Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

Muulize vizuri mke wako, pengine anakuficha au mtoto sio wako. No in between
 
Kama kwao na kwenu hakuna huo ugonjwa, umepigwa
 
Ndugu Panzi Mbishi kwanza tambua kuwa jina lako linaashiria nguvu,fuata ushauri wa kitabibu,usikubali kupotezwa na wanaoamini njia zisizo za tiba ya kisayansi,wapo baadhi wanakuwa na hali hiyo katika umri mdogo,ila wanapovuka umri huo wanakuwa sawa,japo wakati mwingine kuna gharama za kupata huduma za tiba hadi kuvuka umri wa utoto.
 
Kwanini usimpeleke kumpima wewe ujiridhishe kama anao?
Pole sana kwa mitihani mkuu
Mungu ampe afya na nyie muwe na subra
 
Ndio nasikia hata naibu waziri yule wa rubudani Nae walewale
 
Pole kuna ndugu ana ugonjwa huo ni ugonjwa wa kurithi wazazi huwa ni carrier wa vinassba vya ugonjwa,cha kuzingatia hakikisheni anahudhuria clinik za wagonjwa wa sikocell,matibabu yameboresha atakua na atatimiza ndoto cha msingi muwe karibu naye muepusheni na baridi kali ama joto kali pia wanashauriwa wanywe maji mengi ili damu iwe nyepesi kuepusha maumivu yatokanayo na damu kukwama kwenye vishipa vidogo.

All the best.
 
Pima DNA huyo mtoto
mtoto siyo wako, mbane mke atoe majibu
Umenena jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia [emoji3578]
Muulize vizuri mke wako, pengine anakuficha au mtoto sio wako. No in between
Kukua ni pamoja na kumuambia mtu ukweli
Pimeni DNA
Kwao na kwenu hakuna historia ya huo ugonjwa lakini mwanao anao!!!

Mkuu pole, sitaki kuwaza nje ya hii maada muhimu fuata ushauri/maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu yupo atamsaidia.
Hili ni jambo sahihi kwa wakati usio sahihi!! Mama na mtoto obviously watahisi uko na unyanyapaaa!! Tumia hekima na busara katika wakati huu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…