Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais

Kwa sasa kila anayewa-criticise mnamwona ndiye mchawi anayewawangia mambo yenu ya kukurupuka yasiwanyookee!!! Mlikurupuka kusaini mkataba, mmekurupuka tena kuuvuruga mkataba!!!!! .........oooooohhh ni ile ileeeeee ni ile ileeee.....
 
Dr. Kilangi amesema ukweli na ameitendea vema taaluma yake. Hajatuanagusha wasomi na ninamtakia kila la heri katika uandishi wa kitabu chake.

NB: Kumbikeni huyu ni mteule wa Rais. Ni mwenyekiti wa Bodi ya Petroli.
 
Mkuu kama kuna vingine lete ,tunataka hoja za kisomi
 
Hakuna kitu kizuri kama kumjua mchawi wako hata kama anaweza kukudhuru, maana tunajua kuwa mchawi ameumbuka hadharani hilo ni pigo kubwa ambapo heshima yake imevunjika mbele ya jamii tunangojea tume iliyobaki ya kisheria ili tumvue nguo zote.Media ni silaha kubwa sana baada ya hapo waswahili husema penye nia pana njia tuendelee na nia yetu nzuri na tutapata njia na kamati ya kisheria itatushauri pa kuanzia.
 
Nilitegemea labda baada ya kusoma hizo background ntakuta maelezo ya aina ya mikataba na clauses zake nchi inayoweza ingia, sababu za kuchagua frameworks, sheria Ina compliment vipi contractual framework nchi inayopendelea, etc with nitty gritty za mikataba.

Mweh
 
Tujiondoe MIGA kwanza, na kwenye treaties zote then tuwatetemesha hawa jamaa...this time ni MAUMAU tu. Overconfidence ya Magu ni changamoto au wenda jopo lake limekamilika ili wengine tubaki ktk sala tu!
 
Idiot. Mchango wako uko wapi?
 
Hili ndilo tatizo tulilonalo. Watu wenye elimu zao wakijaribu kutoa mchango wao kwenye mijadala, wanaibuka vichwa-panzi na kutaka kugeuza mjadala wa kitaaluma kuwa wa mipasho.
 
YEHODAYA mbona unaleta matusi ndugu yangu?Lete hoja ili mjadala upambe moto sio kumtukana mtu.
Mpuuze. Ukitaka kumuua mbu, mnyime access ya damu. Ukitaka kumdhibiti attention seeker, mnyime attention
 
Haiingii akilini kwamba kampuni inaingia gharama ya kusafirisha makontena hadi 300 ya mchanga kama hayana faida yoyote. Ninajiuliza jee miaka ishirini iliyopita katukuwa na viongozi au walikuwa wapi? Au tuseme kwamba tulikuwa na wanyapara tu. Jamani yuache siasa uchwara tupiganie rasilimali zetu zinazopotea. Kipindi cha ukoloni walituibia almasi pale mwadui sasa na leo pia? Imetosha
 
Tujiondoe MIGA kwanza, na kwenye treaties zote then tuwatetemesha hawa jamaa...this time ni MAUMAU tu. Overconfidence ya Magu ni changamoto au wenda jopo lake limekamilika ili wengine tubaki ktk sala tu!
What about the stabilization clause ndani ya mkataba wenyewe auwezi kukupeleka kwenye arbitration ata ukijitoa huko.
 

You're very liar and hypocrite!
Just an agent of CCM Hooligans and corrupt rulers!
Trying to condemn Tundu Lissu and author of this thread instead of people like Ben Mkapa,Andrew Chenge,Jakaya Kikuete and all ministers in and out of CCM current leadership is a bright day cheating!!!!
T.Lissu has been on the forefront to speak loud n' clear opposing the Tanzania Mining Law& Contracts!

Tatizo la mi-CCM mnataka kuishi maisha ya mnyama 'KINYONGA'! Kila kukicha mnataka kubadilika rangi like unto a chameleon ili KUKIDHI TAMAA ZENU ZA KISIASA!

Kitu mnachosahau ni kwamba huyu mtawala wenu wa sasa Magufuli anafanya kazi za WAPINZANI aidha kwa maksudi au kwa bakhti mbaya bila kujua kuwa anasafishia njia upinzani 2020!!!
 
Kwani ukikiri kuwa hujaelewa kitu kuna ubaya gani kiliko kutuletea ubishi wa kishabiki yanga na simba we mswahili?
 
Mwandishi hajapendelea upande wowote, ila ame elezea Nguvu tuliyonayo kama nchi na Mapungufu tuliyonayo kama nchi juu ya mikataba.
Kilichonipa nguvu mwandishi amemalizia kwa kusema hii ni vita. Kwamaana hawezi kuweka hadharani (jukwaani)kitugani tunatakiwa kufanya kama nchi. Ila atakapo takiwa kutoa mchango wake wa kitaaluma ili kupambana na wizi huu atawashauri serikali nini chakufanya, kuwabana Hawa wawekezaji.
 
Pamoja na umuhimu wa kujua background ya migogoro ya miaka 50 na 60 maana hiyo ndio premise ya contractual frameworks zaleo. Ukitaka kuelewa mambo ya mikataba lazima uzijue frameworks zenyewe, main clauses zake, faida na hasara zake, sheria tulizonazo zina support framework zipi.

Aina ya frameworks:
Production sharing agreement
Concessions agreement
Joint venture agreement
Risk/Services contracts

Utaona sheria za nchi zinalenga hapo kutona na prefered contractual framework sio utumbo ulioandikwa na huyo msomi wenu just nonsense.
 
Tatizo bunge letu ni la ndiyooooooo! Huwa wanatengeneza hadidu za rejea nzuri sana
 
Suluhisho LA mgogoro huu ni kuamua kununua smelter kwa gharama yoyote! Mchanga huu tuufanyie smelting wenyewe! Hayo matani ya dhahabu yawe halisi na si ndoto!
Huo utakuwa ni ushahidi tosha kuwa "wawekezaji" wamekuwa wakituibia! Tutadai madini yote waliyokwisha kuiba toka waanze kusafirisha mchanga! Na itakuwa ni sababu tosha ya kuvunja mikataba yote na wawekezaji wa kwenye madini na tuwekeane mikataba yenye manufaa! na lazima iwe wazi!
 
Dr.Kalemani atakuwa anafahamu mengi amekuwapo wizarani kwa muda mrefu
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…