Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Ombeni gazeti la uhuru na nyie chawa wa mama mpige kura ili mama yenu ashinde kwa kishindo.
Au mlitaka form iwepo moja kama mnavyodai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ombeni gazeti la uhuru na nyie chawa wa mama mpige kura ili mama yenu ashinde kwa kishindo.
!Kwani hamuwezi kupigisha kura kwenye lile gazeti lenu la uhuru na nyie lilosema mama yenu hata gombea 2025 mpaka mfungie gazeti la watu
Wanyonge, walalahoi , wala mihogo ndiyo wana mabando ya kuchezea ( Simu zao data iko on muda wote).Waliopiga kura itakuwa wanyonge walalahoi wala mihogo tu
Samia anapenda kusifiwa tu hataki watu wawe huru kutoa mawazo yao jinsi anavyoipeleka nchi kuzimu. Baada ya kuona nchi imemshinda kuongoza, sasa ameanza vitisho uchwara kuwatishia watafiti bila sababu za msingi.Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Radhi ya nini,?Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
#Tushaikamata tayari hii mkuuUzuri ni kwamba sisi tumeshika ya awali tu , Awali ni awali na wala hakuna awali mbaya
Pilato akasema Niliyoandika nimeyaandikaUzuri ni kwamba sisi tumeshika ya awali tu , Awali ni awali na wala hakuna awali mbaya
Yaani Magufuli atawashinda mno hao. Najua lingeongoza jimama wasingeomba radhi lakini masikini mfumo umewafanya waombe radhi because they are not free to such extent.Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Hahahaha wewe acha tu. Unajua Dkt Samia wanaendelea kumlaghai na ile timu yake. 2010 Dkt Kikwete alishinda kwa mbinde ina maana kama siyo Dkt Magufuli 2015 chama mfu aka mifupa aka NGO ya gaidi mbowe ingeweza kushinda ila isingepewa nchi kwa sababu kuna jambazi la kuteka magari lema ndani yakeHahhahah hii weekend ni nzuri sana! Uchaguzi unakuja wajipange sana hasa wanapoamua kumponda Magufuli! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
2025 kazi wanayo kama ni huyu mama kwa heri mwalimu!SIKU MTU AKIJITOKEZA AWAHAKIKISHIE KUWA ATAKUWA MAGUFULI AKIWA RAIS,CCM ITAANGUKA.
Hahahaha maana yake chama kitakachosimama na Dkt Magufuli kitapata ushindi wa 57%Hii ni kama gazeti la majira 1995 lilipotangaza matokeo ya uchaguzi zanzibar kuwa shariffu Hamadi alishinda likafungiwa lakini ukweli haufutiki!