Sasa mbona hizo nafasi za kwanza mie sijawahi kuzipataWangu ni za kuuzaliwa familia nzima ni no 1βοΈ
ππ
Kama huna akili hata usome cambridge hufiki kokote ,mzazi kutambua umuhimu wa elimu hakumsaidii mtoto kilaza,akili ni vipaji vya kurithi genetically inheritedKufika elimu ya juu siyo kwamba ndiyo ulikuwa na akili sana hapana
Umesoma shule gani?
mzazi wako alikuwa anatambua umuhimu wa elimu kiasi gani?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Leo itakuwa hujalala aiseee!!! Wewe umesoma mpaka elimu imekuwezesha kujiunga JF halafu unawazuia wengine wasiipate elimu!??? Au ndiyo yale ya mtumwa mfiche kitabu asikisome!???Kama ni kilaza focus na kipaji chake usimpotezee mtoto muda maana elimu yetu haina maana sana sikuhizi! Kazi hamna mtoto unamkalisha darasani miaka 17 ni upuuzi tu
Suala siyo idadi ya wanafunzi, bali kiwango cha ufaulu. Unaweza kuwa wa mwisho kati ya wanafunzi 200, lakini yule wa kwanza amekuzidi alama ^tar-know^ au ^sea-tar^ au ^sir-bar^!!! Anyways, namba moja ni namba moja tu.hahaha sijui umewaza nini ila upo sahihi, inawezekana nafasi ya juu kwenye wanafunzi 20 au 40
Kumbe wewe Che Guevara Mgwebe umesomea Latin America, Cambridge ama Harvard!???Duh, kuna watu bado wana imani na elimu ya Tz
Na mazingira yana mchango mkubwa katika kuinoa akili ya mtoto. Mfano, inaweza kuwa mbegu bora, ikapandwa kwenye udongo usiyo na rutuba matokea yake ni kuzaa mazao hafifu (kukosekana palizi=malezi bora).Kama huna akili hata usome cambridge hufiki kokote ,mzazi kutambua umuhimu wa elimu hakumsaidii mtoto kilaza,akili ni vipaji vya kurithi genetically inherited
Unaweza ukawa wa mwisho kwenye darasa lenye watanfunzi wenye akili sana au ukawa wa kwanza kwenye darasa la wajinga.Mimi nilikua naongoza kuanzia vidudu hadi olevel lakini high school nikawa nakua wa mwisho unaniweka kundi gani?
Chuo nikawa nikaongoza darasa zima mwaka wa kwanza halafu miaka 2 iliyofuata nikawa naambulia C nakua kundi gani?
Kwenye interview za ajira zote zilizofanya kubwa kubwa nikawa nakua wa kwanza halafu choka mbaya taasisi inapumulia mashine nikawa nakua wa mwisho nakua kundi gani?
Yaani mtu aende mpaka Cambridge kusoma ama akutane na walimu wa Cambridge, halafu unasema hajafika kokote!??? Remember kuna watu miaka yao ^see-tea-knee^ ama ^sir-bee-knee^ duniani, lakini hawajawahi hata kufika mtaa wa saba pale maeneo.Kama huna akili hata usome cambridge hufiki kokote ,mzazi kutambua umuhimu wa elimu hakumsaidii mtoto kilaza,akili ni vipaji vya kurithi genetically inherited
Lakini haiondoi ukweli kwamba umekuwa wa mwisho, sawa!??? πUnaweza ukawa wa mwisho kwenye darasa lenye watanfunzi wenye akili sana au ukawa wa kwanza kwenye darasa la wajinga.
Ni kweli sasa huyu mtoa post inaonekana kila kitu kipo sawa ila mtoto kilaza,hapo ajitathmini yeye na mama watoto wake kichwani zilikwemo?ni sawa wewe unataka mwanao awe footballer bila kuwa na kipaji,atachemsha tuNa mazingira yana mchango mkubwa katika kuinoa akili ya mtoto. Mfano, inaweza kuwa mbegu bora, ikapandwa kwenye udongo usiyo na rutuba matokea yake ni kuzaa mazao hafifu (kukosekana palizi=malezi bora).
wa mwisho kwenye majiniazi au wa mwisho kwenye vilaza?Lakini haiondoi ukweli kwamba umekuwa wa mwisho, sawa!??? π
Inategemea na walimu wanaofundisha na kusahihisha mitihani yao; kuna watoto ni so smart kiasi kwamba walimu wao wanashindwa kuhendo material yao, wanadhani wako OP. Haishangazi TO Elias Kihombo alifelishwa pale mahali mara kadhaa πwa mwisho kwenye majiniazi au wa mwisho kwenye vilaza?
Mie hata simfatilii na sinaga huo muda kabisa ila ndo hivo wa kwanza au wapili akishika watatu atarudi nyumban na kilio halaf m namshangaa sa unalia nini?
Nilichokuja kugundua baadae elimu ya high school na kuendelea inataka mtu wa kukariri sana, msuli mkubwa hadi unatoboa usiku. Hicho kitu kilinishinda.Unaweza ukawa wa mwisho kwenye darasa lenye watanfunzi wenye akili sana au ukawa wa kwanza kwenye darasa la wajinga.
Elimu ya kufungua jf sio zaidi ya form 4Leo itakuwa hujalala aiseee!!! Wewe umesoma mpaka elimu imekuwezesha kujiunga JF halafu unawazuia wengine wasiipate elimu!??? Au ndiyo yale ya mtumwa mfiche kitabu asikisome!???
Oooh babe usihuzunike. Unajua vile ww ni mimi na mm ni ww. Nikishinda mimi inatosha na ww umeshinda.ππSasa mbona hizo nafasi za kwanza mie sijawahi kuzipata
Ama familia yako umemanisha wewe na mke wako?mie umenitoa π’