JPM ameongoza nchi kwa miaka 6, kwahy uzoefu wenu kazini mlitaka kuupata kwenye awamu ya JPM ila awamu za nyuma hamkutaka uzoefu.?Huwezi kujisifia unakuza uchumi wakati unashindwa kupigania wananchi wako. Ona eti mchina anafungua supermarket na hiyo unaweka kwenye data kama FDI. Raia wa kigeni wanakuja kufanya kazi ambazo waTZ tunaweza kufanya. Magufuli nakumbuka alitoa limit ya raia wa kigeni kwenye kila kampuni kwa sababu alijua lazima Watanzania tujengewe uwezo na hii linatuwezesha kupata maslahi zaidi na kupunguza uondoshwaji wa pesa za kigeni. Ona sasa dollar inavozidi kupaa.
Sukuma gang mtateseka sana...... Magufuri aliishakufa
Anajaza bwawa lake- N'more!ST.MAGUFULI anashusha limvua kwanza picha lianze
uonevu grade A π π πππππKushindanishwa na JPM ni kuonewa tuu π
Km una akili, hizo ni chokochoko sasa mama aamue kucheka nao au? Ukishaanza kupigiwa kura na mfu ni zaidi ya udhalilishaji. Hao waliompigia kura wamfuate kuzimu huyo mzimu wao. Ila Rais ajue hakuna uhuru usio na mipaka. Kuna kundi limejipanga piga ua garagaza 2025 wamwaibishe Rais wetu lina watu wakubwa. Nchi yetu siyo ya kufanyia mazoezi, hao wananchi si ni wakenya? Salalee kwanini wasifungashe?Nilijua mapema na nilisema walio hai kushindanishwa na wafu haya mmemvua nguo mtu, waendelee kucheza na jina Mwendazake kwenye ajenda zao watadhalilika sana!
Nyie matahira sikutwa mlikua mnatekwa na yule shetani na yule domo kaya wenu alitiwa shaba huyo mnayemsifia leoUzuri ni kwamba sisi tumeshika ya awali tu , Awali ni awali na wala hakuna awali mbaya
Watakufunga jela tena ndio ukiiweka online tu balaa zitoHapo nimewaza kuwa, 2025 kulia tuweke picha ya Mwendazake, Alafu kushoto tuweke saa100,
Mwendazake lazima aibuke na ushindi kiti cha uRais πππ
Nyinyi mnaoteseka kutwa mitandaoni kumsafisha marehemu ndio mmeangukia puaKufa sio tija mzee hata babu yako alikufa na kikubwa mmeangukia pua!
Ni matahila tu ndio watamkumbuka kiumbe muuajiJPM kusahaulika mioyoni mwa watu ni kazi sana
Matahira 59 wenye akili 17Ni matahila tu ndio watamkumbuka huyo kiumbe
NdoigeUnajua hawa jamaa wanajifanya loyal kwa mamlaka ila ujumbe umeshafika!
Kama ni ngumi basi Msoga gang wamepigwa ngumi ya kisogo maana hata kuiona ilikotokea ni ngumu kwa hiyo ni ngumi isiyo na maandalizi ya kuipokea!
Mbaya zaidi unashindanishwa na marehemu na bado unapigwa za uso πuonevu grade A π π πππππ
ππππππMbaya zaidi unashindanishwa na marehemu na bado unapigwa za uso π
Fanya kazi bibieIla tukubali tu ukweli Rais aliyeko madarakani kwa sasa nchi imemshinda. Yaani kwa ufupi tu wahuni wamemzidi kila upande.
Hali ya maisha mtaani imekuwa ni ngumu kupitiliza. Hela haishikiki! Na hata ikitokea ukaishika, inapukutika kirahisi tu ndani ya muda mfupi! Dah!! Halafu kuna watu wanataka atawale mpaka 2030! Sasa si tutapoteana kwa hali hii!
Maana mafisadi wanafurahia tu maisha! Huku wale wananchi wanaopambana kwa njia halali, wakiendelea kutaabika!
Alimuua naniNi matahila tu ndio watamkumbuka kiumbe muuaji
Hii ni sawa sawa mtu aulize tende na muwa kipi ni kitamu zaidi halafu ategemee mtu amjibu muwa halafu majibu yanakuja kinyume.Wao walitegemea majibu ambayo walioulizwa hawakuyaunga mkono, badala ya kukubali matokeo wanakana vitendea kazi vyao kuwa ndiyo vibovu!
Yaani chama kisimame na killer then kipate ushindi?Hahahaha maana yake chama kitakachosimama na Dkt Magufuli kitapata ushindi wa 57%
MumeoAlimuua nani
Jiwe alikua killerWewe una chuki tu na watu wa Kanda ya ziwa hasa Wasukuma lakini kusema una sababu ya msingi ni uongo uongo wako!
Kamjazeni upepo aje amalizie ingwe yakeHata ukitaka ziendelee kupigwa hadi 60 million, JPM atalambakura zaidi ya 90%