Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Si unajadiliwa bungeni, kwa mara ya kwanza jatika historia.

tunataka nini zaidi ya hilo?


Wengi humunwsnsoigs kelele bila hata ya kuusoma na kuulewa mkataba.

Wengi humu wanapayuka kufata mkumbo tu bila hata ya kuelewa ni nini maana ya biashara, licha ya za kimataifa.

Leo una haraka ya wapi, mbona spelling error kibao? Bunge lipi, hili hili bunge kibogoyo la majizi ya kura? Labda ww ndio una imani na bunge hili.
 
Hivi kisheria hairuhusiwi kumshataki aliye mshauri vibaya Mh Rais?
Unaamini yeye hajui kusoma? Mtu wako wa karibu akikushauri uuze nyumba yako kwa bei ya hasara, tatizo ni huyo mtu wako au wewe?
 
tumejadili sana hili natamani tukubaliane nini kifanyike ili hawa watu wajue tumestuka kwakuwa uwezo wa kupiga kelele tunao
 
Hakuna nchi au au mfanyabiashara wa kimataifa leo hii duniani asiyependa au kutamani kuungana kibiashara na Emirates of Dubai.

Vp nchi zingine ambako DP World imekuwa sued, nao wabaguzi?
 
Hakuna nchi au au mfanyabiashara wa kimataifa leo hii duniani asiyependa au kutamani kuungana kibiashara na Emirates of Dubai.
Hii Tanzania sasa ndio imekuwa ya kwanza na raia ndio wenye nchi.
 
Duh kumbe ngoma imeshakwisha kabla ya kuchezwa hatari tupu.
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Alafu unawasikia wajinga wanakuja maneno ya ajabu, Msigwa jieshim , kitenge jieshim, top ten ya uongonzi wa nchi jieshim , Bunge jieshim , machawa wote jieshim , hii kama una akili kwa maneno ya huyu bwana machozi yatatoka , hata hapa mda huu machozi yametoka , why mnalifanyia taifa hivi , au hii ndo kula kwa urefu wa kama,

Narudia Mungu yupo mtakipata cha mtema kuni , shame
 
Maslahi ya nani? Acheni kupotosha raia...Hata kama ndivyo, hao wenye maslahi Mungu amewatumia ili kuokoa wengi...
Jifunze kutafakari jambo lililoko mbele yako,acha kukurupuka
 
Mbowe aheshimiwe

Mdogo wangu zito kabwe ,unaumri mdogo tunakuombea ubadilike
 
Waliopaswa kumshauri Mh. Rais kwenye hili wamempoteza sana. Watimuliwe wote, kazi ya kushauri sio kusema ndio ndio kila kitu.
Mkataba tunaweza uvunja halafu wakatushitaki tukishindwa tutalipa kuliko kuukubari na baada ya hapo wahuska wote ndani,tunatakiwa kua na maamuzi magumu wakati mwingine bila kuoneana aibu,
 
Hawezi kuwa mtaalamu wa kilakitu, ndio maana anazungukwa na wataalamu. Lakini kama wao ni waty wa kusema ndio kilakitu wanapoteza maana ya kuwepo pale.
Sasa wewe mwenyewe huoni udhaifu wake hata katika kuwapata hao washauri? Anatafuta washauri wanaoitikia ndio ndio?
 
Back
Top Bottom