Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Huo huo niliokuonesha hapo Juu, Magufuli alishindwa alikuwa anasingizia Sgr 🤣🤣

Nyie wajinga Mimi hamnisezi maana nakupeni facts nyie mnaleta tantalila 😁😁
Mpaka hapa nahitimisha kusema, Wapumbavu wengi kama wewe na majizi, wauza ngada, wafoji vyeti, ndio pekee mtaendelea kumpinga Magufuli
 
Sasa linganisha bln 700 Kwa miaka 3 vs Bilioni 700 miaka 5.. Maneno mengi sana ila takwimu zinawakataa.

Mnapora watu pesa unaleta stori za ega 😁😁

Na hakika hata tukilinganisha na JK lazima atamzidia Mwendazake bila hata hizo ega na porojo zingine 😂😂
Hakuna wa kumzidi mwendazake. Mama karuhusu wezi waibe ili wakafungue viwanda. Magufuli hakuruhusu wizi ila watu wawe na clean money na walioinvest kijanja janja bila kulipa kodi toka zama za JK walitubu kwa DPP.

Mwendazake hakupewa hela za ubwete kama anazopata Samia kwa kugawa rasilimali bure kwa wageni. Angezipata nadhani angefanya mara 10 ya sasa.
 
Hakuna wa kumzidi mwendazake. Mama karuhusu wezi waibe ili wakafungue viwanda. Magufuli hakuruhusu wizi ila watu wawe na clean money na walioinvest kijanja janja bila kulipa kodi toka zama za JK walitubu kwa DPP.

Mwendazake hakupewa hela za ubwete kama anazopata Samia kwa kugawa rasilimali bure kwa wageni. Angezipata nadhani angefanya mara 10 ya sasa.
Doh!

Umeongea ukweli wenye kung'ata mno mkuu
 
Payroll ipi Sasa Mimi nalima mahindi huku Mpimbwe na tunauza.kwa bei nzuri ya Samia.

Yaani unanilazimisha nimpambe mtu ambae hakuwa na Msaada Kwangu?

Mwisho usipotoka Wala kupata kazi awamu ya Mama hesabu hasara maana watakuja wapuuzi wengine kutoka hiyo dini yenu ya kitapeli kuharibu maisha ,subiria Samia atoke utaona.
Kama hujui watu walipata hela zaidi kwa Magufuli kuliko hata sasa tena ni raia wa kawaida tu maana biashara nyingi zilikuwa zinaendeshwa kwa haki. Sahizi watu wanaopata hela ni wenye mitaji mikubwa tu wale maskini wanaunga unga mwana hali tete na huduma za kijamii mbovu kuliko maelezo.
 
Payroll ipi Sasa Mimi nalima mahindi huku Mpimbwe na tunauza.kwa bei nzuri ya Samia.

Yaani unanilazimisha nimpambe mtu ambae hakuwa na Msaada Kwangu?

Mwisho usipotoka Wala kupata kazi awamu ya Mama hesabu hasara maana watakuja wapuuzi wengine kutoka hiyo dini yenu ya kitapeli kuharibu maisha ,subiria Samia atoke utaona.
Samia hana maamuzi na bei za mazao au bidhaa nyingine yoyote ile
 
Kama hujui watu walipata hela zaidi kwa Magufuli kuliko hata sasa tena ni raia wa kawaida tu maana biashara nyingi zilikuwa zinaendeshwa kwa haki. Sahizi watu wanaopata hela ni wenye mitaji mikubwa tu wale maskini wanaunga unga mwana hali tete na huduma za kijamii mbovu kuliko maelezo.
Anajua tatizo chuki zake Kwa kamanda magufuli ndio zinamtesa
 
Anajua tatizo chuki zake Kwa kamanda magufuli ndio zinamtesa
Huyo jamaa namuonaga ni mjinga fulani hivi na mpiga zeze fulani hivi wa maboss zake na ili tu alipwe, lakini anachokuwa akikitetea ni ujinga mtupu
 
Performance ya samia kamwe haitokuja kufikia ya magufuli hata aongoze miaka 100
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Hivyo vigezo walivyovitumia ambavyo havikuwa sahihi, mbona hawajavitaja?
 
How can I put this?🤔
👇
20240425_170715-jpg.2973698

Please read.
It's vague. You can't make any meaningful statistical analysis without knowing the sampling methods
 
Hakuna fact hata moja. wewe na vipofu wenzio mnajihangaisha mwisho wa siku mtatumbukia shimoni
Hakuna fact hata moja. wewe na vipofu wenzio mnajihangaisha mwisho wa siku mtatumbukia shimoni
Hakuna fact hata moja. wewe na vipofu wenzio mnajihangaisha mwisho wa siku mtatumbukia shimoni
Sio facts ni nini? Tunajihangaisha kuganyaje? 😂😂

Bado hujasema soma hiyooo 👇👇
20240425_070028.jpg
20240425_070033.jpg
 
Back
Top Bottom