Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Sitaki kutukana Leo.Hakuwa tunu alikuwa kibaraka wa Malawi na makaburu akiwa chini Ya uongozi wa mnyasa mwenzie oscar kambona. Waliungana kikabila dhidi Ya Nyerere wampindue Kama ambavyo kwa sasa kuna kabila fulani ambalo liko kinyume na magufuli kwa kila anachofanya. sasa hilo kabila la chipaka walikuwa wamejazana serikalini kwenye chama na mashirika Ya umma lakini walipoleta za kuleta sasa hivi si rahisi kumkuta mnyasa kwenye chama serikali au mashirika Ya umma ni WA kumulika kwa tochi Hilo kabila linalopinga magufuli Time will tell yatawakuta ya wanyasa. It is Up to them to decide whether they are with magufuli or else yawakute ya wanyasa
Sitaki kutukana Leo.
Sent using Jamii Forums mobile app