Unaweza ukatumia cheti si chako lkn huwezi foji utaalaamu taaluma, Ni lzm ukae darasani.Hapa awakureasoning.Yawezakuwa pia ni moja ya mbinu ya kupunguza watumishi ili wabaki wachache wa kumudu kuwalipa salaryW
Wateule wanampenda ila mimi mwananchi wa kawaida namchukia sana.Kamfukuza kazi ya ualimu baba yangu kisa cheti,walimuajiri vipi?mbona wanafunzi aliokuwa anawafundisha wafaulu kwenda sekondari
Kinaangaliwa Ni percent ukichukua na wengi una matatizoHi!! Bageshi! Ukiwa unatekeleza mambo yako huku ukiwa na hofu ya utachukiwa (kutopendwa)utakuwa huwezi kufikia lengo Bageshi!
Na duniani, mtu atakaye pendwa na kila mtu huyo ni wakuogopa kama ukoma na atakuwa mpumbavu wa kiwango cha dege la Jana!!
Ni futureless people au mnufaikaHao wananampenda au hawajui kinachoendelea?
Ni kwa sababu ameshindwa zuia mitandao japo utamaniManeno yote yale dhidi ya Rais halafu mnasema hakuna uhuru wa mawazo na kusema mwogopeni Mungu
NDO MMESHAMALIZA KUNADI SERA HAPOHali si hali watu, watanzania baadhi kama siyo wote wamechoka, kufuatia kifo cha Jaji mstaafu Mark Bomani, hii ni tweet ya rais wa Tanzania;
"Nawapa pole familia na wote walioguswa na kifo cha Jaji Mstaafu Mark Bomani. Nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa Serikalini katika masuala ya sheria na katika chama akiwa Mjumbe wa Baraza la Wadhamini wa CCM. Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina."
Baada ya tweet hiyo hapa chini ni baadhi ya comments za wananchi wake wakimpa pole 😂...
View attachment 1566754
Ni wale wajinga jinga ndio wanamkubali.Wanaompenda wengi hawaongei na wengine hawana hata access ya mitandao ya kijamii.
Wajibu wa kuuwa watu?Ni hulka ya binadamu kupenda au kuchukia, Mungu wa mbinguni aliyetuumba kuna binadamu wanamchukia vipi kwa mavumbi Magufuli, muhimu anatimiza wajibu wake Kama Rais tunaompenda tupo tena ni wengi zaidi ya hao wachache wanamchukia.
Ni ndugu. Mie nikijua huyu atakuwa na umri karibia miaka 90!
Sio kweli wanapotosha hawa watotoApumzike kwa Amani...ili hii figure ya kuzaliwa 1943 na kuwa mwanasheria mkuu 1965 kama ipo sawa...atakua alianza kazi akiwa young sanaa.
Nasikia yupo mapumzo ya tathimini ya kwanza ya mbiringe za kampeni, so hawezi kwenda.Kwakuwa aliyefariki ni Mtanzania ndani ya Tanzania tena kiongozi mstaafu hakupaswa Ku tweet tena hasa kipindi hiki ..
Alitakiwa atoe pole rasmi ya ikulu ama aende physically
Si kweli mkuu ni msukuma tena wa NguduKumbe Jaji Mark Bomani ni Mzanzibari! Sikuwahi kujua hili. RIP
Kwani alikuwa amempokea Yesu? Sidhani kama alikuwa ameokoka huyu.Amekamilisha safari yake hapa Duniani Apunzike mahala pema peponi
Ni ndugu kabisa hao mkubwa na mdogo wake.Mark bomani na paul bomani wanaundugu au ni majina tuh kufanana??
Kwanini unadhani alikuwa hajaokoka?Kwani alikuwa amempokea Yesu? Sidhani kama alikuwa ameokoka huyu.
Wewe unadhani aliokoka?Kwanini unadhani alikuwa hajaokoka?
Mwenyezi Mungu anakataza kuwahukumu wenzako.Wewe unadhani aliokoka?
Siyo lazima apumzike kwa aman as long as alikuwa mwana ccmApumzike kwa amani