TANZIA Mwanasiasa mkongwe, Mzee John Lifa Chipaka Afariki Dunia

TANZIA Mwanasiasa mkongwe, Mzee John Lifa Chipaka Afariki Dunia

Rip MZEE wetu. Wakubwa wekeni hz stori vizuri zisaidie wengine hasa sisi kizaxi jipya. Yehodaya na Allen mna vitu vizuri sana japo mwalumbana. Sio siri stori zenu zimeleta raha humu. Tuendeleee kumkumbuka MZEE wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIPJ.L CHIPAKA hivi ndugu yake ELIA LIFA CHIPAKA yupo wapi?
 
rip mzee mpiganaji ...asante Allen Kilewella KUWEPO KWENYE HUU UZI KUNA WATU WANAFIKI NA WAZANDIKI MNO MNO! KICHEFUCHEFU TU
 
Lifa chipaka agent wa kambona asingebanwa kibano cha uhakika mauaji ya kimbari yangetokea. Alichofanyiwa ilikuwa sahihi kwa sababu kuna sheria isiyoandikwa inasema heri mtu mmoja aangamie kuliko taifa liangamie. Nifafanue ukiwa dereva wa basi la abiria umebeba abiria 60 kichaa akakatiza mbele yako ukaona Kabisa ukimkwepa basi litapinduka na utaua abiria wote unachotakiwa kufanya ni kumgonga huyo kichaa na kumuulilia mbali uokoe abiria 60 hiyo kesi ni ndogo mno hata ukiua
Hii sheria kweli ipo maana hata mataifa ya ulaya wanaitumia sana kwenye siasa zao yupo wapi Robin Cook, Claire Short au Dr. Kelly. Yaani ukienda tu kinyume na interest za nchi yao na kunyima benefit ya mamilion ya watu wanakumaliza taraatibu. Country first mtu binafsi baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakazi wa nyanda za juu kusini Na mikoa ya kusini watakumbuka vipeperushi vilivyokuwa vikamwagwa na ndege za Vita za Africa kusini vikiwataka wananchi wampindue Nyerere zikiruka toka malawi na jinsi redio zote za Tanzania zilivyoingiliwa kimawasiliano ya kijeshi zisisikike mikoa hiyo isikike tu idhaa Ya kiswahili Ya makaburu iliyohamasisha watu wapindue Nyerere.!!!!

Hii habari inanifanya niwe na shaka na ukweli wa habari yako nzima. Hili jambo sio kweli.
 
Anyway wanyasa walijaribu kuthubutu leo wanyasa wako wapi. Wasomi wakubwa nchi hii wakati nchi iko chini Ya mkoloni mwingereza walikuwa sio wachaga wala wahaya walikuwa wanyasa sababu Dini yao ilikuwa Anglikana dini Ya mwingereza mkoloni mtawala. Aliwasomesha sana wakajaa serikalini mashirika Ya umma chamani na vyama vya wafanyakazi. Kila sehemu ukienda ilikuwa lazima ukutane na bosi au msomi mnyasa.lakini jaribio la kupindua Nyerere lilibadilisha kila kitu. Hakuwa mtu anajua mnyasa ni nani. Wachaga kaeni chini muongee Future yenu haiko mbali na wanyasa nawapa ushauri WA bure you can take it or leave it. Upinzani wenu utawaweka same position na wanyasa. Sorry if I have offended u
Pumbaf nilijua mtu wa maana kumbe umejawa na chuki tu za kabila fulani yote unayoongelea hayana maana unataka kupandikiza mbegu zako za chuki tu we endelea na chuki zako kawaambukize wajukuu zako sio kuja kuturopokea huku
 
R.I.P

Watu waliimbishwa nyimbo za kuwakashifu akina chipaka,kambona mashuleni katika mchakamchaka,kumbe walikuwa wanapigania Uhuru wa kuongea tu,Uhuru wa kisiasa! Hakika TANU na CCM wali-corrupt akili za watanzania

Hii imekuwa ndio tabia kuu ya nchi za kijamaa,kupangia watu jambo la kufikiri badala ya kuwaacha watu wafikiri,tuliimbiwa hotuba za kukashifu matajiri,wenye mali, UGONJWA HUU WA AKILI haujawatoka wengi,na ni matunda ya ujamaa,wengine mpaka leo wanao

Jenerali Ulimwengu alisema kidemokrasia tumerudi nyuma miaka 50! Ni kweli,zaidi ya miaka 50 iliyopita Nyerere alifuta vyama vingi,zaidi ya miaka 50 iliyopita Nyerere aliwakamata akina Lifa Chipaka kwa kuwa tu walikuwa washindani wake kisiasa,zaidi ya miaka 50 iliyopita Nyerere aliwafunga watu hawa bila hata kuwa na sheria!

Leo miaka 50 tunabuni makosa ya uchochezi ili kuwakamata wapinzani,tumerudi nyuma kula matapishi

Nyerere aliyaona makosa aliyofanya ya Kufuta mfumo wa vyama vingi na alipiga kelele mpaka ukarudishwa,leo kuna mtu haoni umuhimu wa vyama vingi na anafanya kazi ya kuvivuruga,taifa lilifanya kosa,likajifunza,leo kuna mtu MMOJA TU katika taifa ambaye hajaelewa umuhimu wa vyama vingi,lakini hata mtoto wa miaka 15 haoni shida kusikia vyama vingi
 
Back
Top Bottom