Ww jamaa kama ni Dr basi unajidhalilisha humu ndani, yaani umen'gan'gania Spontaneous rupture of spleen tu, ushaambiwa dogo alichapwa fimbo kwann usianzie hapo kwanza? Hiyo sababu unayotuletea humu ndani inge make sense kama huyo marehemu asingekuwa amekumbana na tukio lolote.Ulikuwepo wakati akipigwa hizo ngumi? Umeambiwa Kansa ya damu inaweza kusababisha kupasuka kwa bandama( Kitaalam I naitwa Spontaneous Rupture of Spleen) bado umekazana kusema alipigwa ngumi!
Your reasoning faculty paralysedHakuna mwalimu anayeweza kumpiga mtoto ngumi tena mtoto wa darasa la kwanza, huyo mtoto labda alipigana na wenzake au alipata ajali, uchunguzi wa kina ufanyike. Kuchelewa namba hakuwezi kumfanya mwalim ampigie mtoto ngumi ya tumboni.
Nimulize kitu hapa.
Siku hiyo adhabu ilipotekelezwa na huyo mwalimu kwa marehemu je ni wanafunzi wangapi walikuwa wamechelewa namba?
Hiyo ngumi alipigwa huyo marehem tu au walipigwa wanafunzi zaid ya huyo marehemu?
Hiyo adhabu ilitolewa katika mazingira gani? ili ushahidi uwe wa kina zaidi
Zaidi ya yote niseme kwamba, poleni sana wazaz, ndugu, jamaa na wote tulioguswa na msiba huu. Mungu amrehemu marehemu! Amina.
Nipo pamoja nawewUlikuwepo wakati akipigwa hizo ngumi? Umeambiwa Kansa ya damu inaweza kusababisha kupasuka kwa bandama( Kitaalam I naitwa Spontaneous Rupture of Spleen) bado umekazana kusema alipigwa ngumi!
Kwanini mnalazimisha chuki zenu, na roho mbaya za Kitanzania zitamalaki juu ya Walimu wanaofanya kazi ngumu ya kuwalea watoto wenu wenye malezi mabaya ya single mothers?
Acha UJINGA. Wewe ndo huyo mwalimu? Mwalimu amekataa kuwa hakumpiga ngumi kama madai ya mzazi anavyosema? Huyo mwalimu yupo wapi aseme kuwa hakumpiga mangumi na mateke? Hapa hoja ni upatikanaji wa huyo mwalimu ambaye tukio la kifo limeanzia kwake. Ajieleze. Alimpiga mtoto kwa kiwango gani.Ulikuwepo wakati akipigwa hizo ngumi? Umeambiwa Kansa ya damu inaweza kusababisha kupasuka kwa bandama( Kitaalam I naitwa Spontaneous Rupture of Spleen) bado umekazana kusema alipigwa ngumi!
Waliohusika na kumdhulumu haki ya kuishi mtoto huyu wote wawajibishwe.
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inataka kupindishwa.
Tar.28/02/2024 mwanangu alienda shuleni akiwa mzima. Alipofika aliadhibiwa kwa kuchelewa "namba". Alipoingia darasani alianza kutokwa damu puani na mdomoni. Akarudishwa nyumbani. Nilipomkagua nikamkuta na majeraha yaliyovilia damu mgongoni, kwenye mbavu na mguuni.
Kesho yake nikaenda nae shuleni kutaka kuoneshwa mwalimu aliyemfanyia ukatili mwanangu. Lakini Mwalimu mkuu akaomba nibaki nje. Akaingia na mwanangu ofisi ya walimu na kumtaka amtambue Mwalimu aliyemuadhibu. Mwanangu akamtanbua. Mwalimu Mkuu akaniambia wameshamfahamu ni mwalimu wa "Field" hivyo atazungumza nae.
Wakanipa 20,000/= za matibabu. Nikampeleka mwanangu zahanati. Kesho yake akazidi kutoka damu, na kulalamikia maumivu sehemu za mbavu. Nikampeleka hospitali ya masista. Daktari akaniambia bandama imejeruhika ndio sababu ya kutoka damu mdomoni. Mtoto alidai pamoja na viboko alivyochapwa, Mwalimu pia alimpiga ngumi tumboni. Huenda ndiyo iliyopasua bandama.
Hali yake ilizidi kuwa mbaya tukapewa rufaa kwenda KCMC. Akatakiwa kufanyiwa upasuaji. Gharama 350,000/= lakini sikuwa nayo. Nikapiga simu shuleni wakasema tuombe afanyiwe halafu watalipa baadae. Hata hivyo kabla hajafanyiwa hali yake ikazidi kuzorota, akashindwa kupumua, akawekwa kwenye Oxygen. Akashindwa kula, akawekewa mpira wa chakula. Baada ya siku chache akafariki 😭.
Lakini ripoti ya hospitali inasema mwanangu amekufa kwa kansa ya damu. Kansa gani ya damu inayomuua mtoto kwa wiki mbili? Na kwanini hiyo kansa itokee baada ya kuadhibiwa shuleni? Kwanini Mwalimu aliyemuadhibu mwanangu anafichwa, na sipewi haki ya kumfahamu?
Nalazimishwa nichukue maiti nikazike lakini nimekataa. Nataka uchunguzi huru. Nimeenda dawati la jinsia kulalamika nikapuuzwa. Nimepiga simu kwa Waziri Dkt. Gwajima D akanipa namba ya mtu wa kunisaidia. Nilipopiga kumbe ni yuleyule Mkuu wa dawati la jinsia aliyenipuuza. Nikamrudia Gwajima akasema niwasiliane nae huyohuyo. Nimekosa pa kulilia haki ya mwanangu Jonathan
Unaletewa mada unakubali Moja kwa moja pasipo kufikiria kwa kina zaid nan anashida hapo?Your reasoning faculty paralysed
Wewe hujaguswa na msiba huu, na umeshahitimisha kuwa marehemu alipigana na wenzake au alipata ajali, mimi wakati nasoma tena nikiwa mdogo kabisa kuna mwalimu wa hesabu liyeitwa Marandu,aliwahi kuniambia kabisa kuwa ananichukia bila sababu yoyote, nilipomweleza mzazi wangu akanihamisha shule fasta, mwalimu kama huyo angeweza kuniua bila sababu yoyote!!Hakuna mwalimu anayeweza kumpiga mtoto ngumi tena mtoto wa darasa la kwanza, huyo mtoto labda alipigana na wenzake au alipata ajali, uchunguzi wa kina ufanyike. Kuchelewa namba hakuwezi kumfanya mwalim ampigie mtoto ngumi ya tumboni.
Nimulize kitu hapa.
Siku hiyo adhabu ilipotekelezwa na huyo mwalimu kwa marehemu je ni wanafunzi wangapi walikuwa wamechelewa namba?
Hiyo ngumi alipigwa huyo marehem tu au walipigwa wanafunzi zaid ya huyo marehemu?
Hiyo adhabu ilitolewa katika mazingira gani? ili ushahidi uwe wa kina zaidi
Zaidi ya yote niseme kwamba, poleni sana wazaz, ndugu, jamaa na wote tulioguswa na msiba huu. Mungu amrehemu marehemu! Amina.
duhWewe ni Daktari? Unajua kitu ki naitwa Spontaneous Rupture of Spleen (SRS)? Anyways nisije nikawa nabishana na kihiyo kwenye jambo la Kitaalam
Hapa tumepeta maelezo ya mzaz tayr ushachagua upande, nikulize maelezo ya mwalim umeyapata?Acha UJINGA. Wewe ndo huyo mwalimu? Mwalimu amekataa kuwa hakumpiga ngumi kama madai ya mzazi anavyosema? Huyo mwalimu yupo wapi aseme kuwa hakumpiga mangumi na mateke? Hapa hoja ni upatikanaji wa huyo mwalimu ambaye tukio la kifo limeanzia kwake. Ajieleze. Alimpiga mtoto kwa kiwango gani.
Walimu wengi Wana matatizo ya afya ya akili, stress kibao tukio kama hilo sio la kwanza kutokea, Kuna Ile ilitokea Kagera kama sijasahau walimu walipiga mwanafunzi mpaka wakaua na kesi ilienda mahakamani na wakahukumiwa kifungo gerezani.Swala la kubaka linasabbshwa na vitu tofaut kabsa na swala tunaloongelea hapa.
Obviously mwalim kumpiga ngum mtoto wa darasa ya kwanza ni swala fikirishi sana.
Lakini ukiambiwa mtu mzima kambaka mtoto wa miaka 10 utaenda Moja kwa moja kwenye maswala kama imani za kishirikina na matamanio ya mwili yaliyomshinda mtekelezaj wa kosa hilo.
Mwalim sawa kuna mambo ya hasira lakini sio kiasi cha kumpiga mtoto ngumi ya mbavu mpaka kumjeruhi bandana nakataa
Mimi nipo kusema ukweli na sio kufurahisha watu. Narudia tena kwa dalili anazoeleza mama wa mtoto zinaendana na ugonjwa husika uliomuua mtoto kulingana na ripoti ya Madaktari bingwa na wabobezi kutoka KCMC. Anything against that ni uongo unless proven otherwise.Ww jamaa kama ni Dr basi unajidhalilisha humu ndani, yaani umen'gan'gania Spontaneous rupture of spleen tu, ushaambiwa dogo alichapwa fimbo kwann usianzie hapo kwanza? Hiyo sababu unayotuletea humu ndani inge make sense kama huyo marehemu asingekuwa amekumbana na tukio lolote.
Sijasema direct kwamba alipata ajali nimesema pengine mtoto alipata ajali.Wewe hujaguswa na msiba huu, na umeshahitimisha kuwa marehemu alipigana na wenzake au alipata ajali, mimi wakati nasoma tena nikiwa mdogo kabisa kuna mwalimu wa hesabu liyeitwa Marandu,aliwahi kuniambia kabisa kuwa ananichukia bila sababu yoyote, nilipomweleza mzazi wangu akanihamisha shule fasta, mwalimu kama huyo angeweza kuniua bila sababu yoyote!!
Ndio maana wale wa div one na two wanaenda kada tofauti na ualimu ila three za mwisho na four ndo wanasomea ualimu....Ndio maana tunasema ualimu ni taaluma iliyosheheni wajinga wengi.
Mwanafunzi ndiye mteja wako, ndiye boss wako lakini walimu hawalijui hilo.
Uchunguzi zaid ufanyike haki itendekeWalimu wengi Wana matatizo ya afya ya akili, stress kibao tukio kama hilo sio la kwanza kutokea, Kuna Ile ilitokea Kagera kama sijasahau walimu walipiga mwanafunzi mpaka wakaua na kesi ilienda polisi na wakahukumiwa kifungo gerezani.
Magonjwa mengi hasa Kansa yanapofika hatua ya kuonesha dalili huwa yako katika late stage hivyo humzidia nguvu mgonjwa kwa harakaduh
sasa mbona dalili zikaanza kuwa mbaya mara baada ya kipigo?
au ndo cancer ya damu ilivyo, inakuzidi nguvu ghafla tu?
Mpe somoMagonjwa mengi hasa Kansa yanapofika hatua ya kuonesha dalili huwa yako katika late stage hivyo humzidia nguvu mgonjwa kwa haraka
Kansa inaweka na alama za kupigwa mwilini, na mtoto kama kaeleza alipigwa tumboni? Atakuwa amewahiwa hospital dr akapewa cha kupewa akaandika hivo kwenye report, hayo mambo yapo hata postmortem zinapindishwa saana hasa upande wa mashtaka wakiwa hawana kituKama ripoti ya Daktari inaonesha mwanao alikuwa na Kansa ya Damu ( dalili zote unazoelezea zinaendana) kwanini unalazimisha ionekane Mwalimu ndio kamuua mwanao?
Kuchapwa viboko kungekuwa kunaua tungeshakufa wengi sana tuliosoma zamani. Mnataka kutengeneza kizazi gani cha watoto wasiochapwa?
Kwanini mnataka kuleta malezi ya Kizungu watoto wa Kitanzania wenye mazingira na tamaduni tofauti katika malezi na makuzi?
All in all may His Soul Rest in Eternal Peace. Amen. Kuendeleza hii kesi ni kumkosea Marehemu kwa kulazimisha kitu kisichokuwepo.