DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pole sanaa mkuu... lkn inawezekana ilikua bahati mbaya mpaka ikapelekea umauti wa mwanao, pia walimu wengi wana na matatizo ya afya ya akili, amini ivo.. msamehe tu hata akikamatwa leo, uhai wa mwanao hautarejea.. pole sanaa Mungu akutie nguvu kwenye hili gumu.
 
Kingine wazazi na walezi wengi huwa hawatilii maanani medical form zitolewazo na taasisi kama shule kwa wanafunzi kipindi wanapohitaji kujiunga na shule.

Unakuta mzazi anampa pesa kidogo mtaalam wa afya, kisha mtaalam anajaza tu mtoto yupo sawa. Kumbe unakuta mtoto anamashida yake mengi ya kiafya. Pengine angempimwa na kukutwa na shida flani, basi angejumuishwa katika kundi la watoto wanaohitaji special care and treatment mashuleni.
 
Ulikuwepo wakati akipigwa hizo ngumi? Umeambiwa Kansa ya damu inaweza kusababisha kupasuka kwa bandama( Kitaalam I naitwa Spontaneous Rupture of Spleen) bado umekazana kusema alipigwa ngumi!
Ww jamaa kama ni Dr basi unajidhalilisha humu ndani, yaani umen'gan'gania Spontaneous rupture of spleen tu, ushaambiwa dogo alichapwa fimbo kwann usianzie hapo kwanza? Hiyo sababu unayotuletea humu ndani inge make sense kama huyo marehemu asingekuwa amekumbana na tukio lolote.
 
Your reasoning faculty paralysed
 
Nipo pamoja nawew
 
Ulikuwepo wakati akipigwa hizo ngumi? Umeambiwa Kansa ya damu inaweza kusababisha kupasuka kwa bandama( Kitaalam I naitwa Spontaneous Rupture of Spleen) bado umekazana kusema alipigwa ngumi!
Acha UJINGA. Wewe ndo huyo mwalimu? Mwalimu amekataa kuwa hakumpiga ngumi kama madai ya mzazi anavyosema? Huyo mwalimu yupo wapi aseme kuwa hakumpiga mangumi na mateke? Hapa hoja ni upatikanaji wa huyo mwalimu ambaye tukio la kifo limeanzia kwake. Ajieleze. Alimpiga mtoto kwa kiwango gani.
 
Waliohusika na kumdhulumu haki ya kuishi mtoto huyu wote wawajibishwe.

Ifikie hatua kuongezwe kigezo cha utimamu wa afya ya akili hasa empathy kwa watumishi wanaohudumia wasio na uwezo/mamlaka juu yao ikiwemo madaktari na waalimu wa watoto wadogo.
 
Wewe hujaguswa na msiba huu, na umeshahitimisha kuwa marehemu alipigana na wenzake au alipata ajali, mimi wakati nasoma tena nikiwa mdogo kabisa kuna mwalimu wa hesabu liyeitwa Marandu,aliwahi kuniambia kabisa kuwa ananichukia bila sababu yoyote, nilipomweleza mzazi wangu akanihamisha shule fasta, mwalimu kama huyo angeweza kuniua bila sababu yoyote!!
 
Hapa tumepeta maelezo ya mzaz tayr ushachagua upande, nikulize maelezo ya mwalim umeyapata?

Mzaz n mwanadam kam tulivo wengine anaweza kudanganya pia ndomana hata mahakamani pande mbili zote husikilizwa na ushahidi wao huzingatiwa
 
Walimu wengi Wana matatizo ya afya ya akili, stress kibao tukio kama hilo sio la kwanza kutokea, Kuna Ile ilitokea Kagera kama sijasahau walimu walipiga mwanafunzi mpaka wakaua na kesi ilienda mahakamani na wakahukumiwa kifungo gerezani.
 
Mimi nipo kusema ukweli na sio kufurahisha watu. Narudia tena kwa dalili anazoeleza mama wa mtoto zinaendana na ugonjwa husika uliomuua mtoto kulingana na ripoti ya Madaktari bingwa na wabobezi kutoka KCMC. Anything against that ni uongo unless proven otherwise.

Labda nikuulize tu km wewe sio hii Gen Z, haujawahi kuchapwa na Mwalimu? Je, ulikufa? Kwa sisi tuliosoma zamani kidogo tumechapwa sana na tumeshuhudia wenzetu wakichapwa na adhabu za kung'oa visiki n.k na hatukuwahi kushuhudia mwanafunzi kafa

Tatizo la hiki kizazi cha single mothers ni malezi mabovu yanayotengeneza kizazi cha hovyo kwa kuleta hasira za kutelekezewa watoto kila mahali hata shuleni.
 
Sijasema direct kwamba alipata ajali nimesema pengine mtoto alipata ajali.

Hafu mwalim kukwambia anakuchukia ni vzr kwasababu alieleza na kuzionesha hisia zake waz waz kuliko angezificha halafu akaishia kukuoneshwa kwa vtendo
 
Kansa inaweka na alama za kupigwa mwilini, na mtoto kama kaeleza alipigwa tumboni? Atakuwa amewahiwa hospital dr akapewa cha kupewa akaandika hivo kwenye report, hayo mambo yapo hata postmortem zinapindishwa saana hasa upande wa mashtaka wakiwa hawana kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…