Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Huo sio Mkataba ni Amri za za Walanguzi tu.
Yaani Mkataba wote anaandika Muwekezaji na kwa Maslahi yake tu.

Sisi tumeandika nini humo, yaani uwekezaji gani wa kusikiliza matakwa ya upande mmoja tu ?

Nachelea hata aliye saini hakuusoma huo mkataba.
 
Hakuna nchi au au mfanyabiashara wa kimataifa leo hii duniani asiyependa au kutamani kuungana kibiashara na Emirates of Dubai.
Swala sio kuungana ishu ni namna gani unafaidika na huo muunganiko
 
Hakuna mwenye tatizo na hilo, ila mkataba uwe na maslahi ya umma. Kama haya yanayosemwa huku mitandaoni yako kwenye huo mkataba kweli, acha hao wanaojivunia/kutamani kuungana kibiashara na hao Emirates waendelee kimpango wao.
Si unajadiliwa bungeni, kwa mara ya kwanza jatika historia.

tunataka nini zaidi ya hilo?


Wengi humunwsnsoigs kelele bila hata ya kuusoma na kuulewa mkataba.

Wengi humu wanapayuka kufata mkumbo tu bila hata ya kuelewa ni nini maana ya biashara, licha ya za kimataifa.
 
Hakuna sehemu yeyote inayotaka tubadili sheria hili ku accommodate huo mkataba, ni story za kutunga.

Such a gullible society, easy to deceive and sway their opinion; even if the facts are in front of them.
Umekurupuka mno mno
 
Alishasema yeye sio Magu hawezi kuvaa viatu vyake na hawezi kupita kifungu kwakifungu hivo anawaachia tu Wazee wa na hili mkalitazame... wale urefu wa kamba zao !
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Kila mtu anataka aongee na asikilizwe, nchi hii inakwama vichwani na sio katika maongezi wala utekelezaji.

Yule Mama kiongozi wa wafanyabiashara kashauri na TAZARA na yenyewe itazamwe kwa umakini zaidi sio bandari tu.

Mpaka tunafikia hatua ya kuona wageni wanaweza kuwa na tija maana yake sisi wenyewe tupo hovyo sana katika uendeshaji na usimamizi.
 
Kila mtu anataka aongee na asikilizwe, nchi hii inakwama vichwani na sio katika maongezi wala utekelezaji.

Yule Mama kiongozi wa wafanyabiashara kashauri na TAZARA na yenyewe itazamwe kwa umakini zaidi sio bandari tu.

Mpaka tunafikia hatua ya kuona wageni wanaweza kuwa na tija maana yake sisi wenyewe tupo hovyo sana katika uendeshaji na usimamizi.
Hakuna anayekataa uwekezaji, tunapenda sana uwekezaji, lakini hatutaki mikataba ya Kimangungo kwenye huo uwekezaji
 
Hakuna anayekataa uwekezaji, tunaprnda sana uwekezaji, lakini hatutaki mikataba ya Kimangungo kwenye huo uwekezaji
Wanasheria wa kwako wanafanya kazi gani mpaka ikubalike hiyo mikataba?. Dunia haikusubiri wewe upate akili na uamke, yenyewe inasonga mbele kila kukicha.
 
Amejaza waislamu wenzake ndiyo washauri wakuu
Kama vile hayati JPM alivyojaza wasukuma wenzako kila taasisi nyeti ya serikali.

Ikiwa mlifurahia kuona wajomba na mashangazi zenu wakiifurahia awamu ya tano, muwe wapole kuona awamu ya sita wakiifurahia wapemba na waunguja. Kula ni kwa zamu.
 
Kama vile hayati JPM alivyojaza wasukuma wenzako kila taasisi nyeti ya serikali.

Ikiwa mlifurahia kuona wajomba na mashangazi zenu wakiifurahia awamu ya tano, muwe wapole kuona awamu ya sita wakiifurahia wapemba na waunguja. Kula ni kwa zamu.
We dada huna akili hata kidogo, sisi hata wakati wa marehemu tulisema wazi. Shame on you
 
mimi sio mjinga sana ila ni Bora waichukue tu, maana hatukuwa na faida nayo kwakwel, kila mtu mwizi. maybe wakiichukua mambo yatakuwa mazuri au mabaya yote ni matokeo. sisi hatuwezi kujitawala
 
Umekurupuka mno mno
Wapi?

Embu weka sehemu yeyote inayosema serikali imegawa port zote za Tanzania bara kwa mwekezaji.

Weka sehemu ambayo inataka sheria zibadilishwe kwa sababu ya huo uwekezaji.

Weka sehemu inayosema mkataba auwezi vunjwa kwa namna yoyote.

Weka sehemu inayosema mkataba ni wa miaka au sijui auna kikomo.

Ni mambo ya kutunga tu, mwanzo mwisho; ata hizo HGA hazipo bado.

Ni hivi huko serikalini tumejaza mapoyoyo thanks god nilimsikia huko space mtu mwingine na yeye kabaini yule mkurugenzi wa TPA ni bogus baada ya kumsikiliza thanks god sio peke yangu (huyu mama wanampachikia majina tu) na kupiga saini.

Sasa wanapoenda kuingia kwenye actual business terms ya hizo HGA huko ndio tunacheka au kulia.

Huo uwekezaji una faida kama tutapata terms nzuri tu na una uwezo wa kukuza biashara kama utafanyika. Muhimu ni kuwa na team nzuri ya negotiators, kuilewa hiyo miradi wanaweka nini na details za kina za hizo investment activities.

Hapo sasa ndio kuna hoja za kutaka kuona umuhimu wa huu uwekezaji.

Lakini tumejikita kwenye upotoshaji juu ya agreements, wakati details muhimu za huko mbele tunaacha kuuliza. Mfano wanaweka nini gate 0-7 hapo bandarini, watafanya nini dry port, itapatikana vipi improvement ya inflow-outflow ya mizigo bandarini, gharama za kila uwekezaji, return au miaka yao ya kuvuna, how do we measure performance na mambo mengine ya msingi ambayo tusipokuwa na team makini; imekula kwa nchi.

Atuangalii hayo, tupo busy na mambo ya upotoshaji tena facts zipo wazi; ila watu wanapenda tu kuongopewa awataki kujiridhisha ata ukweli ukiwa mbele yao.
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Yaani huyu mama huyu, 2025 sikubali aisee
 
Hii nchi viongozi wetu wako chini sana, vitu kama hivi mwana siasa anatakiwa awe wa mwisho kuchukua maamuzi tu, binafsi ningeshauri;
1. Serikali ingeunda team ya watalaam kuchunguza kwa nini bandari yetu haifanyi vizuri, ikatambua kwanza tatizo nini, kama ni utendaji, rushwa, mifumo hafifu, daily operations and revenue collections, hii report lazima tuwe nayo.
2. Nini matarajio ya serikali, serikali inataka ni kutoka bandarini? ofcourse ni revenue increase, ufanisi, uwajibikaji, no corruption, leading port in Africa etc, je target ya serikali annually kuongeza revenue ni ipi? na utakifikia vipi?
3. Baada ya kutambua hayo yote, je serikali inaweza kuyafanya au haiwezi? jibu ndio au hapana, kama ni hapana basi tunaenda kwa ndugu zetu hao wa Dubai (DP world)
4, DP world kitu cha kwanza kabisa tugewaambia waje kwenye mazungumzo na tuwaambie sisi requirements zetu ni hizi, ambayo ni report ambayo tumeshaifanya vizuri na watalaam wetu, tuna wauliza hivi vitu vyote mnaweza kufanya? tuna matatizo haya na haya na target ni serikali kukusanya 12 trillion per year, tumejaribu na kuna ugumu, ambao ugumu huu una sababishwa na ABCD....... ,hapo ndio msingi wa majadiliano.
5. Baada ya kikao cha watalaam wote wawili kukaa, DP world wana takiwa waje na proposal sasa ya kujibu hoja ambazo watalaam wetu wanaziona ni shida kubwa in details, na watuonyeshe watakacho fanya, A-Z, na watuonyeshe figures monthly na details ya kufikia hiyo figure ya 12 trillions, hiyoproposal waje watueleze, na tuangalie hiyo proposal yao ni kweli ikifanyika tutafika hapo?
5, Tukikubaliana, watalaam wetu wote wa TRA, biashara, sheria wanaipitia na kutoa final report, ndio inaweza kwenda kwenye baraza la mawari sijui ngazi gani kupitiwa kwanza na wao watoe maoni yao.
6. Hata tukikubaliana na DP proposal, hatu sign mkataba, nchi nyingi duniani, au private companies the way wana operate, ni kumuambia investor /DP world , tuonyeshe previous experience ambapo umefanya hii kazi ili tujifunze kwanza kutoka kwao, tupe mifano kama 20 hivi with same scope, tuone hizo bandari zilikuwa na hatua gani na zilifikia ufanisi kiasi gani na revenue iliongezeka kiasi gani baada ya nyie kuchukua kazi hiyo, ili wataaam wetu waende wakaangalie na kujifunza, na kuwa na uhakika na kuja na proposal ya huko.
7. Hatua ya mwisho, ni kuaingia makubaliano ya majaribio, trial agreement , kwamba haya mnayo yasema njooni mfanyie kazi , tunawapa trial agreeement ya 6months to 1 year, aje na wa talaam wake , waingizwe kwenye kila idara ya bandarini, wao wafanye hii kazi for one year, tuone walio yasema wana tekeleza, tena kwa gharama zao wenyewe, ikionekana within 1 year kuna changes, efficient ni kubwa , revenue imeshoot 4 times compare to what we are earning, ndipo mnaingia kwenye hatua nyingine, lakini kwenye trial agreement lazima tuweke vitu ambavyo tuna taka DP world wafikie, so kila end month tuna pita kugagua na kuona report yao, so end of the year tunatoa final report ya pass or failed.

8, Kwa kufanya hivyo utakuwa na report iliyo sahihi, kwangu kusema eti DP world watafanya hivi mara vile ni story tu, empty words, ambayo kilamtu anaweza kusema, we need evidence, we need to see revenue ine shoot by our own eyes, tuone hizo pesa na tuone vikwazo vyote vimeondolewa na watueleze kwa kuona kweli hili walifanya hivi, ndio hatua ya mwisho inakuja mambo ya terms, buying and selling terms, legal terms, hizi huwa ni hatua za mwisho popote duniani, shid kubwa nchi nyingi Africa, tuna tanguliza terms na wana siasia wanjiweka hapo mbele wakati watalaam wetu wako nyuma, maamuzi mengi ni ya kiasia zaidi, hivyo tuna pigwa na kuanza kulia lia.

Hii nchi elimu yetu ni ndogo sana , lazima tukubali, hii nchi watalaam hawa shirikishwi, hii nchi iko na zero directions, mtu anakuambia tunataka bandari iingize half of the budget bila kusema nini kifanyike kufika hapo, una uhakika gani huyo unae mleta atafika hapo? hakuna majaribio, hakuna data yeyote, na wako serious wana peleka taka yaka hiyo bungeni eti kujadiliwa, mimi nilidhani kuwepo na report kadhaa ambazo zinge jadiliwa kwanza na kuona kweli ushahidi ni huu hapa, wamefanya, ndipo tuseme kweli sisi kulingana na hawa tuwapatie.

Mungu wangu mmerogwa Tanzania? una sign contract kama hii bila majaribio? duniani kote tumetoka huko, siku hizi wawekezaji wan akuja ku proove wana chokisema, proof of concept, tuoneyeshe sio blablabla, huwezi kumpa bandari mtu rahisi kiasi hivyo just anakuambia story za kuwa nitafanya, abcdefg.
 
Waliopaswa kumshauri Mh. Rais kwenye hili wamempoteza sana. Watimuliwe wote, kazi ya kushauri sio kusema ndio ndio kila kitu.

sio kila mara tuwalaumu hao washauri
Kwani huyo Rais yeye hana akili zake za kufikiria?
hawezi kuzitumia?
usikute hiyo ndiyo shauku na Furaha ya huyo Rais
awamu hii znz watatunyoosha!
 
Back
Top Bottom