Tunaposhindwa kushughulikia Maswala ya Unyanyasaji Kwenye Jamii tunatengeneza Hasira za Visasi..
Naona kabisa kama huyu mama hatapatiwa haki tunatengeneza
long-term resentment stemming from prolonged abuse na inaweza kupelekea revenge, Yenye kisasi kikubwa Sana sio tu Cha ajabu!
ningemuomba Dkt Gwajima
Dkt. Gwajima D Atume Busara zake Kutatua hili swala..
Tunatengeneza Raia Wakatili kwa kuyapuuza machungu yao..
Kukaa na machungu Mda mrefu na kuhisi Serkali haimsikilizi kuna Pelekea huyu mama Kuwa vindictiveness...
Na anaweza kufanya Chochote kwa sababu anahisi Shule yote imemkosea kumficha mhalifu na kwa kuwa hana cha kupoteza Huenda anaweza akasukumwa na Roho ya Hasira na kisasi akachoma hata shule..
Je tumewahi kujiuliza madhara ya kupuuza Hasira ya kutokukutiliwa maanani na kubezwa?
Ni maumivu makali hasa unapojua umekosewa lakini wakosaji wanatetewa..
Ukiwa kama Mmoja ya Mawaziri Nao waamini sana nakuomba hili swala kishughulikie hao walimu wanao uwezo wa kufanya chochote baada ya kuona Tayari wamekwisharibu "Zingatia hilo" wanao uwezo wa kujitetea je umejiuliza Huyo mama yeye atatetewa na nani??
Kuhusu Mama namshauri kwa Busara kabisa Kama uchunguzi umeshafanyika baada ya yeye kutoa Taarifa polisi..
Bhasi ni vyema akazike mwili Huku akisubiri Serkali ifanye majukumu yake..
NB:
"Vindictive personae ultio crudelior est quam omnes, ob inimicitias quas tenet."
"The VENGEANCE of the Vindictive person, Is the cruelest Revenge Than all, Cuz of the grudges it holds..."
CC: Dkt. Gwajima D