Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

doz ya mayai, vichwa vya samak wabichi, maziwa mabichi, mboga za majani, karanga na maharage. Yani kifupi apate protein ya kutosha
Hapo kwenye vichwa vya samaki wabichi ataambulia minyoo na parasites.

Hizo zingine ni sawa.
 
Hii unaweza kuwa huduma ya kwanza. Huduma ya pili wawe wanamwongelesha
 
Mpeleke hospitali aonane na daktari wa watoto (utapata specialist anayefaa kumsaidia), sio tabia bali ana tatizo. mkiwahi mtamsaidia kupona mengi, kuwa tayari itakuwa kitu na matibabu na mengi kwa muda mrefu. Labda ana autism etc hivyo wahi akiwaangali mdogo, na pia mmechelewa kumpatia huduma. All the best
 
Acheni ujinga aisee. Yan eti anapenda hicho kitu cha kuning’iniza nguo ya mama ake ya ndani anakuja nayo sebuleni? 😂😂😂

Mkuu uko serious? Kwamba huyo mke hajui kutunza vitu? Kyupi mnawekaje sehemu zinapoonekana na mtoto?
Depal kwani chupi ina siri gani mpaka ifichwefichwe?
 
Usonji huo
 
Kwa umri wa miaka 4 bado ni mapema mno kumkatia tamaa! Sema amechelewa tu.
Ushauri wa kwanza nenda kwa specialist wa watoto ajue ni tatizo gani kitaalamu linamsumbua!
Mwisho usiende kwa Waganga wa kienyeji au wapunga pepo watakula pesa yako bure!
 
Pole sana mkuu. Nayajua hayo maumivu maana hata mimi nilishaleta uzi humu kwa hali ya mwanangu inayoelekeana na ya mwanao. Mwenyeji Mungu akakufanyieni wepesi.
Poleni sana
 
Inawezekana hasikii pia bro
 
Mtoto inabidi aanze kukaa na kusimama akiwa na miezi mingapi maana wangu ana miezi mitatu ila hapendi kulala lala ana taka kusimama simama
 
Daaah pole sana hata Mimi Kuna wakati anasaga meno na anachelewa kulala sana anaweza kulala saa tisa na Kuna wakati anacheka pekeake
Hilo linaitwa 'Degedege' (au tuseme 'Kifafa' ambayo husabanishwa na Degedege) mkuu na hio ni hali yao hua wanakua nayo mpaka ukubwani Ila kadri wanavyokua na msaada wa Dawa za matibabu hua hali inapungua Ila atakua nayo mpaka ukubwani

Visababishi:

Kuwa na joto la kiwango cha juu (zaidi ya selsiasi 38)

Pengine kama mtoto aliumia ubongo wakati akiwa bado tumboni

Au kama alikosa oksijeni wakati mama anajifungua. Na hali hii inaweza baadaye kugeuka na kuwa 'kifafa'

Alipata maambukizi yakaingia kwenye ubongo, mfano, kupata ajali.
 
Hilo nitatizo la usonji. Atakuwa hapendi makelele kwasababu anasikia kwa kiwango kikibwa kuliko kawaida. Anaweza kuwa mahiri kwenye Jambo Fulani Ila kuongea na kutulia Hilo nijambo gumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…