Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa " ni kama vile aliyefanya negotiation alikuwa holiday Dubai"Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.
Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa
2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.
3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)
4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.
Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Waliopaswa kumshauri Mh. Rais kwenye hili wamempoteza sana. Watimuliwe wote, kazi ya kushauri sio kusema ndio ndio kila kitu.
wanaamini wakipeana vyeo wao kwa wao ndiyo wanaleta maendeleo kumbe vilaza ni wengi ndani ya ccmAwamu hii ya serikali ni watupu sana kwenye Mambo ya sheria vitu vingi wanavamia kichwa kichwa na pia tunakuomba ewe mama achana na katiba yetu nyie ni dhaifu sana kwenye Mambo ya sheria ona mkataba kama huo mmepigwa hakuna tunachotegemea kwenu
Tayari mmesha feli na nia yenu kwa Tanzania ni mbaya. Tunaomba Mungu atupe kiongozi shupavu na shujaa mwenye Nafsi.
Picha yako ilivyo wekwa pale dubai wajanja tulishajua kuwa tumepigwa
Kuna haja ya kuwashambulia mawaziri wengine kwa mawe na kuwachoma moto kama vibakaMwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.
Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa
2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.
3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)
4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.
Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Kuna haja ya kuwashambulia mawaziri wengine kwa mawe na kuwachoma moto kama vibakaMwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.
Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa
2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.
3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)
4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.
Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Amejaza waislamu wenzake ndiyo washauri wakuuWaliopaswa kumshauri Mh. Rais kwenye hili wamempoteza sana. Watimuliwe wote, kazi ya kushauri sio kusema ndio ndio kila kitu.
Uovu mtupuZile 5m na 10m za goli la mama na dege ilikua danganya toto kujisafishia njia ya kuja kuanika agenda ovu.
kupinga maendeleo.
Kwa hili mama asiongezewe tena muda.Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.
Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa
2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.
3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)
4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.
Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Ina maana hata muda wa mkataba, mpaka aambiwe na wataalam , ni kwamba hakusoma?Hawezi kuwa mtaalamu wa kilakitu, ndio maana anazungukwa na wataalamu. Lakini kama wao ni waty wa kusema ndio kilakitu wanapoteza maana ya kuwepo pale.
Hakuna mwenye tatizo na hilo, ila mkataba uwe na maslahi ya umma. Kama haya yanayosemwa huku mitandaoni yako kwenye huo mkataba kweli, acha hao wanaojivunia/kutamani kuungana kibiashara na hao Emirates waendelee kimpango wao.Hakuna nchi au au mfanyabiashara wa kimataifa leo hii duniani asiyependa au kutamani kuungana kibiashara na Emirates of Dubai.
Mbowe ana nini sasa ?? Daah aisee IQ iko chini mnoHapo ndio namuelewa Mh.Mbowe kumbe ni kweli bandari zote zinachukuliwa na waarabu!?wazenj bandari Yao ipo salama
Maslahi ya nani? Acheni kupotosha raia...Hata kama ndivyo, hao wenye maslahi Mungu amewatumia ili kuokoa wengi...Ngoja waje,ngoma nzito hii,kuna maslahi ya watu flani hayajazingatiwa,ndio maana mayowe tupu