Mwanasheria Mkuu: Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu waliapishwa kwa mujibu wa Sheria na Katiba, CHADEMA isiwaguse

Mwanasheria Mkuu: Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu waliapishwa kwa mujibu wa Sheria na Katiba, CHADEMA isiwaguse

Napata shida sana kuona CCM wenzangu tuna angaika na maswala ya chadema, waacheni waumane...

AG, chadema wakifanya kikao chao na kuazimia kuwa futa uanachama ni hatua gani utachukua? Ni itakuwa dhidi ya taasisi au utachukua kwa mmoja mmoja na kuiacha taasisi salama?

Kwa CCM wenzangu kushabikia hili ina tuingiza moja kwa moja ktk swala lenyewe, hivyo ni bora waumane wao kwa wao...

Maswala yao ya Ndani tuwaachie wenyewe, ili mradi wafate sheria za nchi.

Nawasihi tuwaache wapambane na mambo yao... Mfumo dume hauta kuja kuisha kuanzia ktk familia, ktk taasisi za kiimani mpka ktk serikali

Sasa wanao pinga mfumo Dume ktk siasa wana ajenda zao

Mh. Rais wa Zanzibar Dr. Mwinyi alieleza vizuri sana ktk hotuba yake na ktk maswali na majibu

Kidumu chama cha mapinduzi...
Nani kakuambia CCM wanahangaika, wahangaike kwa lipi?
 
Anayebidi aongelee hili suala kwa sasa ilibidi awe NEC lakini nao simu hawapokei wakipgiwa. Wanaona aibu hata kutoa matamko. Sasa huyu mwanasheria mkuu huo mchakato wa ndani ya CHADEMA alikuwepo mpaka apingane na Katibu wa chama!

Kweli Tanzania ina ajabu sana.
Hahahhaahhaaahahahhaaha nashukuru kuzaliwa Tanzania nchii. ya ajabusana
 
Mwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.

Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.
Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!!!

Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??

Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.
Asipowafukuza, ajue ndio mwisho wa CDM. Wanachama wamekasirika kweli kweli. Na Mbowe anajua hilo, hatuwezi kukaa na wasaliti. Hao unaosema waliomba radh na kuachana na mpango wao. Tunategemea nao wataomba radhi na kuacha mpango wao ovu ili wabaki ndani ya chama.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

AG amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
Safi sana AG .Wasilete 'ngendengwe' zao hapa.na hao ni wanaume wa CHADEMA wenye roho mbaya kama mashaitwan.
 
Mwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.

Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.
Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!!!

Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??

Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.
Huu utopolo umepuuzwa ulipouanzishia uzi,sasa umeamua kucopy kila sehemu😁😁😁!
Mnaweweseka sana!
 
Mwanasheria wa CCM kazini.. kumfurahisha baba yake.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

AG amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

AG amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
Huyu nae katokea wapi?
Yanamhusuje mambo ya chama na wanachama wake?
Yeye angojee kuja kuitetea serikali huko ilikojikanyaga.
 
Kuna mtu anamsikiliza huyo AG kibaraka wa jiwe, huyo si ndio Cecil Mwambe alijitoa cdm akajiunga na ccm, kisha akarudishwa tena bungeni kwa maelezo ya kihuni? Sasa hapo kuna AG au muhuni aliyeamua kujidhalilisha ili apate mlo?
Huyo ni puppet wa Jiwe!Yaani prof mzima linakubali kulamba viatu vya wanasiasa!shame!
 
Halima kwanini unaweza taharuki kwa tamaa ya vyeo? Ivi kumbe nawebl huna tofauti na wale
 
Huyu AG kwenye hili suala la CHADEMA ameongea kama nani?

Mambo ya ndani ya Chama AG anayazungumzia Kwa Mamlaka yapi?
 
Maajabu ya mwaka haya. Kwa iyo amesema kifungu gani cha sheria kinakataza vyama kuwashughulikia wanachama wake??? Na amesema yeye Kama nani? Tangu lini mwanasheria mkuu wa serikali akavisemea vyama??? Kweli Fatma Karume alikuwa sawa juu ya huyu jamaa
 
Yaani mwanasheria wa serikali aingilie maamuzi ya vikao vya CDM?Hii ni wazi kuwa wameshiriki kufanya udanganyifu!Hii ni aibu ya karne!
Shetani hana urafiki/undugu. Keshawaponza na kuwauza wengi.
 
Back
Top Bottom