Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Sakata limetokea kwenye mitandao pendwa wa Instagram baada ya Bwana majizzo kupost mjengo mpya rasmi wa efm (piacha na maelezo ya majizzo pichani)
Bibie lulu nae hakubaki nyuma akapost kumpongeza mumewe huyo kwa hatua aliyopiga,huku akichombeza kwa maneno baada ya mitano tena anaonaje amuongezee miwili tena ya kufanya makubwa..(inaonesha majizzo alighairi kuoa miaka mitano akifanya hiyo project hadi iishe kwanza)
Ndipo Albert msando akakoment kumjuza bibie kwamba kisheria huo mjengo siku wakiachana hauko kwenye mgao wa Mali.maana alifanya hiyo project kabla hajaingia ndoani.so asiuhesabu.
Bibie lulu nae hakubaki nyuma akapost kumpongeza mumewe huyo kwa hatua aliyopiga,huku akichombeza kwa maneno baada ya mitano tena anaonaje amuongezee miwili tena ya kufanya makubwa..(inaonesha majizzo alighairi kuoa miaka mitano akifanya hiyo project hadi iishe kwanza)
Ndipo Albert msando akakoment kumjuza bibie kwamba kisheria huo mjengo siku wakiachana hauko kwenye mgao wa Mali.maana alifanya hiyo project kabla hajaingia ndoani.so asiuhesabu.