BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Hapo kwenye vichwa vya samaki wabichi ataambulia minyoo na parasites.doz ya mayai, vichwa vya samak wabichi, maziwa mabichi, mboga za majani, karanga na maharage. Yani kifupi apate protein ya kutosha
Hapo ndipo chanzo chenyewe inabidi alie akizaliwa tu inabidi apige kelele alie sana km fundi bishoo asipopiga kelele na kulia ndio HIVYO anakua HIVYOYap swali zuri
Hii unaweza kuwa huduma ya kwanza. Huduma ya pili wawe wanamwongeleshaAnadalili za ububu
Ana dalili za polio
Ana dalili za mental retardation
Ana dalili za teratogenic conditions (fatilia kipindi cha mimba mama yake alikuwa anapenda kutumia vilevi au vyakula gan)
Wakat anazaliwa alilia? Na kama alilia alitumia muda gan Toka azaliwe mpka kulia?
Muanzishie doz ya mayai, vichwa vya samak wabichi, maziwa mabichi, mboga za majani, karanga na maharage. Yani kifupi apate protein ya kutosha
Inabidi apunguze speed kwenye kuamini hivyoMtoa mada anaamini uchawi
Haongei hata umuongeleshe ataishia kukuangalia km kitu TU yaan km wewe unavyoiangalia smartphone hapo ukiiongelesha inaongea?Huduma ya pili wawe wanamwongelesha
Daaah pole sana hata Mimi Kuna wakati anasaga meno na anachelewa kulala sana anaweza kulala saa tisa na Kuna wakati anacheka pekeake99% ya ulivosema ndo yanatokea kwa mwanangu 4yrs.
Ila ana moja la ziada. Usiku akilala anasaga saana meno.
Depal kwani chupi ina siri gani mpaka ifichwefichwe?Acheni ujinga aisee. Yan eti anapenda hicho kitu cha kuning’iniza nguo ya mama ake ya ndani anakuja nayo sebuleni? 😂😂😂
Mkuu uko serious? Kwamba huyo mke hajui kutunza vitu? Kyupi mnawekaje sehemu zinapoonekana na mtoto?
Exactly yaan n kama unaongelesha jiwe, mtoto anakuangalia tuHaongei hata umuongeleshe ataishia kukuangalia km kitu TU yaan km wewe unavyoiangalia smartphone hapo ukiiongelesha inaongea?
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Buxism99% ya ulivosema ndo yanatokea kwa mwanangu 4yrs.
Ila ana moja la ziada. Usiku akilala anasaga saana meno.
Usonji99% ya ulivosema ndo yanatokea kwa mwanangu 4yrs.
Ila ana moja la ziada. Usiku akilala anasaga saana meno.
Poleni sanaPole sana mkuu. Nayajua hayo maumivu maana hata mimi nilishaleta uzi humu kwa hali ya mwanangu inayoelekeana na ya mwanao. Mwenyeji Mungu akakufanyieni wepesi.
Hilo linaitwa 'Degedege' (au tuseme 'Kifafa' ambayo husabanishwa na Degedege) mkuu na hio ni hali yao hua wanakua nayo mpaka ukubwani Ila kadri wanavyokua na msaada wa Dawa za matibabu hua hali inapungua Ila atakua nayo mpaka ukubwaniDaaah pole sana hata Mimi Kuna wakati anasaga meno na anachelewa kulala sana anaweza kulala saa tisa na Kuna wakati anacheka pekeake