Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Mpaka anakuambia hivyo ni kwamba umeshindwa kuwa Mwanaume.

Unacheka CHEKA tuu!


Kuna namna tatu za kuwa Mwanaume.
1. Kutumia Akili
2. Kutumia nguvu
3. Kutumia Akili na nguvu.

Kama Kwa mwanamke hajawahi kuona moja Kati ya hivyo kutoka kwako anakuchukulia Kama jike lenzake.

Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumtingisha mwanaume aliyekamilika.

Ati unapigwa marufuku[emoji3][emoji3][emoji3] huyo wakukupiga marufuku kakudharau,

Jifunze kutenda Kama Mwanaume. Mwanamke Hana ubavu wa kuongea upuuzi wa hivyo Kama hajakudharau, na anajua hutamfanya lolote.
Utakuwa na jinsia mbili wewe!
 
Wanawake ni watata sana kwenye hili suala, na baadae wao hujifanya ndio victims. Hivi wewe unachukuaje mimba bila ya mwanaume kuitaka? halafu una expect nini? wanafanya mambo ya ovyo sana halafu wanaishia kutilisha huruma kwa jamii, DRAMA QUEENS
 
Unaweza kufanya hivyo kwa kumuandikisha surname nyingine.

Then mbeleni baba yake akawa tajiri mkubwa then akafariki.

Kwenye mirathi mtoto akakosa haki zake na kukulaumu mama yake kwa ulichofanya
Kutumia surname ya babake haipi haki ya moja kwa moja kwenye urithi.
 
Sasa usipoandika jina la baba kwenye kadi ya mtoto inafuta ukweli kuwa ile ni mbegu yake?!

Hizo jazba za kitoto. Lazima mtoto amjue baba yake hata kama hawajibiki.


Kadi zenyewe wanakuwa nazo kutegemeana na idadi ya wababa mtoto alopewa na mama yake ambako kote anapokea ruzuku tangu wakati wa ujauzito
 
Kwa hiyo kwako ubaba ni mirathi

thamani ya baba ni mali !!..
Kwa hiyo watu walio maskini ndio wanastahili hiyo adhabu kwa sababu hawana urithi wa kuwaachia watoto ??..

Kwa hiyo mtoto akang'ang'anie ubini sababu ya mirathi kana kwamba yeye hawezi kutengeneza ridhki yake mwenyewe..

Mimi baba yangu pamoja na madhaifu yake YOTE lakini kuna zile moments ambazo alijitolea sehemu ya maisha yake kwa ajili yangu. Kunilinda, kunilisha, kunivisha, kunisomesha, kunifurahisha, kuniimarisha, kunifunza, kunionesha dira na kunitengenezea msingi wa mimi kuwa mimi.
KWANGU INATOSHA

Hata leo akisema aninyime mirathi nitaumia si kwa sababu ya kukosa mali ila kujua kuwa sikuwa priority katika maisha yake. Ila kama atagawa mirathi yake katika charities sitomchukia na nitamuombea kheri
Na hiyo yote ni kwasababu mzee wako alikulea,hakukutelekeza. Vip Kama ungekuwa umetelekezwa bado ungenena uliyoyanena
 
Wanawake ni watata sana kwenye hili suala, na baadae wao hujifanya ndio victims. Hivi wewe unachukuaje mimba bila ya mwanaume kuitaka? halafu una expect nini? wanafanya mambo ya ovyo sana halafu wanaishia kutilisha huruma kwa jamii, DRAMA QUEENS
Stupid,stop putting blames on one side. Do you the think the act was done by one human???
 
Kwema Wakuu!

Lazima tutende haki, lazima tuseme ukweli.
Wanawake wanamakosa Yao Kama tulivyo Sisi wanaume tunamakosa yetu.
Na mwenye makosa lazima aadhibiwe, na akiomba Msamaha sharti asamehewa lakini adhabu inaweza kubaki palepale.

Taikon huwaga ni mtu wa kuongea mambo magumu yasiyo rahisi, bila kujali yanamgusa Nani, iwe ni Mimi au wewe au Yule. Lengo ni kuweka mambo Sawa Kwa Haki. Ingawaje nafahamu Haki haitawezekana Kwa Asilimia 💯.

Najua wapo wanawake walifanya makosa Kwa kujibebesha mimba kimakusudi Kwa wanaume Kwa malengo Fulani, mathalani
1. Kwa lengo la kuolewa
2. Kwa lengo la Mali
3. Kwa lengo kupendwa

Hata hivyo zipo mimba zilizoingia Kwa bahati mbaya(bila kupanga baina ya mwanaume na Mwanamke).

Makosa ni makosa tuu. Lakini haimaanishi watu waendelee kujilaumu Kwa makosa waliyoyafanya. Lazima maisha yaendelee.

Amekataa mimba!
Amekubali mimba lakini kakataa kumlea mtoto.
Amekubali lakini ameshindwa Kumlea mtoto.

Ikiwa Baba mzazi amekataa au kushindwa kumlea mtoto Kwa sababu yoyote Ile isipokuwa sababu ya kifo au Maradhi basi nakushauri Usimpe mtoto Ubin wa huyo Baba Mzazi.

Amua kumpa jina lolote lile utakalolipenda, aidha ni jina la Wajomba zake wanaokusaidia kumlea, au jina la Baba yako(Babu yake upande wa Mama).

Wala sio dhambi.
Wala hakuna shida yoyote.
Kila mmoja awajibike Kwa makosa yake.

Wakati wewe ukiitwa single Mother, ukitukanwa na kuonekana Malaya, au mwanamke usiyefaa, iwe ni kweli au sio kweli, iwe ni Kwa bahati mbaya au makusudi lakini akakataa na ukazalilishwa na kuyapitia machungu.

Ukamenyeka kumlea mtoto Kwa halali na haramu wakati Baba yake anayetakiwa kutoa matumizi yupo anarandaranda huko, hata Kama Hakuwa na chakutoa lakini hata salamu na kukutia moyo alishindwa, ninachoweza kukushauri ni kubadilisha tuu Ubin WA mtoto.

Hakuna atakayekuuliza,
Na hautaonekana mbaya popote pale.

Hoja ya Msingi hapa ni kuwa, atakayemlea mtoto ndiye mwenye mamlaka naye.
Yeye ndiye ataamua aitwe Nani, ataamua jina la pili na latatu liwe la Nani.

Maana Vijana wa siku hizi tumezidi sasa.

Iwe ni Mimi Taikon au Nani, Kama umezaa na Mimi alafu nikaleta uhuni wa kukataa mimba au kushindwa kuhudumia mtoto, usitumie jina langu. Sistahili.
Na mtoto huyo hastahili kutumia jina langu.

Wanawake msiwafundishe watoto wenu kuwachukia Baba zao, nyie waleeni Kwa maadili ya kimila na Kidini, tumieni majina mtakayopenda ninyi, watoto wanavyokua wanajionea na kujua ni zipi sababu za nyie mama zao kufanya mlio ya fanya.

Lakini jitahidini kuwa wema ili watoto wasijeona kuwa ninyi ndio Wabaya.

Wito Kwa Vijana; msikimbie mimba wala msikimbie Kulea watoto.
Hata Kama huna chochote kitu, angalau mjulie hali mtoto au mzazi mwenza. Mtie moyo, kubali kubeba lawama Kwa maana wanawake ni watu wa lawama hata ungemuoa, lakini wakitulia na kutafakari wenyewe wanaelewa.

Mwanamke ukiwa mwema kwake hata Kama huna kitu anajua, anajali ingawaje atakutolea maneno ya shombo. Lakini haiondoi ukweli kuwa nao wanajisikia vibaya unavyoteseka.

Lakini Kulea mtoto hulei,
Kusalimia husalimii wala kumjulia Hali,
Mwanamke akiwa mkali kwako nawe unajifanya kiburi na jeuri Kwa maneno ya kashfa.
Unafikiri hata ungekuwa wewe ungefanyaje?

Hapo ndipo wanaume tunapokosea.
Saikolojia ya Wanawake ni kuendeshwa na mihemko, kulia upesi na kutoa maneno ya shombo kwao ni ishu ya kawaida lakini haimaanishi hawajali wala haimaanishi hawana akili ya kushindwa kutuelewa.

Mwanamke anahitaji Upendo(kujaliwa, kutiwa moyo, kufarijiwa, kupewa maneno matamu na laini, kushauriwa,)
Ukiyaweza hayo mwanamke kama alikuwa na hisia na wewe hawezi kukuchukia hata Kama humlei mtoto wake. Kwani wanaelewa.

Kitu kingine, wanawake ndio viumbe pekee ambao wanaelewa watu wanaojali hisia zao.

Unaweza kumhudumia Mkeo kila kitu(materials) kamwe hawezi kumnyang'anya mtoto wa Baba mwingine aliyezaa naye akakupa wewe ikiwa Bwana huyo bado anamjali na kumpenda.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Ninakusupport Sana Heriel hakuna haja ya kumpa mtoto haki ya jina la babayake ilhali huyo babayake amemkataa na sio kumkataa tu Bali amekwepa majukumu ya kumtunza na kumlea Kama mmiliki wake. Na iwe hivyo basi ulichokataa kukimiliki huwezi milikishwa natumai nimeeleweka
 
Kwema Wakuu!

Lazima tutende haki, lazima tuseme ukweli.
Wanawake wanamakosa Yao Kama tulivyo Sisi wanaume tunamakosa yetu.
Na mwenye makosa lazima aadhibiwe, na akiomba Msamaha sharti asamehewa lakini adhabu inaweza kubaki palepale.

Taikon huwaga ni mtu wa kuongea mambo magumu yasiyo rahisi, bila kujali yanamgusa Nani, iwe ni Mimi au wewe au Yule. Lengo ni kuweka mambo Sawa Kwa Haki. Ingawaje nafahamu Haki haitawezekana Kwa Asilimia [emoji817].

Najua wapo wanawake walifanya makosa Kwa kujibebesha mimba kimakusudi Kwa wanaume Kwa malengo Fulani, mathalani
1. Kwa lengo la kuolewa
2. Kwa lengo la Mali
3. Kwa lengo kupendwa

Hata hivyo zipo mimba zilizoingia Kwa bahati mbaya(bila kupanga baina ya mwanaume na Mwanamke).

Makosa ni makosa tuu. Lakini haimaanishi watu waendelee kujilaumu Kwa makosa waliyoyafanya. Lazima maisha yaendelee.

Amekataa mimba!
Amekubali mimba lakini kakataa kumlea mtoto.
Amekubali lakini ameshindwa Kumlea mtoto.

Ikiwa Baba mzazi amekataa au kushindwa kumlea mtoto Kwa sababu yoyote Ile isipokuwa sababu ya kifo au Maradhi basi nakushauri Usimpe mtoto Ubin wa huyo Baba Mzazi.

Amua kumpa jina lolote lile utakalolipenda, aidha ni jina la Wajomba zake wanaokusaidia kumlea, au jina la Baba yako(Babu yake upande wa Mama).

Wala sio dhambi.
Wala hakuna shida yoyote.
Kila mmoja awajibike Kwa makosa yake.

Wakati wewe ukiitwa single Mother, ukitukanwa na kuonekana Malaya, au mwanamke usiyefaa, iwe ni kweli au sio kweli, iwe ni Kwa bahati mbaya au makusudi lakini akakataa na ukazalilishwa na kuyapitia machungu.

Ukamenyeka kumlea mtoto Kwa halali na haramu wakati Baba yake anayetakiwa kutoa matumizi yupo anarandaranda huko, hata Kama Hakuwa na chakutoa lakini hata salamu na kukutia moyo alishindwa, ninachoweza kukushauri ni kubadilisha tuu Ubin WA mtoto.

Hakuna atakayekuuliza,
Na hautaonekana mbaya popote pale.

Hoja ya Msingi hapa ni kuwa, atakayemlea mtoto ndiye mwenye mamlaka naye.
Yeye ndiye ataamua aitwe Nani, ataamua jina la pili na latatu liwe la Nani.

Maana Vijana wa siku hizi tumezidi sasa.

Iwe ni Mimi Taikon au Nani, Kama umezaa na Mimi alafu nikaleta uhuni wa kukataa mimba au kushindwa kuhudumia mtoto, usitumie jina langu. Sistahili.
Na mtoto huyo hastahili kutumia jina langu.

Wanawake msiwafundishe watoto wenu kuwachukia Baba zao, nyie waleeni Kwa maadili ya kimila na Kidini, tumieni majina mtakayopenda ninyi, watoto wanavyokua wanajionea na kujua ni zipi sababu za nyie mama zao kufanya mlio ya fanya.

Lakini jitahidini kuwa wema ili watoto wasijeona kuwa ninyi ndio Wabaya.

Wito Kwa Vijana; msikimbie mimba wala msikimbie Kulea watoto.
Hata Kama huna chochote kitu, angalau mjulie hali mtoto au mzazi mwenza. Mtie moyo, kubali kubeba lawama Kwa maana wanawake ni watu wa lawama hata ungemuoa, lakini wakitulia na kutafakari wenyewe wanaelewa.

Mwanamke ukiwa mwema kwake hata Kama huna kitu anajua, anajali ingawaje atakutolea maneno ya shombo. Lakini haiondoi ukweli kuwa nao wanajisikia vibaya unavyoteseka.

Lakini Kulea mtoto hulei,
Kusalimia husalimii wala kumjulia Hali,
Mwanamke akiwa mkali kwako nawe unajifanya kiburi na jeuri Kwa maneno ya kashfa.
Unafikiri hata ungekuwa wewe ungefanyaje?

Hapo ndipo wanaume tunapokosea.
Saikolojia ya Wanawake ni kuendeshwa na mihemko, kulia upesi na kutoa maneno ya shombo kwao ni ishu ya kawaida lakini haimaanishi hawajali wala haimaanishi hawana akili ya kushindwa kutuelewa.

Mwanamke anahitaji Upendo(kujaliwa, kutiwa moyo, kufarijiwa, kupewa maneno matamu na laini, kushauriwa,)
Ukiyaweza hayo mwanamke kama alikuwa na hisia na wewe hawezi kukuchukia hata Kama humlei mtoto wake. Kwani wanaelewa.

Kitu kingine, wanawake ndio viumbe pekee ambao wanaelewa watu wanaojali hisia zao.

Unaweza kumhudumia Mkeo kila kitu(materials) kamwe hawezi kumnyang'anya mtoto wa Baba mwingine aliyezaa naye akakupa wewe ikiwa Bwana huyo bado anamjali na kumpenda.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Swali
kwanini uzini wakati halali ipo?
 
Na hiyo yote ni kwasababu mzee wako alikulea,hakukutelekeza. Vip Kama ungekuwa umetelekezwa bado ungenena uliyoyanena
Mkuu katika kila neno unalolisoma humu kuna mambo mengi ambayo hayataandikwa kulinda privacy ila jua Tu, mzazi kwangu ni zaidi ya urithi wa mali na itabaki hivyo siku zote 🙏🙏
 
Naona umetafakari Sana ulivyokua unampenda alafu umeishia kuzaa nae na ameenda kwa mwingine
 
Kwema Wakuu!

Lazima tutende haki, lazima tuseme ukweli.
Wanawake wanamakosa Yao Kama tulivyo Sisi wanaume tunamakosa yetu.
Na mwenye makosa lazima aadhibiwe, na akiomba Msamaha sharti asamehewa lakini adhabu inaweza kubaki palepale.

Taikon huwaga ni mtu wa kuongea mambo magumu yasiyo rahisi, bila kujali yanamgusa Nani, iwe ni Mimi au wewe au Yule. Lengo ni kuweka mambo Sawa Kwa Haki. Ingawaje nafahamu Haki haitawezekana Kwa Asilimia [emoji817].

Najua wapo wanawake walifanya makosa Kwa kujibebesha mimba kimakusudi Kwa wanaume Kwa malengo Fulani, mathalani
1. Kwa lengo la kuolewa
2. Kwa lengo la Mali
3. Kwa lengo kupendwa

Hata hivyo zipo mimba zilizoingia Kwa bahati mbaya(bila kupanga baina ya mwanaume na Mwanamke).

Makosa ni makosa tuu. Lakini haimaanishi watu waendelee kujilaumu Kwa makosa waliyoyafanya. Lazima maisha yaendelee.

Amekataa mimba!
Amekubali mimba lakini kakataa kumlea mtoto.
Amekubali lakini ameshindwa Kumlea mtoto.

Ikiwa Baba mzazi amekataa au kushindwa kumlea mtoto Kwa sababu yoyote Ile isipokuwa sababu ya kifo au Maradhi basi nakushauri Usimpe mtoto Ubin wa huyo Baba Mzazi.

Amua kumpa jina lolote lile utakalolipenda, aidha ni jina la Wajomba zake wanaokusaidia kumlea, au jina la Baba yako(Babu yake upande wa Mama).

Wala sio dhambi.
Wala hakuna shida yoyote.
Kila mmoja awajibike Kwa makosa yake.

Wakati wewe ukiitwa single Mother, ukitukanwa na kuonekana Malaya, au mwanamke usiyefaa, iwe ni kweli au sio kweli, iwe ni Kwa bahati mbaya au makusudi lakini akakataa na ukazalilishwa na kuyapitia machungu.

Ukamenyeka kumlea mtoto Kwa halali na haramu wakati Baba yake anayetakiwa kutoa matumizi yupo anarandaranda huko, hata Kama Hakuwa na chakutoa lakini hata salamu na kukutia moyo alishindwa, ninachoweza kukushauri ni kubadilisha tuu Ubin WA mtoto.

Hakuna atakayekuuliza,
Na hautaonekana mbaya popote pale.

Hoja ya Msingi hapa ni kuwa, atakayemlea mtoto ndiye mwenye mamlaka naye.
Yeye ndiye ataamua aitwe Nani, ataamua jina la pili na latatu liwe la Nani.

Maana Vijana wa siku hizi tumezidi sasa.

Iwe ni Mimi Taikon au Nani, Kama umezaa na Mimi alafu nikaleta uhuni wa kukataa mimba au kushindwa kuhudumia mtoto, usitumie jina langu. Sistahili.
Na mtoto huyo hastahili kutumia jina langu.

Wanawake msiwafundishe watoto wenu kuwachukia Baba zao, nyie waleeni Kwa maadili ya kimila na Kidini, tumieni majina mtakayopenda ninyi, watoto wanavyokua wanajionea na kujua ni zipi sababu za nyie mama zao kufanya mlio ya fanya.

Lakini jitahidini kuwa wema ili watoto wasijeona kuwa ninyi ndio Wabaya.

Wito Kwa Vijana; msikimbie mimba wala msikimbie Kulea watoto.
Hata Kama huna chochote kitu, angalau mjulie hali mtoto au mzazi mwenza. Mtie moyo, kubali kubeba lawama Kwa maana wanawake ni watu wa lawama hata ungemuoa, lakini wakitulia na kutafakari wenyewe wanaelewa.

Mwanamke ukiwa mwema kwake hata Kama huna kitu anajua, anajali ingawaje atakutolea maneno ya shombo. Lakini haiondoi ukweli kuwa nao wanajisikia vibaya unavyoteseka.

Lakini Kulea mtoto hulei,
Kusalimia husalimii wala kumjulia Hali,
Mwanamke akiwa mkali kwako nawe unajifanya kiburi na jeuri Kwa maneno ya kashfa.
Unafikiri hata ungekuwa wewe ungefanyaje?

Hapo ndipo wanaume tunapokosea.
Saikolojia ya Wanawake ni kuendeshwa na mihemko, kulia upesi na kutoa maneno ya shombo kwao ni ishu ya kawaida lakini haimaanishi hawajali wala haimaanishi hawana akili ya kushindwa kutuelewa.

Mwanamke anahitaji Upendo(kujaliwa, kutiwa moyo, kufarijiwa, kupewa maneno matamu na laini, kushauriwa,)
Ukiyaweza hayo mwanamke kama alikuwa na hisia na wewe hawezi kukuchukia hata Kama humlei mtoto wake. Kwani wanaelewa.

Kitu kingine, wanawake ndio viumbe pekee ambao wanaelewa watu wanaojali hisia zao.

Unaweza kumhudumia Mkeo kila kitu(materials) kamwe hawezi kumnyang'anya mtoto wa Baba mwingine aliyezaa naye akakupa wewe ikiwa Bwana huyo bado anamjali na kumpenda.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Ni Haki ya Mtoto Kuwafahamu Wazazi wake wa Ki Bailojia
Kama wewe ulipigwa Mimba ukatelekezwa, Ugomvi wako na Bwanaaako usiulete Kwa Mtoto
 
Ni Haki ya Mtoto Kuwafahamu Wazazi wake wa Ki Bailojia
Kama wewe ulipigwa Mimba ukatelekezwa, Ugomvi wako na Bwanaaako usiulete Kwa Mtoto

Wapi nimesema Sio haki ya mtoto kumfahamu wazazi wake?

Lakini kuhusu jina ni ishu ya umiliki.
Hata wewe ukioa mtoto wa watu, binti anaweza kubadilisha jina la Baba yake na kujiita Ubin wako.

Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kumpa mtoto jina la Baba Mpumbavu asiyejielewa
 
Ninakusupport Sana Heriel hakuna haja ya kumpa mtoto haki ya jina la babayake ilhali huyo babayake amemkataa na sio kumkataa tu Bali amekwepa majukumu ya kumtunza na kumlea Kama mmiliki wake. Na iwe hivyo basi ulichokataa kukimiliki huwezi milikishwa natumai nimeeleweka


Watu wanashindwa kuelewa jina halibadili Damu ya mtu, isipokuwa umiliki.
 
Mwenyezi Mungu anasema katika Quran kuwa

Quran 33:4-5

Mwenyezi Mungu hakumwekea mtu yeyote kuwa ana nyoyo mbili ndani ya mwili wake. Wala hakuwafanya wake zenu - ambao mnawalinganisha migongo yao na migongo ya mama zenu - kuwa ni mama zenu. Wala hakuwafanya watoto wenu wa kupanga kuwa ni wana wenu khasa. Hayo ni maneno ya vinywa vyenu tu. Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye sema kweli, naye ndiye anaye ongoa Njia. 4

Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ikiwa hamwajui baba zao, basi ni ndugu zenu katika Dini, na rafiki zenu. Wala si lawama juu yenu kwa mlivyo kosea. Lakini ipo lawama katika yale ziliyo fanya nyoyo zenu kwa makusudi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu. 5


MTOTO AITWE KWA UBINI WA BABA YAKE HATA KAMA UMEMUASILI BADO SIO MTOTO WAKO WA KUMZAA NA HANA HAKI YA KUITWA JINA LAKO


 
Unaweza kufanya hivyo kwa kumuandikisha surname nyingine.

Then mbeleni baba yake akawa tajiri mkubwa then akafariki.

Kwenye mirathi mtoto akakosa haki zake na kukulaumu mama yake kwa ulichofanya
point
 
Msimlaumu mtoa mada ndio kwanza amemaliza maisha yake ya chuoni hapo chuo kikuu cha daslam.So hajui maisha ni nini?
Sahii kabisa,
Anakua kamkosesha mtoto wake Haki yake ya msingi kwa kuendekeza mihemko[emoji3525]
 
Back
Top Bottom