
Wapiga makofi wa samia kama kawaida yenu, tafiti inewaumbua endeleeni kupiga tu makofi lakini ukweli uko waziUkweli upi Sasa? π€£π€£ Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? ππππ
Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.
On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu wa mazingira walizuia.
Samia anajua kutafuta hela ndio maana anafaulu usilinganishe na wajamaa unaowatetea ni waharibifu na watumiaji wa vya wengine
Asisahau kuwa 'poll' hiyo ilikuwa katika lugha ya kiingereza. Ni walalahoi wachache sana wanaoielewa lugha hiyo.Mimi nilidhani nao wana haki ya kupiga kura π€
Hakuna Cha tafiti ni wajinga ndio walikuwa wanaulizwa.Wapiga makofi wa samia kama kawaida yenu, tafiti inewaumbua endeleeni kupiga tu makofi lakini ukweli uko wazi
Hawa ni watu wenye Simu Janja (smartphone), tena wenye uwezo wa kuingia mitandaoni. Kama hawa ndio "wajinga" wetu,, basi nchii hii tutakuwa tumepiga hatua mbele sana.Hakuna Cha tafiti ni wajinga ndio walikuwa wanaulizwa.
Kwani wewe unaona haya yanayoelezwa hapa ni uongo? ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C6GjZo7szsk/?igsh=bm1lY2RuN3JmNGFx
Itakuwa waliagizwa na nape ili kupima upepo.Gazeti la Mwananchi wamejivua nguo, siku nyingine kama hawana uhakika na matokeo ya jambo wasijaribu kulifanya.
Katika yote uliyoyaeleza kuhusu Wilaya ya Chunya na wachimbaji wadogo, karibu yote ni yale aliyoyasimamia Magufuli. Samia hajaongeza chochote cha maana hapo.Ukweli upi Sasa? π€£π€£ Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? ππππ
Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.
On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu wa mazingira walizuia.
Samia anajua kutafuta hela ndio maana anafaulu usilinganishe na wajamaa unaowatetea ni waharibifu na watumiaji wa vya wengine
Ndo maana wanatangatanga kwa sasa ,imepita hio Magufuli jembe hata wakijitahidi vipi kumzima,,,,,marehemu vs walio hai
#noma sanaBandari, na mbuga za wanyama na watu kuhamishwa makazi kupisha wawekezaji.
Yeye kuamini kwamba waTanzania hawawezi kuleta maendeleo ya nchi yao; bali tuwategemee watu kutoka nje waje kutuletea maendeleo hapa. 'Philosophy' ya kijinga sana hii kuwa nayo kiongozi wa nchi.
Tafuteni slogan ya kuvutia kama "ukweli na uwazi", "maisha bora kwa kila Mtanzania"Hakuna Cha tafiti ni wajinga ndio walikuwa wanaulizwa.
Kwani wewe unaona haya yanayoelezwa hapa ni uongo? ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C6GjZo7szsk/?igsh=bm1lY2RuN3JmNGFx
Semeni tu mumetishwa na wale chawa. watanzania wengi wanajua mipango ya uchumi ya magufuli ilika mizuri kwa namna alivyoleta matokeo haraka kutokana na usimamizi wa mapato ya serikali kwa jinsi alivyodhibiti rushwa uzembe na ufisadi serikalini. Hebu fikiri kiongozi wa nchi unawaambia watumishi wa serikali wale kwa urefu wa kamba zao za malisho unategemea nini hapo.Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhiπ.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Rais aliyerithi kiti anatakiwa afanye maridhiano na hayati JPM pamoja na wananchi wengi wa kawaida vinginevyo huko anakoelekea itabidi alazimike kuongea lugha yao kwa vyovyote ili akubalike.Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhiπ.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Kumbe kulikua na hii poll??mbona hatukujua???mm sijapiga kura naomba muongeze yangu apo kwa mpendwa wetu Magufuli tafadhaliTimu jiwe-mataga watajivuna na kurusha maneno sana kwa kina ChoiceVariable Stuxnet chiembe na FaizaFoxy
NA BA DO. Jpm alikuwa ni heavy weight president, unamulinganishaje na feather weight president.Hii Mwananchi yamejipambanuwa kuwa magazeti ya hovyo kabisa Tanzania.
Hatimaye mwanachadema nae ameamua kusema ukweli wa moyo wake bila kujali chama alichopo π safi sana mkuu, ni vyema kutofautisha mambo yako binafsi na za chama ulichopoUzuri ni kwamba sisi tumeshika ya awali tu , Awali ni awali na wala hakuna awali mbaya