Mwanaume!! Adui wa kwanza wa mafanikio yako ni mwanamke au wanawake utakaokuwa nao.

Mwanaume!! Adui wa kwanza wa mafanikio yako ni mwanamke au wanawake utakaokuwa nao.

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Endeleeni kuwatukuza, Nimesoma leo Kitabu cha mwanzo pale kwenye bustani ya Edeni, Adam alikaa poa na viumbe wengine bila makwazo wala mzozo ila alipoingia mwanamke maisha yakabadilika mpaka leo tunaishi maisha yakiwaki. Nimegundua mwanaume kuishi mwenyewe bila mwanamke ndio nguvu ya mafanikio yako but lazima ujikane sana,

Kuna mzee mmoja aliwahi niambiaga kitambo kuwa kadri unavyosex ndivyo unavyopoteza nguvu za mwili na akili sikumuelewa but now nina miezi mitatu sijammwagia mtu ndani najiona ni mtu mwenye nguvu kimwili na kiakili japo si vyema kuishi mwenyewe kama Mungu alivyotahadharisha lakini kama unaweza ishi hivyo, utanishukuru baadae.

Women are beautiful but are too dangerous Creatures on earth.
 
Endeleeni kuwatukuza, Nimesoma leo Kitabu cha mwanzo pale kwenye bustani ya Edeni, Adam alikaa poa na viumbe wengine bila makwazo wala mzozo ila alipoingia mwanamke maisha yakabadilika mpaka leo tunaishi maisha yakiwaki. Nimegundua mwanaume kuishi mwenyewe bila mwanamke ndio nguvu ya mafanikio yako but lazima ujikane sana,

Kuna mzee mmoja aliwahi niambiaga kitambo kuwa kadri unavyosex ndivyo unavyopoteza nguvu za mwili na akili sikumuelewa but now nina miezi mitatu sijammwagia mtu ndani najiona ni mtu mwenye nguvu kimwili na kiakili japo si vyema kuishi mwenyewe kama Mungu alivyotahadharisha lakini kama unaweza ishi hivyo, utanishukuru baadae.

Women are beautiful but are too dangerous Creatures on earth.
Naturally and historically women are chaotic and distractors
 
Mungu yupi alikutaadharisha kuishi mwenyewe dhambi au Mungu nyege mkuu.....

Dume huwezi kukamilika kama hupandi majike ndo maana jogoo akiwa mzembe bandani analiwa mchuzi anaachwa yule mchakalikaji........

"Kitabu cha mwanzo pale kwenye bustani ya Edeni" stori tu km ya willy gamba! So kwa ujumla chai tu hii
 
Back
Top Bottom