Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Hii mizwazwa, inaipita posti yako, halafu inakomenti ujinga mtupu, basi ionekane inapinga wala hata hawajui wanachopinga
 
Napinga hii kitu maana najua kusoma na kuandika
Wewe mbung'o unajua hata unachokipinga?
Weka hapa unapinga nini, sio mnamezeshwa mataputapu tu halafu mnacheua shombo kwa kuwa na akili kisoda
 
Suala la DP World limeibua wanasheria wengi uchwara na wanafurahisha kweli. Hayupo hata mmoja anayejiita mwanasheria wa wasiwasi wote ni wasomi mahiri!.

Hakuna uchukuaji wa bandari zote, huyu mwekezaji anachukua asilimia nane tu ya eneo zima la bandari.
 
Huo "mkataba wa bandari" uko wapi?
Wewe Kijakazi wa Mwarabu.

Ni kwanini mlimfukuza Mwarabu Zanzibar?

Na mnampigania aje Tanganyika.
Kwanini hamu mpiganii arudi Zanzibar aendeleze Uislamu na Misikiti?

Nendeni Dubai muka muombe radhi.

Nyinyi Waisilamu ndio mliomfukuza Mwarabu kwa risasi. mliwaua hadi Waarabu wasio na hatia.

Kwa mujibu wa Mzee Saidi Muhammedi.

Mwarabu hana nafasi Tanganyika. Akifosi kuja kitakachompata hatasahau maishani mwake. Atakimbia mwenyewe.

Wapimbi nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…