Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mdogo kujichua wap na wapMuambie aache kujichua..
😂😂😂Usiseme tu akili kama za mama yake, huo ni ugomvi.
hiii ni ngumu kumeza ifafanunue“Remember that people who see things and think one way often have difficulty communicating with and relating to people who see things and think another way” … Dalio
Aaha hamna alipokulia kuna watoto wengi naw wote diet n ile ile huyu anaongea tuSorry HAYO mafuta ya samaki "in case" mtoto akipewa yanamjenga HADI akiwa na umri Gani?. Je miaka minne yanaweza Bado kufanya kitu au limitation ni miaka 2 kama ilivyo kawaida?
labdaUsitake kijana wa 17yrs awe na uelewa kama watu wa humu JF
amesoma boarding for 3 yearsYeah hiyo hali inatesa sana kisaikolojia unakuta mtoto akienda shule anakutana na mwalimu wa mathe anawashiwa moto na akirudi nyumbani anakutana na mzazi mkoloni anawashiwa moto tena mwisho wake anakosa kimbilio na kupata huzuni.
Binadamu tuko-programmed tofauti , hata yeye akipata mtu anaemuelewa akazungumza naye atasema hueleweki ama hakuelewi … huko juu nimekuuliza somo analopata 67 ni somo gani? 🥃 alafu jibu hili swali hichi kikombe ni half empty au half full.hiii ni ngumu kumeza ifafanunue
Aweza kuwa mwanaye kabisaa ila inategemea karithi vinasaba gani vya moja kati ya waliopita na mama huko nyuma. Hii ina maelezo marefu sana.Huyo Sio mwanao kapime DNA kitu cha kwanza mtoto kurithi ni Akili vingine ni Extra.
Sasa ukigundua hilo utafanyaje? Hebu tupeane uzoefu!Kuna watoto wengine kwenye familia ukikaa kwa kutulia unaona labda wakunga walikubadilishia mtoto.
Bila shaka huyu mtoto atakuwa amelelewa na mzazi mmoja. Ninaye ntoto wa shemeji angu nakaa nae hapa. Copy and paste na wako. Ukimwambia hata kazi za mikono ni tatizo ila kulala ana A+, hana rafiki, hana demu, anaumwa hujui, mzima hujui. Hachezi mpira, hana mchezo wowote, lakini nilichokuha kufundua ni malezi aliyokulia ya kubembelezwa kila kitu huko kwa mzazi mmoja.Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Kampimeni tu DNANina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia