Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais


Nani aliyethibitisha kwamba walikuwa wanasafirisha mchanga kwa udanganyifu so far? Ni ile Kamati ya "maprofesa"? Ina mamlaka hayo kwa mujibu wa mkataba tulioingia na hao "wezi" wetu?

Mpaka sasa ACACIA wanapinga matokeo ya uchunguzi wa kamati ya "maprofesa", na wana hoja zao ambazo ikibidi zitaenda kupambanishwa kule ambao wakati tunaingia nao mkataba tulikubali kuwa inapotokea mgogoro baina yetu na wao tutaenda kusuluhishwa au kumalizana.

Nani anathibitisha kuwa tulikuwa tunadanganywa?
 
Mwalimu wangu kwa vile unafundisha chuo nilichosoma asante kwa maelezo yako ya kitaalamu.
Kwa ufahamu wangu naona hapa ni vita kati ya Sayansi, sheria, biashara na UTAIFA.
Nini tufanye
Tuifanye biashara hiyo sisi wenyewe kwa kuweka mtaji bila hivyo tutatumbuana sana.
Botswana wameweza

Jedwali Na.12 Umiliki wa Makampuni ya Madini Botswana

1. kampuni
Debswana Diamond LTD

Wenye hisa

Serikali ya Botswana (50%) De Beers (50%)

madini
Almasi, makaa ya mawe, shaba na nikeli


2. Bamangwato Concession ltd

wenye hisa
Serikali ya Botswana (30%)

Anglo american (30%)

Wengine (40%)

Madini

Nikeli na kobati


3.Tati Nickel Mining Co.
Wenye hisa
Serikali ya Botswana (15%)

Canadian Lionore Mining International (41%)

Anglo American (43%)

Wengine (1%)
Madini
Nikeli na kobati

Kwa kuangalia hapo juu ni dhahiri kuwa serikali ya Botswana imewekeza katika biashara ya uchimbaji wa madini katika nchi yake hivyo kustahili kupata mgawo sawa na ukubwa wa uwekezaji wake. Wabotswana hawapewi mgao wa asilimia 50 kutokana na mauzo ya almasi kwa sababu tu almasi ipo Botswana bali ni kwa sababu wamewekeza katika uchimbaji wa almasi.

Sisi ni Nationalism Nationalism- tumetumia nationalism tukapata uhuru bado tunauwana tu

Mwalimu wangu niruhusu nitoe mfano mwingine kwa kizungu unachokifahamu vuzuri pia

Let us preface ourselves with a remarkable case study from South Africa.

Bafokeng is a small tribe in South Africa of around 150,000 (300,000 if it include these in Zimbabwe) people that for a long time have occupied an area of around 1,200 square kilometers north west of Johannesburg. Underneath their dwellings, shrubs, grazing land, and arable land, sits the world’s largest deposit of platinum.

The area was invaded by whites who displaced the indigenous. When the Bafokeng were displaced their King dispatched the brightest young men to work in diamond mines in order to earn money with it they could buy back their land.

Meanwhile in 1925 mineral explores discovered the platinum and started mining it in 1960s; the Bafokeng had repossessed their land and were in the long legal battle for gaining the mineral right. They got it in 1999 through the court of law. The loyalty they earned from the mineral rights was converted into shares. As of now Bafokeng as tribe owns 13.2 percent stake in the Impala Platinum, the world’s second largest platinum miner on top of getting 22 percent of loyalty.

Bafokeng is guided by Vision 2020 that challenges the Bafokeng people to reduce their dependency on their diminishing mineral assets and to become a self-sufficient community within the first 20 years of this century, whilst also maintaining the Bafokeng culture.

The main areas of emphasis of Vision 2020 fall into the following areas: Investment diversification; Economic Development; Education Planning; Infrastructure Development/Master Plan; Health and Social Planning; and Crime Free Environment.

The Bafokeng has established a sovereign wealth fund, Royal Bafokeng Holdings (RBH), which is responsible for overseeing the growth and maintenance of the community’s income streams. RBH has invested royalties and dividends in a number of projects, and in civic administration and social services. These include: Royal Bafokeng Sports, which is in charge of sport development among the residents of the area; Royal Bafokeng Administration (RBA), which is principally a town planning unit charged with service delivery and monitoring the progress of the Master Plan across all the regions. And Royal Bafokeng Institute (RBI), whose goal is to improve education and learning in the Royal Bafokeng Nation. Bafokeng have also recruited several manufacturing companies as part of a drive to expand the nation's exports beyond raw materials.


The gaining of the mineral rights was the first step and probably the easiest one. The second step was to ensure sustainability: What does the Loyal queen mother say:-

“I keep telling the women of the Nation: if we spend all the money what will happen? What will happen tomorrow? Platinum is not our wealth, our wealth is through leadership”

The third step was to make everyone see it that he or she is benefiting from the fight for regaining the land and subsequent mineral rights as well as the communal investment that made to day:

· Bafokeng the wealthiest tribe in Africa

· Bafokeng public rise their expectation to live a lavish life style

· Public to put pressure for swift and more distribution of wealth to individuals

The loyal king provides the leadership where he says:

“We are facing a challenging situation. The expectations are bigger and bigger. All we have to do is ask people to exercise constraint, but this is hard to sell to people with high expectation. (Russell, 2009: 157-180).

From the above case study we can have some few question to help us find answers to the issues of sustainability that are always overlooked.

Again, the issue of nationalism did not play in the favor of Bafokeng, they had to invest using income generated from the loyalty.
What are we doing with the loyalty we have gained so far- tumekula tu mwalimu

MAONI YANGU

Turudi kwenye sayansi
Invest ili ule jasho yako
 
Ni hivii?????? kwenye sayansi hakunaga majibu mawili ukifanya mfano quatitative analysis ya mineral flani ukishafikia mwisho na kusema labda 10kg ya dhahabu basi jibu ndio hilo. Hao waliochukua muda wao wameapa, na ni wataalamu walibobea kwenye fani hizo. Sayansi sio kama sheria muanze kuleta mambo ya " NEMO JUDEX IN CAUSA SUA" haipogo
 
Kwahiyo hili ni suala la kisanyansi au la kisheria zaidi? Kuapa sio tatizo hata wanaotumbuliwa wanakuwa wameapa! Nilitaka tu kujua kama ripoti ya "maprofesa" ni "duniani na mbinguni"-kwamba sasa imethibitishwa, with no reasonable doubt kwamba ACACIA ni wezi?
 

Ndiyo tunawasahihisha tulizeni mshono.
 
Hakuna jibu zaidi ya hilo. Hivi unajua kuwa Mji wa geita unaelea ardhi yote chini hawa " MABOSI WAKUBWA " @ as per lissu. Wamechimba underground kuchukua kila kitu???
 
Tatizo siyo yeye, tatizo ni walio tunga sheria na mikataba chini ya CCM na wabunge wao ambao wemyewe kila kitu ndiyo
 
Tundu lissu msomi aliyeasiliwa na siasa so uchambuzi wa Dr kilangi ni madhubuti
 
Yawezekana jambo hili likaisha kwa hasara kwa nchi yetu,lakini kwa kutokea kwake ni Mwanzo wa kuwa na msingi imara kusimamia maliasili zetu Siku zijazo.Pia ni jambo jema wajuzi wa mambo wanapotuelewa juu ya hili.La msingi ni kuungana na kupambana kwenye hii vita.Ndio maana mabepari wameungana kupitia vyombo vya mfano MIGA ili kutetea unyonyaji wao.Nasi tunapaswa kuungana kupigania tulipokosea
 
Wenzako wanachambua mambo kitalaam wewe unaleta ushabiki na ufia chama.
Hakuna cha utaalamu wala nini magufuli go ahead endelea kusimama na shareholders ripoti usiikabidhi management ya Acacia tuma mawakili wakaisome kwenye mkutano mkuu wa shareholders au ipeleke huko usiwape board wala management ya accacia. Findings zote wape shareholders
 
YEHODAYA mbona unaleta matusi ndugu yangu?Lete hoja ili mjadala upambe moto sio kumtukana mtu.
Usimjadili mtu mwenye kimo kifupi cha fikra. Yeye anachojua ni matusi na kushambulia watu. Umeona hoja yoyote ya maana toka kwake? Yaani kama sheria zinasema mchanga ni halali kwa ACACIA, halafu menejimenti yao ikawaibia wanahisa nao wakashtuka baada ya umbea wetu, sisi tutafaidika nini kama kila kitu ni chao? Au tutapewa posho ya Informer?
 
Ndio maana hawa waliotuingiza katika hili lidude wanajua jinsi linavyotisha mpaka akina muongo walibaki kumezea tu maana haligusiki kizembe zembe duuuh, aisee nyie wabunge wa ndio na viongozi wote mlioingia mikataba hii Mungu awaongezee umri mrefu ili muyaone mliyoyafanya
 
true. one and the same thing...
Lissu ameongea kama mwanasiasa.
Kilangi kama academician.
wamedeseana kidogo lakini - ila sijui nani kamdesa mwenzake!
 
Wewe sayansi umeisoma au umekaririshwa? Nani aliyekuambia sayansi haina majibu mawili? Hao waliokuandikia vitabu vya sayansi unavyotumia kukariri walikua na majibu zaidi ya mawili
 
Sawa mkuu ila mwisho wa siku tunataka mali zetu ziwe salama ma nchi yetu iwe salama.

Tumechoka kuibiwa.

 
Hao hawana tofauti na akina chief Mangungo sijui wa nini huko.

Ni aibu sana kwa huu upuuzi.

 
Wananchi wetu wanaangalia tu kama muvi! Wanacheka, wanalia, wanashangilia na wanabet! Yote kwa yote, kila mtu anatabiri hili picha kwa namna yake, hasa kwa kuegemea ktk mwisho anaoutaka yeye!

Binafsi nimemuelewa doctor-Loud and Clear!
Dokta ameandika vizuri sana tena bila kuonyesha siasa, na kama hili jina ni la Musoma, Kilangi basi ni ukoo mmoja na Muhongo, lakini huyu si ni Commissioner of Petroleum Upstream sijui madudu gani hata siyajui, huu ushauri nadhani atakuwa kamshauri Magufuli maana kateuliwa juzi tu kwenye uteuzi wa kina Mchwampaka
 
acha uvivu wa kusoma,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…