Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana ile report Mruma alikuwa anatoa Maximum and Minimum Tonnes za Ounces maana yake ni posibility ya kiasi kilichopo kwa hiyo michanga, hizo ni hesabu lakini kama ulisoma HGL ukaenda hapo UD darasani mnajazana 700 mtabaki kutusumbua tu humu na visheria vyenuKwahiyo hili ni suala la kisanyansi au la kisheria zaidi? Kuapa sio tatizo hata wanaotumbuliwa wanakuwa wameapa! Nilitaka tu kujua kama ripoti ya "maprofesa" ni "duniani na mbinguni"-kwamba sasa imethibitishwa, with no reasonable doubt kwamba ACACIA ni wezi?
Hakuna kitu kaandika mtetezi wa wahuni tu huyo. Atuachie wazalendo tupambane yeye abaki na vifungu koko vya sheria alivyokariri kutetea mabeberu management ya Accacia.
Msomi Gani koko huyo asiyejua kuwa kilichokuwa kikifanywa na management ya accacia hakikuwa na baraka ya wanahisa wa Accacia? Ndio maana namuona kibaraka tu wa management ya accacia sio wanahisa wa accacia.
Management ya Acacia wamewaibia sana wana hisa wao subiri na ripoti ya makontaina waliyosafirisha miaka yote itoke wanahisa wapate taarifa yake. Huyu mwanasheria koko na wenzie akina lisu watatafuta shimo la kujificha. Mleta mada ni kati ya wanasheria finyu wasioangalia swala kwa upana wake.
Kabeba cv kubwa hewa. Kwa sasa wanahisa wako busy kuhakiki je kilichotoka Tanzania kiliwafikia kama kilivyo? Na je makontaina yaliyoondoka nchini yote yalienda kule kiwanda walichokubaliana au kuna yaliyochepushwa kwenda smelters zingine? Macho Ya wanahisa yote yako kwa magufuli wako naye asilimia 100 kwani wanataka ukweli ujulikane kujua kama management imewaibia au la.
Wakati wanahisa wako na magufuli wasomi sheria koko kama mleta maada wako na management ya accacia na wanapiga filimbi Ya hamelini kuitetea management. Mleta mada ona aibu nakala mpelekee tundu lisu na chadema. Hii vita tuachieni wazalendo nyie kaeni na mavyeti yenu koko ya sheria
Daktari amesema sawa kwa mambo mengi ila hapa amekosea. TEITA Act iliandaliwa kwa pamoja baina ya Makampuni, serikali na CSOs, kisha kufikia consensus kuwa mikataba iwekwe wazi. na hii ni consistent na EITI Standard. Aidha kulifikiwa consensus kuwa iwapo kutakutwa non compliance ya MDAs, sharia ya TEITA itatumika retrospectively. Ninaijua vizuri sheria hii tangu maandalizi yake (2012) hadi kupitishwa Dodoma (2015 - nilishiriki).Ingawa sasa kuna mabishano makubwa. Wengine wanaipinga. Ndio maana japokuwa tuna sheria mpya ya uwazi na uwajibikaji - Extractive Industries (Transparency and Accountability) Act, 2015, ambayo inasema mikataba yote iwekwe wazi, makampuni yamekataa kwa kusema kuwa wakati wanasaini mikataba hiyo sheria hiyo haikuwepo. Mnavyojua sheria hairudi kinyume. Kumbe watadai bado canal in sea na principle hiyo.
Kalaghabaho na uchadema wenu usio na uzalendo wenye hisa wako highly interested kujua kama management ya accacia iliiibia tu serikali ya Tanzania au waliwapiga na kuwaibia na wao. Bei za hisa za accacia zimeshushuka kwenye masoko ya hisa Ya kimataifa wanahisa wanataka maelezo ya kueleweka Kama management ya accacia iliibia tu serikali au nao walilizwa ripoti Ya tume za uchunguzi za serikali ya magufuli wanazichukulia very serious. mleta mada alichoandika na matamko ya akina lisu na chadema ni upuuzi mbele Ya wanahisa wa Accacia ni aibu kwa mtu kujiita msomi na kuandika vitu vya kipuuzi kama alivyoandika mleta maada. Hoja kama za tundu lisu na chadema kwa wenye hisa wanaziona ujinga mtupu. Heri wangenyamaza kimya. Issue hii ya mchanga wanahisa wanaichukulia very serious kuhakiki kuwa je na wao hawajaibiwa na management? Mtu wa kuwahakikishia hili ni raisi na tume zake sio mleta mada wala mpiga yowe koko la kisheria tundu lisu au chademaMkuu,
Weka chanzo cha taarifa yako ili na akina siye tupate maarifa na tuwaumbue "wezi" hawa.
Kaka ...
Kweli kabisa, naona pia kaichambuwa kidogo sana, hasa upande wetu tunaoibiwa, ebu tusubiri wengine waje nao, ila hapa ACACIA wamepatikana, JPM kawakamata vizuri mno, wakubali kosa tuhesabiane vya kuhesabiana, wawe wa kweli sio uababaishaji, wajuwa walitegemea mambo yatakuwa kama walipokuwa wa kina chenge na warema, kumbe bana mambo yamebadilika! Wako hoi..Hakuna kitu kaandika mtetezi wa wahuni tu huyo. Atuachie wazalendo tupambane yeye abaki na vifungu koko vya sheria alivyokariri kutetea mabeberu management ya Accacia.
Inaonekana akili zako ziko chini huna hata uwezo kufikiria mbali huna Pumbav!!!!!! Mkubwa!!!!!Agent of imperialist at work. Ahadi mojawapo Ya mwana Tanu ilikuwa ikisema nitajiellimisha kwa kadri Ya uwezo wangu kwa faida Ya watanzania walio wengi .mleta maada kajielimisha sana kwa faida ya imperialists. Very sad.Yeye na tundu lisu wamejielimisha sana kwa faida ya imperialists
Rais wetu angekua hawachukii wapinzani tungekuwa tunapambana na adui mmoja kwa silaha sahihi bila kupoteza muda.Amenifungua ubongo, just why tangu mabishano haya yaanze, sija comment chochote. Mwanzo niliona Kama Raisi amefanya vizuri, lakini kadri Siku zinavyokwenda naaza kukata tamaa. Tuendako nathani kuna kiza kinene.