Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Shida nafasi nyingi SERIKALINI siyo competence based BALI seniority based....

Issue SENSITIVE ilipaswa wangeenda WANASHERIA BOBEVU na siyo hawa ndugu zetu ambao ni SENIORS kwa kuwa na miaka mingi SERIKALINI badala ya skills....

Mtanisamehe ila WATUMISHI WENGI SERIKALINI NI WAVIVU NA WAMERIDHIKA....

Leo unaweza kuta MTUMISHI wa UMMAH asubuhi amelewa na yupo kazini jambo ambalo huwezilikuta kwenye reputable private entity.


Mungu atunusuru na hili Janga..... tubadili mifumo ya utumishi wa UMMAH..... Hivi vitu ni kutokana na kuwa na WATENDAJI mizigo kwenye ofisi za UMMAH!!!!

Bahati mbaya na sheria zetu za adhabu nazo ni vipofu!!!!

Skills development SERIKALINI ni shiiida!!! Hao wanasheria wa serikali wakitolewa kwenye hizo ofisi ni wachache sana watasurvive mtaani; many will die of hunger!!!!!


Mama yetu MPENDWA rekebisha kwa sheria na namna ya kuwa na WATUMISHI bora wa UMMAH!!! Kabla ya yote!!!
 
Kama mmemfahamu vizuri huyo expert ni kuwa Mkataba tayari umesainiwa na hakuna chocgote kinachoweza kufanyika. Dubai itaendesha ports zote za Tanzania kwa miaka isiyojulikana. Tanzania yaweza kuuutangua mkataba huu hivi sasa, lakini watashtakiwa na walipe mabilioni. Wakishindwa, ndege zao zikamatwe, kama zilivyokamatwa ndege kadhaa hivi sasa kwa ujinga wa wanasiasa wa nchi hii wenye 'Udaktari' wa kununua usio hata na thesis moja.
Pumbafu nchi hii.
 
Kama mmemfahamu vizuri huyo expert ni kuwa Mkataba tayari umesainiwa na hakuna chocgote kinachoweza kufanyika. Dubai itaendesha ports zote za Tanzania kwa miaka isiyojulikana. Tanzania yaweza kuuutangua mkataba huu hivi sasa, lakini watashtakiwa na walipe mabilioni. Wakishindwa, ndege zao zikamatwe, kama zilivyokamatwa ndege kadhaa hivi sasa kwa ujinga wa wanasiasa wa nchi hii wenye 'Udaktari' wa kununua usio hata na thesis moja.
Pumbafu nchi hii.
Watu pekee ambao wangesaidia tusifike huko walikuwa ni wabunge wetu wakati wa kuratify mkataba kwa sababu ambazo mpaka sasa sizijui ulipitishwa kwa kishindo huku waliojaribu kuukosoa hoja zao zikiwa interrupted na kila mgonga meza.Imeenda hiyo
 
Shida nafasi nyingi SERIKALINI siyo competence based BALI seniority based....

Issue SENSITIVE ilipaswa wangeenda WANASHERIA BOBEVU na siyo hawa ndugu zetu ambao ni SENIORS kwa kuwa na miaka mingi SERIKALINI badala ya skills....

Mtanisamehe ila WATUMISHI WENGI SERIKALINI NI WAVIVU NA WAMERIDHIKA....

Leo unaweza kuta MTUMISHI wa UMMAH asubuhi amelewa na yupo kazini jambo ambalo huwezilikuta kwenye reputable private entity.


Mungu atunusuru na hili Janga..... tubadili mifumo ya utumishi wa UMMAH..... Hivi vitu ni kutokana na kuwa na WATENDAJI mizigo kwenye ofisi za UMMAH!!!!

Bahati mbaya na sheria zetu za adhabu nazo ni vipofu!!!!

Skills development SERIKALINI ni shiiida!!! Hao wanasheria wa serikali wakitolewa kwenye hizo ofisi ni wachache sana watasurvive mtaani; many will die of hunger!!!!!


Mama yetu MPENDWA rekebisha kwa sheria na namna ya kuwa na WATUMISHI bora wa UMMAH!!! Kabla ya yote!!!
Competence inapatikanaje bila seniority? Hiki ndicho kituko kingine, utaondoa tatizo Moja unaleta 1000 zaidi...Ili kupata competent people lazima seniority ihusike. So tutengeneze carrier growth strategies Ili Kila mwenye capacity aweze ku grow through carrier path yake. Na tuache ujinga wa kuwatenegenezea watu CV Kwa appointments ambazo haziwajenhei capacity wala kuwapa exposure
 
Hakuna nchi au au mfanyabiashara wa kimataifa leo hii duniani asiyependa au kutamani kuungana kibiashara na Emirates of Dubai.
sio kweli, waislamu waabudu waarabu ndio mnashobokea waarabu, name any campony from Dubai that operates in Finland ?! Nil zero not one. Mataifa yanayojielewa hakuna wa kushobokea wavaa madela aka kanzu
 
Mimi sijui mnapiga makelele ya nini ,mbona mimi sioni cha ajabu hasa ukizingatia siitegemei serikali tangu mdogo na sijawahi itegemea na sitoitegemea nadhani mnaopiga kelele hamjaelewa kuwa walioingia mkataba huo ni kwa maslahi yao na familia zao siyo kwaajili yenu na familia zenu.

Tafuteni nafasi ya kusaini mikayaba yenu kwa faida yenu na familia zenu siyo kupiga makelele wakati hamna nafasi ya kusaini mikataba,shit!!
Ndugu huku ni kuruhusu kutawaliwa na mji wa Dubai na sio kuingia mkataba.
Inawezekanaje Nchi ya Tanzania iuombe ruhusa mji wa Dubai ili iamriwe inatumiaje Bandari zake zote za Bahari, Mito ma Maziwa.

Hapo baadae wewe binafsi ukitaka kusafirisha mizigo yako kupitia Bahari lazima upate ridhaa toka mji wa Dubai.

Huoni huu ni Ukoloni Tulioupiga vita na kushinda huko nyuma ?

Hakuna mtu anayekataa mikataba wala uwekezaji.

Ilitakiwa Wanasheria wa Serikali wakae chini na kuurekebisha huo mkataba basi.

Ni Simpo tu.
Kigugumizi kinatoka wapi na ni kwanini?
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Ila kusema ukweli Kuna la kujiuliza ,Kwa nini inakuwa ngumu kubadili hata nukta Moja kwenye mkataba?
 
Ndugu huku ni kuruhusu kutawaliwa na mji wa Dubai na sio kuingia mkataba.
Inawezekanaje Nchi ya Tanzania iuombe ruhusa mji wa Dubai ili iamriwe inatumiaje Bandari zake zote za Bahari, Mito ma Maziwa.

Hapo baadae wewe binafsi ukitaka kusafirisha mizigo yako kupitia Bahari lazima upate ridhaa toka mji wa Dubai.

Huoni huu ni Ukoloni Tulioupiga vita na kushinda huko nyuma ?

Hakuna mtu anayekataa mikataba wala uwekezaji.

Ilitakiwa Wanasheria wa Serikali wakae chini na kuurekebisha huo mkataba basi.

Ni Simpo tu.
Kigugumizi kinatoka wapi na ni kwanini?
Sema kuwa kutawaliwa na waarabu ohhhhhhhhhhhhhhh. Biashara ya utumwa hiyoooooooo
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Bibi yenu Mzenji kutapeliwa nchi🤣🤣
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
 
Kupigwa lazima tutapigwa Sana, kama aina ya wanasheria wetu ndio wale wanaoenyeshwa kule kwemye mahakama ya usuruhishi, tuna safari ndefu, wanaonyesha uoga kama msukuma kafika Dar kwa Mala ya kwanza,
Wanaaonyesha uoga,
Lugha inawapiga chenga,
Kwenye crossexaminations, mashahidi wetu wanaonyesha hawajuhi, chochote hata, hati walizosaini hawana uhakika, kilichoandikwa,
 
Hakuna sehemu yeyote inayotaka tubadili sheria hili ku accommodate huo mkataba, ni story za kutunga.

Such a gullible society, easy to deceive and sway their opinion; even if the facts are in front of them.
Umeandika kwa confidence kweli huku ukiwa not informed kuwa sheria ya kulinda rasilimali aliyoipitisha Magufuli inarudishwa bungeni. Pole sana.
 
Back
Top Bottom