Kakosa hilo.Shule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani?....mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa...Eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII
Je; jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto Au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807698
View attachment 1807699
Mkuu mwanao mjanja mjanja sana. Katelezea kwenye swali mule mule, mwamuzi wa mpira anaitwa ...........nae karudia mwamuzi!
Hivi mkuu nikikuuliza fundi wa ujenzi wa nyumba anaitwa nani utasema fundi au muashi
Tukiuliza askari wa usalama barabarani anaitwa nani utasema askari au trafiki
Tukiuliza muendesha ndege anaitwa nani utasema mwendesha ndege au rubani
Sawa, inabidi tujue tunamtafuta maeneo yapi na yapi ili iwe rahisi.Njoo tumtafute wa kwetu atayekuwa na mwandiko mzuri zaidi ya huo
Huu muandiko mbona kama wa mtu wa sekondari?!!Shule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani? Mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa, eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII.
Je, jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807716
View attachment 1807714
Ndo hapo sasaJe REFARII (REFEREE) ni neno la kiswahili?
Tuanzie hapo!
Unajua mfundishaji wa watoto shuleni ni mfundishaji ndio lakini jina specific analoitwa ni mwalimu. Sasa ukijibu mfundishaji haujakosea Sana ila sio sahihi kwa 100%.
Ni sawa na ukamuita mtu mlimaji badala ya mkulima, au muendeshaji badala ya dereva.
Sio mwalimu hajielwi bali mwanao ndio hajielewi na mpumbavu
Mkuu mwanao mjanja mjanja sana. Katelezea kwenye swali mule mule, mwamuzi wa mpira anaitwa, nae karudia mwamuzi!
Hivi mkuu nikikuuliza fundi wa ujenzi wa nyumba anaitwa nani utasema fundi au muashi
Tukiuliza askari wa usalama barabarani anaitwa nani utasema askari au trafiki
Tukiuliza muendesha ndege anaitwa nani utasema mwendesha ndege au rubani
Jibu ni REFA
Neno mwamuzi limetumika kuuliza swali, kwahiyo huwez kulitumia kujibu swali. Mfundishe mwanao hii kitu isije kumuathiri huko mbele.
Unaona yupo sahihi kumtukana MWALIMU.hujawah kumiliki akili mkuu, jipige kifuani alafu jisikitikie moja kwa moja
Sawa nakusubiri mummySawa, inabidi tujue tunamtafuta maeneo yapi na yapi ili iwe rahisi.
Refarii ni kiswahili?Refarii ndiyo jibu sahihi kwa mujibu wa kingozi cha mwalimu (marking scheme).
Mwamzi ni jina jumuishi sana mfano mwamzi mahakamani anaitwa Hakimu/Jaji.
Unaona yupo sahihi kumtukana MWALIMU.
Refarii ni kiswahili?
"Mwalimu hajielewi" maanayake nini ??wapi mwalimu katukanwa ??