Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
[emoji111] [emoji111] [emoji111] amani Mrs Air..hahahahahahahahah! haunihusu kwasababu sitaft mwanaume ila kiuhalisia ndo nayokueleza hayo! peace
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji111] [emoji111] [emoji111] amani Mrs Air..hahahahahahahahah! haunihusu kwasababu sitaft mwanaume ila kiuhalisia ndo nayokueleza hayo! peace
Unatafuta mwanaume ambaye ameshajijenga kiuchumi na kiakiliKwa nini umesema hivyo Mkuu?
Je mke 28 mme 35 madame?ila tuseme ukweli ukitaka utulie akili mwanamke tafta mwanaume wa kuanzia miaka 37-44(kwangu mimi) mara nying wanakuwa wametulia fulan hv hana papara hata kitandani anachojua anachofanya!anajua sana wajibu wake nini ! sasa hawa wa kuzaliwa 1985men/ 1986mke NYOTA ZOOOTE UTAZIONA! yaan wana utoto jaman jaman! ova bado wanachuo vile!
mie mwanangu wa kike nikijabahatika kwakweli nitazingatia sana suala la umri wa mume wake aic potelea mbali asinielewe! eti mume ana 31 mke 29 pyeeee!
Je mke 28 mme 35 madame?
Wanawake....!!! Yaani hamuelewekagi mnataka nini... Huyu hataki wazee kwamba kugegeda ni shida, na huyu anakandi vijanaVijana wanasumbua Sana. 45+ angalau. Utapata
kuna risk kubwa, hlf kwa nn 45 plus maana kwa nchi daraja la tatu life expectancy ni ndogo mno inawezekana una motive zingine au ww mmachame au unataka kuwa mjane mapema au tayari mjane unataka kuwa mjane square.
still naona hauko serious.
Sio wote usidanganyikeKweli 45wanajielewa
Kidogo sana kwasababu wengi wamekata tamaa ya maishani kweli sio wote,ila wana uafadhar
Nye.ge za mwisho mwisho zinaanziaga umri huo wa second half .....37-45...18-34 first half .....37-45 second half....pabaya hapo maana ndio kipindi cha bhabhine....sema hao ni watunza siri ndicho wanachoweza ila ni walabuaji wazuri sana .....hao underdogs wenyewe mke wanaona ni demu tu .....hana maana yoyote....ila tuseme ukweli ukitaka utulie akili mwanamke tafta mwanaume wa kuanzia miaka 37-44(kwangu mimi) mara nying wanakuwa wametulia fulan hv hana papara hata kitandani anachojua anachofanya!anajua sana wajibu wake nini ! sasa hawa wa kuzaliwa 1985men/ 1986mke NYOTA ZOOOTE UTAZIONA! yaan wana utoto jaman jaman! ova bado wanachuo vile!
mie mwanangu wa kike nikijabahatika kwakweli nitazingatia sana suala la umri wa mume wake aic potelea mbali asinielewe! eti mume ana 31 mke 29 pyeeee!
wapomh 45 awe hajaoa kweli!labda achepuke!
Wengine walikuwa wanakimbiza PhD na ghorofa mbezi mpaka 42 ndiyo akili ya kuoa inaingia.Huyo wa umri huo si ana mke au unataka mitala mana akikwambia hajaoa ni uongo