MwanaSport acheni kujificha kwenye mgongo wa mashabiki wa Simba Sc

MwanaSport acheni kujificha kwenye mgongo wa mashabiki wa Simba Sc

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
238246728_4536188383067976_3274790336698307260_n.jpg


Mashabiki wa Simba ndio sisi hatukuwahi kulalamika popote kwamba kwa nini hamrushi habari za Simba Sc ikiwa kambini.

Kwanza tunapongeza uongozi kwa kutoruhusu waandishi kambini. Huu ni utaratibu mzuri. Kambini timu inaweka mikakati,mbinu za kutoboa. Simba Sc ilikuwa inaendelea na zoezi la utambulisho wa wachezaji wake huku wakiwa tayari kambini. Zoezi la usajili lilikuwa siri sasa mwandishi ulitaka kuja kujua siri za timu na siri za kambi?

Mkitaka kujua habari za Simba nendeni website yake,page za mitandao au mwiteni Ezekiel Kamwaga aje awape habari
 
Hivi jf iliwezaje kuleta mbumbumbu kama wewe?
hujui hata kazi ya mwandishi ni nini?
Sijui umeishia darasa la ngapi?.
Eti usajiri unakuwa siri tangu lini?

Kwahiyo kule ulaya fabrizio Romano anapotoaga zile updates za wachezaji na inakuja kutokea kweli kuhusu usajiri, ni ushamba? Au wewe ndio mshamba na wenzio?.

Hii nchi ina vituko 😁😁
 
View attachment 1900334

Mashabiki wa Simba ndio sisi hatukuwahi kulalamika popote kwamba kwa nini hamrushi habari za Simba Sc ikiwa kambini.

Kwanza tunapongeza uongozi kwa kutoruhusu waandishi kambini. Huu ni utaratibu mzuri. Kambini timu inaweka mikakati,mbinu za kutoboa. Simba Sc ilikuwa inaendelea na zoezi la utambulisho wa wachezaji wake huku wakiwa tayari kambini. Zoezi la usajili lilikuwa siri sasa mwandishi ulitaka kuja kujua siri za timu na siri za kambi?

Mkitaka kujua habari za Simba nendeni website yake,page za mitandao au mwiteni Ezekiel Kamwaga aje awape habari
Hicho kipeperushi cha mwanaspoti kinasomwa na nyani wa pori la Utopolo tu.
 
View attachment 1900334

Mashabiki wa Simba ndio sisi hatukuwahi kulalamika popote kwamba kwa nini hamrushi habari za Simba Sc ikiwa kambini.

Kwanza tunapongeza uongozi kwa kutoruhusu waandishi kambini. Huu ni utaratibu mzuri. Kambini timu inaweka mikakati,mbinu za kutoboa. Simba Sc ilikuwa inaendelea na zoezi la utambulisho wa wachezaji wake huku wakiwa tayari kambini. Zoezi la usajili lilikuwa siri sasa mwandishi ulitaka kuja kujua siri za timu na siri za kambi?

Mkitaka kujua habari za Simba nendeni website yake,page za mitandao au mwiteni Ezekiel Kamwaga aje awape habari
acha kujitoa ufaham.Ezekiel kamwaga atatoa habari za timu ipo rabat,halaf yeye yupo dar?Au yeye ni mganga wa kienyej anaotea?
 
View attachment 1900334

Mashabiki wa Simba ndio sisi hatukuwahi kulalamika popote kwamba kwa nini hamrushi habari za Simba Sc ikiwa kambini.

Kwanza tunapongeza uongozi kwa kutoruhusu waandishi kambini. Huu ni utaratibu mzuri. Kambini timu inaweka mikakati,mbinu za kutoboa. Simba Sc ilikuwa inaendelea na zoezi la utambulisho wa wachezaji wake huku wakiwa tayari kambini. Zoezi la usajili lilikuwa siri sasa mwandishi ulitaka kuja kujua siri za timu na siri za kambi?

Mkitaka kujua habari za Simba nendeni website yake,page za mitandao au mwiteni Ezekiel Kamwaga aje awape habari
kamwaga hela ya kujilipia nauli hana yupo dar.Na mambo ya kulala koridon hayawez mayai huyo.
Mbona manara mtamkumbuka kwa meng?Kujilipia naul kuifuata timu,kulala koridon na mengne meng tu.Mkampigie magot tu manara mvumiliv
 
Huyo Ezekiel anatolea wapi hizo taarifa na yupo anapuyanga Dar timu ipo Morocco?

Yani kweli Afisa Habari wa timu anashindwa kukatiwa ticket? Kwamba hana umuhimu ama? Na yeye anakaa Dar kungoja apewe taarifa kama mashabiki ...

Aisee.

Ubaya yule kulala koridoni hawezi kama mwenzake aliyepita.
 
Klabu imefanya hayo kwa Nia mbili
1. Kutoa maximum concentration kwa wote waliopo kambini. Tupo pre season tunajenga timu.

2. Ku channel habari iwe kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za Klabu. Hii ni kuhakikisha traffic kubwa zaidi kwa akaunti ya Klabu kuliko kwenye pages za udaku za Waandishi.

Anayetaka habari za Simba aende kwenye akaunti za club. Vinginevyo hakuna nje ya hapo.
 
Miutopolo imeshindwa kuvumilia siku ya Simba day.
Sisi wapenzi wa Simba hatuwezi peleka malalamiko kwenye vijarida vya kiutopolo.
Subirini Simba day acheni unyani nyani na vihere here.Tunajua mnataka nini utopolo nyie
 
Huyo Ezekiel anatolea wapi hizo taarifa na yupo anapuyanga Dar timu ipo Morocco?

Yani kweli Afisa Habari wa timu anashindwa kukatiwa ticket? Kwamba hana umuhimu ama? Na yeye anakaa Dar kungoja apewe taarifa kama mashabiki ...

Aisee.

Ubaya yule kulala koridoni hawezi kama mwenzake aliyepita.
Nyie demkeni tu wachezaji wakirudi na mimba msipige kelele, Mwarabu kawalipia kila kitu hawezi kuwaacha salama.
 
View attachment 1900334

Mashabiki wa Simba ndio sisi hatukuwahi kulalamika popote kwamba kwa nini hamrushi habari za Simba Sc ikiwa kambini.

Kwanza tunapongeza uongozi kwa kutoruhusu waandishi kambini. Huu ni utaratibu mzuri. Kambini timu inaweka mikakati,mbinu za kutoboa. Simba Sc ilikuwa inaendelea na zoezi la utambulisho wa wachezaji wake huku wakiwa tayari kambini. Zoezi la usajili lilikuwa siri sasa mwandishi ulitaka kuja kujua siri za timu na siri za kambi?

Mkitaka kujua habari za Simba nendeni website yake,page za mitandao au mwiteni Ezekiel Kamwaga aje awape habari
Shabiki pekee wa Simba mwenye akili ni Mshana Jr tu, nyie wengine ngedere tu
 
Hivi jf iliwezaje kuleta mbumbumbu kama wewe?
hujui hata kazi ya mwandishi ni nini?
Sijui umeishia darasa la ngapi?.
Eti usajiri unakuwa siri tangu lini?

Kwahiyo kule ulaya fabrizio Romano anapotoaga zile updates za wachezaji na inakuja kutokea kweli kuhusu usajiri, ni ushamba? Au wewe ndio mshamba na wenzio?.

Hii nchi ina vituko [emoji16][emoji16]
Sio kila kitu uige Ulaya.
 
Kuna mtu anaona noma kuonyesha mazingira ya kambi ya mikia,kuavoid hiyo kitu kakataza waandishi wa habari 🤣

FB_IMG_1628837625214.jpg
 
Back
Top Bottom