Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

Asante,Niko TAYARI kufanya lolote mwanangu aongee Jana nmetoka Kwa mganga nikamwambia hata akitaka mkono wangu Nampa ili tu mwanangu aongee hata akitaka nilete chochote including uhai wangu Niko tyr
Kijana tuliza akili sikiliza ushaur wa ma Dr ukiendelea hivi utapigwa pesa mpaka uchakae na mwisho utakuwa mwendawizimu maana utakuwa umepoteza pesa lukuki kwa waganga.
 
Mitaani tuna watoto wengi wenye shida hii ambao kama wazazi wao wangekutana na watu sahihi kwa wakati sahihi leo wasingekuwa walivyo ila kwa sababu watu tumekuwa tukipeana shauri kama hizi za kutufurahishana wanazidi kuengezeka.

Bro,malezi ya mtoto siyo kama gari kwamba utamwelekeza mmiliki kwa fundi fulani aliyewahi kukutengenezea gari lako,hilo ni tatizo na hii ni wide forum wote tumo humu tuliowahi kukutana na shida hiyo huyu mtoto ana tatizo hahitaji maalimu shehe wala pasta mtoto anatakiwa kukutana na Dr wa watoto that's it.

Japo wazo lako limesomwa.
hakuna sehemu niliposema asiende onana na doctor, ata mwenyewe amesema anakwenda huko kote, nimemshauri tu kama katika kuangaika kwake ata huko anaweza pita pia kama ataweza.
 
Naamini lkn pia Kuna nywele kichwani zlinyolewa isivyokawaida na huwa hazioti hiyo sehemu. Nisaidie namba ya huyo Dr pia,asante
Kitendo cha kunyolewa hilo ni tatizo la kiroho 100% so usihangaike hospital wala kwa waganga.
 
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto

Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Hilo ni tatizo la usonji 100%. Ungetakiwa uwe umempeleka hospital toka awali kabisa.
 
Asante,Niko TAYARI kufanya lolote mwanangu aongee Jana nmetoka Kwa mganga nikamwambia hata akitaka mkono wangu Nampa ili tu mwanangu aongee hata akitaka nilete chochote including uhai wangu Niko tyr
Mpige na dhakari utosini ila ina madhara kama damu sio yako andaa msiba
 
Asante,Niko TAYARI kufanya lolote mwanangu aongee Jana nmetoka Kwa mganga nikamwambia hata akitaka mkono wangu Nampa ili tu mwanangu aongee hata akitaka nilete chochote including uhai wangu Niko tyr
Kuwa serious, uhai wako ukitolewa nani ataendelea kumhudumia kwenye kumtibu huyo mtoto?
 
hakuna sehemu niliposema asiende onana na doctor, ata mwenyewe amesema anakwenda huko kote, nimemshauri tu kama katika kuangaika kwake ata huko anaweza pita pia kama ataweza.
Ni kweli nilikuelewa,lakini mimi simshauri aende kokote tofauti na hospital
 
Pole sana mkuu.Mimi kijana wangu wa kiume yeye alichelewa kuongea pia mpaka.3 or 4yrs alikuwa hata kusema mama hasemi.Tukagundua tatizo ,pia akawa yeye ni kula na.kulala tu cha kushangaza aliyembea akiwa na miezi 9 na pia miezi 10 hivi hajikojolei na haja kubwa anatoa ngua anajisaidia chini.Mimi nakupa experience yangu mwenyewe.Nilipogundua hicho kitu ,mimi nilivyoona hospital hainisaidii nilimlilia Mungu usiku na mchana na kusoma Matayo 18:18 nafunga hayo.maroho ya stagnation
Uwezi amini kijana aliimprove darasani na kila kitu kwenye maisha yake .Na ni one of the best students in Tanzania ,mpaka nyumbani ananisaidia sana.Ushauri wangu ,mpeleke kwanza hospital mwone Dr akushauri.Pili fuata masharti yote ya kitabibu utakayoambiwa then ongea na Mungu wewe peke yako kuhusu huyo.mtotto.Shida huwa tunafikiri Mungu yuko mbali sana au yuko kwa wachungaji au mashehe tuko naye.Chunguza maisha yako ,mfano kama ulisha mtelekeza mtoto au kukataa mtoto au minba .Check maisha yenu kwa ujumla mtubu na kama ulikataa mtoto au unakitu ulimfanyia mtu kaombe msamaha ,tubu mwangukie Mungu ni mwaminifu.
Kweli kabsa madakari wanatibu lakini Mungu ushauri wako umejaa madini tupu
 
Duh kweny kutibu Usonji kwa sasa ni Mtihani bado maybe miaka ya mbele
Unaona sasa!! 🤣🤣

But i must appreciate how you people are good at inventing FANCY NAMES such as AUTISM and THROMBOTIC ATHRITIS GONDI. 😋😋🤓🤓🤣

AUTISM THROMBOLISIS 🤓🤓

Toeni dawa, alaaah!!
 
Unaona sasa!! 🤣🤣

But i must appreciate how you people are good at inventing FANCY NAMES such as AUTISM and THROMBOTIC ATHRITIS GONDI. 😋😋🤓🤓🤣

AUTISM THROMBOLISIS 🤓🤓

Toeni dawa, alaaah!!
Dawa zitapatikana as long as Watu bado wanafanya Studies nyingi ili kutuokoa kwenye hilo..
Inaitwa ASD (Autism spectrum disorder)
 
Back
Top Bottom