copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Excellent! Japo hajasema ni level ipi ya elimu.. Kama ni primary hawezi kwepa.. Pia O-level hawezi kwepa pia. Lazima apate basics hata kama atakuwa wa mwisho.Kama ni kilaza focus na kipaji chake usimpotezee mtoto muda maana elimu yetu haina maana sana sikuhizi! Kazi hamna mtoto unamkalisha darasani miaka 17 ni upuuzi tu
Kula cartoon na mwanao mzee..Mie hata simfatilii na sinaga huo muda kabisa ila ndo hivo wa kwanza au wapili akishika watatu atarudi nyumban na kilio halaf m namshangaa sa unalia nini?
Babe?😳😳Oooh babe usihuzunike. Unajua vile ww ni mimi na mm ni ww. Nikishinda mimi inatosha na ww umeshinda.😉😉
Unashtuka nini?? Kwani 'babe' inatumika kwa soul mate tu? 😂😂Babe?😳😳
Ndio navyojua ni soulmate ama marafikiUnashtuka nini?? Kwani 'babe' inatumika kwa soul mate tu? 😂😂
Mapacha twaweza kuwa marafiki pia.Ndio navyojua ni soulmate ama marafiki
Asa wewe ni pacha ujue
Yeah!ni kweliMapacha twaweza kuwa marafiki pia.
Kwani kuongoza ndo nini? Diamond unazani alikuwa anaongoza Darasani?Hello bosses,
Kama mwanao anaongoza darazani angalau nafasi 10 za juu.
Je, nini ulikifanya kufanikisha hilo?,
Mtoto anapata shule nzuri, tuition za kutosha, muda wa kupumzika, homework n.k lakini bado maendeleo yake ya shule sio ya kuridhisha.
Kuongoza tu? Je kuna upekee walio nao?Wangu ni za kuuzaliwa familia nzima ni no 1[emoji3516]
[emoji23][emoji23]
Kunywa bia hapoKama ni kilaza focus na kipaji chake usimpotezee mtoto muda maana elimu yetu haina maana sana sikuhizi! Kazi hamna mtoto unamkalisha darasani miaka 17 ni upuuzi tu
Top 10 then? Je huyo mtoto Maisha halisi anaweza pambana? Ukiacha huo u top 10?Nashukuru hata mimi mwanangu yupo kwenye topu teni, alikuwa wa 8 kati wa wanafunzi 11. Ninachofanya ili asitoke kwenye topu teni ni kumsisitiza asome. Asandi sana
Huu ndo ujinga wa Watanzania wengi, wakisha ona mtoto anapata 90% basi anaona kamaliza.Inaonyesha huwa unalewa na matokeo mazuri, hivyo kubweteka.
Anafaulu kwenye mfumo upi wa elimu? Hu huu ninao ujua?Tuition zinasaidia Sana lkn lazima mtoto mwenyewe pia awe anajituma katika masomo.
Mwambia amshindanishe na mtaani tuoneUlimpeleka shuleni kumshindanisha na watoto wengine?! Kama angekuwa anafundishwa peke yake darasani ungepimaje maendeleo yake?
Muvi za kitoto ni zipi? Zile katuni zs wazungu? Zs ku fanya watoto kuwa wajinga?Siangalii mtoto amekuwa wa ngapi. Wanaweza kumpanga hata wa mwisho wakipenda.
Huangalia:
1. Maendeleo yake ya kuelewa, muhula huu ukilinganisha na muhula ule, anasonga mbele au anarudi nyuma?
2. Hesabu, Kiingereza na Sayansi. Je anaelewa masomo hayo na kuyapenda?
3. Je, anapenda kwenda shule au shuleni pana mazingira gani ambayo yanamfanya ahofie kwenda?
4. Anapenda kusoma vitabu vya hadithi, kuangalia muvi za kitoto, na kucheza atokapo shule?
Karibu.
Sometimes kushika nafasi ya juu inategemeana na wanafunzi wengine wakoje.Sikuwa napenda kusoma kwa kuumiza kichwa au kukariri..nilikuwa nasoma nielewe hivyo sikuwahi kuwa na alama za juu sana lakini sikuwahi kufeli..hiyo ndio kanuni yangu ya Maisha hadi leo.
Wanangu kwa alama zozote wanazopata nawapongeza na kimsingi naangalia wastani wao na upeo wao wa kuelewa mambo kwa ujumla wake na sio wako nafasi ya ngapi.
Wana imanai na matokeo hawana imani na elimu? Yaani nacheka humu, yaani mtoto anakuwa wa kwanza kwenye mfumo upi wa elimu? Hahaa aiseeeDuh, kuna watu bado wana imani na elimu ya Tz