Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Na wewe unaamini the virus is fake? Kawaulize South afrika na Botswana walitaka kuisha kwa mapigo ya huyu virus mbishi na deadly anaeitwa fake. Thank mbeki nae kuna wakati alimkana huyu HIV na kumwita fake nchi ukitaka kumrarua na soon mtoto wa Mandela akafariki kwa huyu huyu virus.Deception lazma ahusike hapa maana alituambia hiv is fake.
Kweli kabisasio watoto wakike tu, ni watoto wote. Uelewe tu kuwa ukimwi kwasasa umeenea sana hata kwa watoto wadogo ambao mara nyingi hawana umakini wowote kuchezea viti vyenye ncha kali
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
duuh,kama ni hivyo hatari sana,ila kama waliwahi kufanya operation ya kichwa badala ya mguu,hata kwenye damu linawezekana kabisa hapa tzKuna kukosewa,..na kesi za aina hii zimewahi kuripotiwa hapo awali.
Hii inaitahiji Uzi wake kabisaa malum. Maana ni elimu ndefu sana.Mkuu una uhakika?hebu ongezea maneno hapo
HIV is just a HoaxNililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Wazo zuri sanapima vinasaba kuthibisha kama ni wa kwenu wenda mliibiwa mwanawenu
sio lazima nisome comment zote nina,ninaweza nikasoma comment mbili tu na mimi nika comment vile vileMkuu uwe unajitahidi kusoma mada na kuelewa. Ulichoongelea kipo kwenye mada tayari, unaharakia nini??
Utata unaonisumbua ni siku tutakayo mwambia ila mpaka sasa yeye hatujamwambia.HIV is just a Hoax
Mtoto ameathorika na kuharisha na kutapika na kama hamjui ni infection gani ilisababisha ndipo ugumu ulipo
Lakini mtoto ale vizuri afya yake itarudi
Kwa sasa ugonjwa unaomsumbua zaidi ni msongo wa kuambiwa ni HIV+ anahiji MTU mwenye busara za kitosha na anyeelew ni kinachoendelea kwenye ulimwengu wa Kirusi wa Kusadidlkika aitwaye HIV akirudi Norma na kuendelea kula vizuri iko siku akirudi kupima ataambiwa ni -Ve
Poleni kwa Mstuko
Nazani hujaelewa, hao waliopima si ndio wamesema una HIV, maana yake wanatakiwa hao hiv waonekane, na sio kukisia.We ukipimwa mafua/influenza wanayaona?
You are a reader, Unajua hata kile kipimo hiwa hakiangalii actual virusHIV is just a Hoax
Mtoto ameathorika na kuharisha na kutapika na kama hamjui ni infection gani ilisababisha ndipo ugumu ulipo
Lakini mtoto ale vizuri afya yake itarudi
Kwa sasa ugonjwa unaomsumbua zaidi ni msongo wa kuambiwa ni HIV+ anahiji MTU mwenye busara za kitosha na anyeelew ni kinachoendelea kwenye ulimwengu wa Kirusi wa Kusadidlkika aitwaye HIV akirudi Norma na kuendelea kula vizuri iko siku akirudi kupima ataambiwa ni -Ve
Poleni kwa Mstuko