Mwanangu wa darasa la pili hili swali kakosaje? Au mwalimu ndiye hajielewi?

Kwenye kamusi za kiswahili, mwamuzi na refa zote zina maana sawa
 
Virus.
 
mkuu hiyoo ni swaga tu. ila jibu sahihi ni mwamuzi ni mwalimu mwenyewe kajichanganya kidogo kutokana na tafsiri yake kichwani kwa kingereza amejua kuwa kwa kiswahiili ndo hivyo hivyo
 
Barabara ya Ocean road[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Jibu ni REFA

Neno mwamuzi limetumika kuuliza swali, kwahiyo huwez kulitumia kujibu swali. Mfundishe mwanao hii kitu isije kumuathiri huko mbele.
Mkuu
Mwamuzi wa mchezo Karate na Masumbwi anaitwaje?
 
Sio kila kitu lazima uki expose kwa mitandao ya kijamii acha utoto kama mwanao
 
...usipaniki mkuu

Ila mtoto wako genious asee[emoji2], hadi hati ya mwandiko inaonyesha. Kongole sana
hati ndio nini.!???...sema handwriting...na wala huwa haiitwi art kama mnavyodanganyana huko
 
Huu uzi tuupeleke Jukwaa la Lugha.
Hata huko mambo hayatakuwa rahisi mkuu, hili swali sio lakitoto hata kidogo sijui ilikuwaje tu hadi akaulizwa mtoto!? Angalia maveterani wa Jf wanavyosugua bongo bila muafaka kupatikana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…