TANZIA Mwanasiasa mkongwe, Mzee John Lifa Chipaka Afariki Dunia

TANZIA Mwanasiasa mkongwe, Mzee John Lifa Chipaka Afariki Dunia

Pumzika kwa amani mzee wetu umepitia mapito mengi. Ulipoachia tutaendeleza

Sent using Jamii Forums mobile app
Lifa chipaka aliunganana na mnyasa mwenzie Oscar kambona aliyesaidiwa na mnyasa mwenzao kamuzu banda raisi wa malawi ambaye alipata msaada toka kwa makaburu wa Afrika ya kusini wamsaidie kambona kuangusha serikali Ya Nyerere. wakazi wa nyanda za juu kusini Na mikoa ya kusini watakumbuka vipeperushi vilivyokuwa vikamwagwa na ndege za Vita za Africa kusini vikiwataka wananchi wampindue Nyerere zikiruka toka malawi na jinsi redio zote za Tanzania zilivyoingiliwa kimawasiliano ya kijeshi zisisikike mikoa hiyo isikike tu idhaa Ya kiswahili Ya makaburu iliyohamasisha watu wapindue Nyerere. Anyway kafa lakini alikuwa kibaraka wa makaburu wazungu Kama ambavyo akina lisu mbowe na chadema leo wamekuwa vibaraka wa wazungu Kwenye madini na makinikia. Lifa chipaka Om Shanti Shanti !!!!!
 
RIP mwanasiasa wa kweli, mtu aliyesimamia kile alichokiamini.
 
Kumbe huyu mzee alikuwa Tunu ya taifa..
RIP
 
R.I.P Chipaka
====
Huyu nadhani alikuwa na info za kutosha kuhusu mutinies zilizotokea nchini tokea uhuru.
 
Kumbe huyu mzee alikuwa Tunu ya taifa..
RIP
Hakuwa tunu alikuwa kibaraka wa Malawi na makaburu akiwa chini Ya uongozi wa mnyasa mwenzie oscar kambona. Waliungana kikabila dhidi Ya Nyerere wampindue Kama ambavyo kwa sasa kuna kabila fulani ambalo liko kinyume na magufuli kwa kila anachofanya. sasa hilo kabila la chipaka walikuwa wamejazana serikalini kwenye chama na mashirika Ya umma lakini walipoleta za kuleta sasa hivi si rahisi kumkuta mnyasa kwenye chama serikali au mashirika Ya umma ni WA kumulika kwa tochi Hilo kabila linalopinga magufuli Time will tell yatawakuta ya wanyasa. It is Up to them to decide whether they are with magufuli or else yawakute ya wanyasa
 
Kapumzike kwa amani Mzee Chipaka wasalimie akina Bibi Titi Mohammed na Christopher Kasanga Tumbo bila kumsahau Oscar Kambona.

Hakika Jaribio lenu la kuangusha utawala wa Mwl Nyerere mwaka 1969 itabakia kumbukumbu kwa vizazi vijavyo, mlijaribu na kuthubutu.

Pumzikeni kwa amani wapendwa wetu.
 
Hakika Jaribio lenu la kuangusha utawala wa Mwl Nyerere mwaka 1969 itabakia kumbukumbu kwa vizazi vijavyo, mlijaribu na kuthubutu.

Pumzikeni kwa amani wapendwa wetu.
Anyway wanyasa walijaribu kuthubutu leo wanyasa wako wapi. Wasomi wakubwa nchi hii wakati nchi iko chini Ya mkoloni mwingereza walikuwa sio wachaga wala wahaya walikuwa wanyasa sababu Dini yao ilikuwa Anglikana dini Ya mwingereza mkoloni mtawala. Aliwasomesha sana wakajaa serikalini mashirika Ya umma chamani na vyama vya wafanyakazi. Kila sehemu ukienda ilikuwa lazima ukutane na bosi au msomi mnyasa.lakini jaribio la kupindua Nyerere lilibadilisha kila kitu. Hakuwa mtu anajua mnyasa ni nani. Wachaga kaeni chini muongee Future yenu haiko mbali na wanyasa nawapa ushauri WA bure you can take it or leave it. Upinzani wenu utawaweka same position na wanyasa. Sorry if I have offended u
 
Watu walionyooshwa na nyerere wanazidi kupungua
 
YEHODAYA unaandika vitu vingi sana vya uongo. Kwanza ukisema kwamba wanyasa walikuwa waanglikana ndiyo maana Mwingereza aliwasomesha unaongopa. Unawezaje kutenganisha kuja kwa waingereza na uanglikana?

Kila siku huwa tunasema kuwa CCM inapalilia ubaguzi huwa mnabisha. Sasa unaposema kwamba kuna kabila linampinga Magufuli huoni kwamba unasema uongo. Leo kila mkoa kuna watu ambao wanampinga Magufuli, inakuwaje wewe uone kwamba kuna kabila mahsusi kazi yake ni kumpinga Magufuli?

Halafu kujenga picha ya uongo kwamba wanyasa walikuwa wengi Serikalini na walikuwa wasomi kuliko wachaga ama Wahaya ni jambo baya sana. Usiseme mambo ya ovyo kwa kuwa tu umejificha nyuma ya jina bandia. Unajua shule za kwanza kujengwa Kagera ama Kilimanjaro zilijengwa hata Nyerere hajawazia kuomba Uhuru wa Tanganyika. Hizo shule walikuwa wanasoma hao wanyasa wako?

Yaani unaongea maneno yenye maudhui yanayofanana kabisa na yale ya Interehamwe ambao walianza kuwaita wenzao "mende" mwisho wa siku wakaanza kuwaua. Kama wachaga na Wahaya ni wabaya kiasi hicho ni kwa nini CCM ina wanachama wake huko?

Kuwaita Lissu na Mbowe ni vibaraka wa wazungu unajifurhaisha tu. Serikali hii na nyingi za Afrika bila hao wazungu kuwepo zisingekuwa hivi zilivyo. Leo kama Afrika ingekuwa inajitawala bila ya hao wazungu sijui ingekuwaje. Fikiria pamoja na Makelele ya wazungu lakini watawala wa Afrika wanaua, wanakamata wapinzani wao, wanafuja mali za Umma, wanaupendeleo wa kidini, kikabila, hata kiukoo.
 
YEHODAYA unaandika vitu vingi sana vya uongo. Kwanza ukisema kwamba wanyasa walikuwa waanglikana ndiyo maana Mwingereza aliwasomesha unaongopa. Unawezaje kutenganisha kuja kwa waingereza na uanglikana?

Kila siku huwa tunasema kuwa CCM inapalilia ubaguzi huwa mnabisha. Sasa unaposema kwamba kuna kabila linampinga Magufuli huoni kwamba unasema uongo. Leo kila mkoa kuna watu ambao wanampinga Magufuli, inakuwaje wewe uone kwamba kuna kabila mahsusi kazi yake ni kumpinga Magufuli?

Halafu kujenga picha ya uongo kwamba wanyasa walikuwa wengi Serikalini na walikuwa wasomi kuliko wachaga ama Wahaya ni jambo baya sana. Usiseme mambo ya ovyo kwa kuwa tu umejificha nyuma ya jina bandia. Unajua shule za kwanza kujengwa Kagera ama Kilimanjaro zilijengwa hata Nyerere hajawazia kuomba Uhuru wa Tanganyika. Hizo shule walikuwa wanasoma hao wanyasa wako?

Yaani unaongea maneno yenye maudhui yanayofanana kabisa na yale ya Interehamwe ambao walianza kuwaita wenzao "mende" mwisho wa siku wakaanza kuwaua. Kama wachaga na Wahaya ni wabaya kiasi hicho ni kwa nini CCM ina wanachama wake huko?

Kuwaita Lissu na Mbowe ni vibaraka wa wazungu unajifurhaisha tu. Serikali hii na nyingi za Afrika bila hao wazungu kuwepo zisingekuwa hivi zilivyo. Leo kama Afrika ingekuwa inajitawala bila ya hao wazungu sijui ingekuwaje. Fikiria pamoja na Makelele ya wazungu lakini watawala wa Afrika wanaua, wanakamata wapinzani wao, wanafuja mali za Umma, wanaupendeleo wa kidini, kikabila, hata kiukoo.
Wewe si uko iringa waulize wazee hapo iringa miaka Ya 70 Kama hakukuwa na ndege za makaburu zikimwaga vipeperushi mjini Na vijijini vyenye picha za wito wa kambona. Uko iringa wewe confirm
 
Wewe si uko iringa waulize wazee hapo iringa miaka Ya 70 Kama hakukuwa na ndege za makaburu zikimwaga vipeperushi mjini Na vijijini vyenye picha za wito wa kambona. Uko iringa wewe confirm
Kesi ya Lifa chipaka ni mojawapo ya maandiko ya kwanza kuyasoma enzi za kukua kwangu. Kuna mambo ya kukumbuka kama vile alivyokuwa anataka apelekewe Ukoko na matandu kama ndiyo chakula chake na alilalamika sana mahakamani kwa kukosa chakula hicho.

Lakini hayo mambo ya kutaja makabila kiujumlajumla na kutengeneza dhana zisizo na mashiko si afya kwa taifa letu. Tushindane kwa hoja zenye mashiko lakini tusipandikize mbegu za kubaguana bila ya sababu za msingi.
 
YEHODAYA unaandika vitu vingi sana vya uongo. Kwanza ukisema kwamba wanyasa walikuwa waanglikana ndiyo maana Mwingereza aliwasomesha unaongopa. Unawezaje kutenganisha kuja kwa waingereza na uanglikana?

Kila siku huwa tunasema kuwa CCM inapalilia ubaguzi huwa mnabisha. Sasa unaposema kwamba kuna kabila linampinga Magufuli huoni kwamba unasema uongo. Leo kila mkoa kuna watu ambao wanampinga Magufuli, inakuwaje wewe uone kwamba kuna kabila mahsusi kazi yake ni kumpinga Magufuli?

Halafu kujenga picha ya uongo kwamba wanyasa walikuwa wengi Serikalini na walikuwa wasomi kuliko wachaga ama Wahaya ni jambo baya sana. Usiseme mambo ya ovyo kwa kuwa tu umejificha nyuma ya jina bandia. Unajua shule za kwanza kujengwa Kagera ama Kilimanjaro zilijengwa hata Nyerere hajawazia kuomba Uhuru wa Tanganyika. Hizo shule walikuwa wanasoma hao wanyasa wako?

Yaani unaongea maneno yenye maudhui yanayofanana kabisa na yale ya Interehamwe ambao walianza kuwaita wenzao "mende" mwisho wa siku wakaanza kuwaua. Kama wachaga na Wahaya ni wabaya kiasi hicho ni kwa nini CCM ina wanachama wake huko?

Kuwaita Lissu na Mbowe ni vibaraka wa wazungu unajifurhaisha tu. Serikali hii na nyingi za Afrika bila hao wazungu kuwepo zisingekuwa hivi zilivyo. Leo kama Afrika ingekuwa inajitawala bila ya hao wazungu sijui ingekuwaje. Fikiria pamoja na Makelele ya wazungu lakini watawala wa Afrika wanaua, wanakamata wapinzani wao, wanafuja mali za Umma, wanaupendeleo wa kidini, kikabila, hata kiukoo.
Siri Ya Kilimanjaro Mbeya na kagera kuendelea ni kuwa wamisionari wazungu wakatoliki na walutheri walipenda kukaa maeneo hayo sababu ya Hali ya hewa inalingana na kwao .Wakasomesha sana waumini wao. Mikoa mingine wazungu hawakuipenda sana ikiwemo ya pwani sababu Ya hali Ya hewa ndio maana ikawa nyuma kielimu. Dini ilichangia sana tena Sana ndio maana Nyerere alipogundua alitaifisha shule ili hata Wale walioko maeneo ambayo wazungu Na dini zao hawataki watoto wa maeneo hayo wasome. Tundu lisu alipompromoshea matusi mwalimu Nyerere bungeni kuwa aliishi kwa uongo niijisikia vibaya mno wakati yeye mwenyewe kawezeshwa na Nyerere kusoma kwenye shule za Nyerere. Anyway Mungu atamlipa Lisu kwa kadri Ya uovu wake uliokubuhu
 
Tundu lisu alipompromoshea matusi mwalimu Nyerere bungeni kuwa aliishi kwa uongo niijisikia vibaya mno wakati yeye mwenyewe kawezeshwa na Nyerere kusoma kwenye shule za Nyerere. Anyway Mungu atamlipa Lisu kwa kadri Ya uovu wake uliokubuhu
Lissu alimtukanaje Nyerere maana wote tulikuwa tunafuatilia siku ile ya Bunge la Katiba hoja za Lissu dhidi ya Mwalimu.
 
Kesi ya Lifa chipaka ni mojawapo ya maandiko ya kwanza kuyasoma enzi za kukua kwangu. Kuna mambo ya kukumbuka kama vile alivyokuwa anataka apelekewe Ukoko na matandu kama ndiyo chakula chake na alilalamika sana mahakamani kwa kukosa chakula hicho.

Lakini hayo mambo ya kutaja makabila kiujumlajumla na kutengeneza dhana zisizo na mashiko si afya kwa taifa letu. Tushindane kwa hoja zenye mashiko lakini tusipandikize mbegu za kubaguana bila ya sababu za msingi.
Lifa chipaka agent wa kambona asingebanwa kibano cha uhakika mauaji ya kimbari yangetokea. Alichofanyiwa ilikuwa sahihi kwa sababu kuna sheria isiyoandikwa inasema heri mtu mmoja aangamie kuliko taifa liangamie. Nifafanue ukiwa dereva wa basi la abiria umebeba abiria 60 kichaa akakatiza mbele yako ukaona Kabisa ukimkwepa basi litapinduka na utaua abiria wote unachotakiwa kufanya ni kumgonga huyo kichaa na kumuulilia mbali uokoe abiria 60 hiyo kesi ni ndogo mno hata ukiua
 
Back
Top Bottom