Mimi nipo kusema ukweli na sio kufurahisha watu. Narudia tena kwa dalili anazoeleza mama wa mtoto zinaendana na ugonjwa husika uliomuua mtoto kulingana na ripoti ya Madaktari bingwa na wabobezi kutoka KCMC. Anything against that ni uongo unless proven otherwise.
Labda nikuulize tu km wewe sio hii Gen Z, haujawahi kuchapwa na Mwalimu? Je, ulikufa? Kwa sisi tuliosoma zamani kidogo tumechapwa sana na tumeshuhudia wenzetu wakichapwa na adhabu za kung'oa visiki n.k na hatukuwahi kushuhudia mwanafunzi kafa
Tatizo la hiki kizazi cha single mothers ni malezi mabovu yanayotengeneza kizazi cha hovyo kwa kuleta hasira za kutelekezewa watoto kila mahali hata shuleni.