Unaweza ukatumia cheti si chako lkn huwezi foji utaalaamu taaluma, Ni lzm ukae darasani.Hapa awakureasoning.Yawezakuwa pia ni moja ya mbinu ya kupunguza watumishi ili wabaki wachache wa kumudu kuwalipa salaryW
Wateule wanampenda ila mimi mwananchi wa kawaida namchukia sana.Kamfukuza kazi ya ualimu baba yangu kisa cheti,walimuajiri vipi?mbona wanafunzi aliokuwa anawafundisha wafaulu kwenda sekondari