Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Yeah ni mwendo wa kupiga tuApo epuka vi sms.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni mwendo wa kupiga tuApo epuka vi sms.
Ikumbukwe na mashoga wanazid kuongezeka kwa kasi pia kwahiyo linda kinyeo chako, utauponza...Ikumbukwe wanawake ni wengi kuliko mwanaume lakini.[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
Maziwa[emoji848]Mke wa mtu sumu mume wa mtu je?
Kutembea na mke wa mtu kweli siyo vizuri kama unajua kuwa huyo nimke wa mtuWanaume,
Nipo hapa kuwakumbusha kukaa mbali sana na Wake za watu. Leave them alone.
Haijalishi ni yeye ndio amekupenda au anakusumbua sana. Unapaswa KUACHANA NAE. hata mazoea nae yakatae.
Bado kuna Wanawake wengi warembo/wazuri wako single na wapweke. Na wanahitaji sana Upendo, Mapenzi na Attention.
Huko unakoenda UTAULIWA, UTALIWA, UTAPEWA KILEMA CHA MAISHA, UTAFUNGWA, UTAFILISIKA nk.
Respect yourself.
Kama ndo hivyo, tafuta ambao hawana wanaume.Ikumbukwe wanawake ni wengi kuliko mwanaume lakini.[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
Ushauri murua kabisa. Ila tatizo genye zikisha panda kichwani akili inapotea. Kifuatacho ni majuto.Wanaume,
Nipo hapa kuwakumbusha kukaa mbali sana na Wake za watu. Leave them alone.
Haijalishi ni yeye ndio amekupenda au anakusumbua sana. Unapaswa KUACHANA NAE. hata mazoea nae yakatae.
Bado kuna Wanawake wengi warembo/wazuri wako single na wapweke. Na wanahitaji sana Upendo, Mapenzi na Attention.
Huko unakoenda UTAULIWA, UTALIWA, UTAPEWA KILEMA CHA MAISHA, UTAFUNGWA, UTAFILISIKA nk.
Respect yourself.
Sio kila kitu ni karma,acha kukariri mkuu,kuna watu wamepata Mali kwa kuua na kumwaga damu za watu lakini Hadi wanazeeka na kufa vifo vya kawaida tu bila ya hiyo karama sijui karma kuwakumba!!Wakati mwingine tunajionaga miamba sana kuchakata papuchi za wake za watu, ila hii karma huwa inarudi hovyo sana, ni bora kujiepusha na maswahibu.. kingine hamna tuzo za kutembea na wake za watu..
Kuwa Mcha Mungu tu na life style itakuneemesha kukulinda na uzinzi.Ushauri murua kabisa. Ila tatizo genye zikisha panda kichwani akili inapotea. Kifuatacho ni majuto.
Kama unadawa ya kusaidia hili lisitojee tafadhali share.
Sio kila kitu ni karma,acha kukariri mkuu,kuna watu wamepata Mali kwa kuua na kumwaga damu za watu lakini Hadi wanazeeka na kufa vifo vya kawaida tu bila ya hiyo karama sijui karma kuwakumba!!
Kuna jirani yangu miaka ya nyuma alimpiga baba yake, cha ajabu mzee wake alitangulia na yeye akafuata baada ya miaka kama 20 toka baba yake ake kukufa ,na alikufa bila kupigwa na mtoto wake hata mmoja.