Napata shida sana kuona CCM wenzangu tuna angaika na maswala ya chadema, waacheni waumane...
AG, chadema wakifanya kikao chao na kuazimia kuwa futa uanachama ni hatua gani utachukua? Ni itakuwa dhidi ya taasisi au utachukua kwa mmoja mmoja na kuiacha taasisi salama?
Kwa CCM wenzangu kushabikia hili ina tuingiza moja kwa moja ktk swala lenyewe, hivyo ni bora waumane wao kwa wao...
Maswala yao ya Ndani tuwaachie wenyewe, ili mradi wafate sheria za nchi.
Nawasihi tuwaache wapambane na mambo yao... Mfumo dume hauta kuja kuisha kuanzia ktk familia, ktk taasisi za kiimani mpka ktk serikali
Sasa wanao pinga mfumo Dume ktk siasa wana ajenda zao
Mh. Rais wa Zanzibar Dr. Mwinyi alieleza vizuri sana ktk hotuba yake na ktk maswali na majibu
Kidumu chama cha mapinduzi...