johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kwani CHADEMA iko juu ya sheria?AG anahusika Vipi na maamuzi ya CDM?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani CHADEMA iko juu ya sheria?AG anahusika Vipi na maamuzi ya CDM?.
Because his boss said soAG anahusika Vipi na maamuzi ya CDM?.
Kumbe zile sheria kandamizi na zenye vioja zilizotungwa kabla ya Bunge lililopita kuvunjwa, zilikuwa na lengo la kuwapa viongozi dhalimu wawe na kinga za kutokushtakiwa kutokana na madudu ambayo wataelekezwa kuyatekeleza.Mwanasheria mkuu wa serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa Chadema ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.
AG amewaonya Chadema kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.
Source: Gazeti la Uhuru
Maendeleo hayana vyama!
AG amejuaje nini CHADEMA watawafanya hao watuhumiwa mpaka atoe tamko leo!? vipi je wasipowafanya lolote. Aiseee akili za kutumwa changanya zako..Hivi huyu ni Prof. Kweli?Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.
AG amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.
Chanzo: Gazeti la Uhuru
Maendeleo hayana vyama!
Kusifu Na KuabuduAG anahusika Vipi na maamuzi ya CDM?.
Umeshasema mwaka juziMwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.
Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.
Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!!!
Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??
Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.
Huyo siyo Mwanasheria mkuu ni mwanamatakwa ya CCMMwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.
AG amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.
Chanzo: Gazeti la Uhuru
Maendeleo hayana vyama!
Mnyika anaachana na CHADEMA na Lissu anakwenda ACTNamuona Lisu na Mnyika kwa mbali wakiachana na siasa
Hii inaitwa "kutishiana nyau."Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.
AG amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.
Chanzo: Gazeti la Uhuru
Maendeleo hayana vyama!
Kwani huyo Mwanasheria yupo juu ya Sheria kutengeneza Sheria zake binafsi kwa matakwa ya CCM?Kwani Chadema iko juu ya sheria?