Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Wapo wengi mimi rafiki yangu alienda hadi kwa joyce kiria baada ya kusikia mdada kabadili ubin wa mwanae.
Ila hata mimi naunga mkono hoja, kama mwenye mtoto kamkimbia basi huyo sio mwanae ni sperm donor.
Ni sawa na steve jobs, wazazi wake waliona eti wamwache alelewe na wengine, baba yake alikuwa ni mtu wa mashariki ya kati toka kwenye familia yenye pesa, steve jobs alikuwa na jina la kiarabu akawa adapted na familia ya carpenter kipato cha chini mr.jobs.
Hata steve, alijua wazazi wake halisi lakini hakuwahitaji maana hawakuona umuhimu wake.


Kuna wakati Sisi wanaume ni wabinafsi Sana.

Mimi Ninachojua ni kuwa Mtoto anakuwa wa mwanaume na anatumia Ubin WA mwanaume kutokana na majukumu ya Mwanaume ya kumhudumia mtoto.

Mimi sioni shida mwanamke nikimzalisha kisha nikamtelekeza alafu akaamua asitumie majina yangu. Ni Haki yake kuchagua jina lolote alipendalo Kwa mtoto na Ubin wake.

Akipenda atumie langu ni Sawa, akikataa pia ni Sawa. Ila haibadili Vinasaba kuwa Mtoto Yule ni wangu.

Wanaume wa Zama hizi tunazingua pakubwa sana
 
Ni haki ya mtoto kujua baba yake hata kama alimkataa.Ila sio lazima baba na mtoto wawe na uhusiano
 
ROBERT HERIEL😍👑✍

Wanaume wa siku hizi tumekuwa hovyo Sana wengi wetu.

Mwanaume ni hulka, tabia,nguvu, akili, Spirit, maamuzi.
Wengi hufikiri Kuwa na jinsia ya kiume ndio Uanaume 😀😀.
Jinsia inabeba 10% ya Uanaume Kwa binadamu.

Ndio maana Mungu Hana jinsia lakini anaitwa Baba(Mwanaume) kutokana na mambo niliyoyaeleza hapo juu.

Sasa kuna Vijana hawajafundwa vyema, wana-cover ya kiume lakini ndani ni wanawake.

Hivi mwanaume gani halisi anakimbia mtoto, mwanaume gani anashindwa kumdhibiti Mwanamke ati kisa anamdomo, au ananguvu, au tabia zozote za hovyo.

Hizo akili, nguvu na mamlaka mwanaume ulizopewa na Mungu kuitawala dunia unazitumia kufikiria upuuzi tuu
 
Ni haki ya mtoto kujua baba yake hata kama alimkataa.Ila sio lazima baba na mtoto wawe na uhusiano


Mtoto ni lazima amjue Baba yake lakini sio lazima atumie majina yake(ya Baba).

Kama isivyo lazima mtoto kutumia majina ya upande wa Mama yake.

Atakaye mlea ndiye mwenye mamlaka na mtoto. Mbona rahisis sana
 
Mtoto ni lazima amjue Baba yake lakini sio lazima atumie majina yake(ya Baba).

Kama isivyo lazima mtoto kutumia majina ya upande wa Mama yake.

Atakaye mlea ndiye mwenye mamlaka na mtoto. Mbona rahisis sana
Mkuu,IKO hivi.Unampomnyima mtu majina yake proper maana yake umemfuta yeye mwenyewe.Katika maisha mimba kukataliwa ni jambo la kawaida sana.Kwetu uchagani Cheti cha kuzaliwa hundikwa Jina Baba na la Mama lakini akienda shule anaandikisha kwa majina ya upande wa mama.Yaani Kama wewe baba yako ni herieli masawe na mama yake ni rita urassa basi utaitwa Robert Herriel Urassa shuleni ila baba yako atakuwepo kwenye cheti cha kuzaliwa ukitaka kujua unamjua.Umeelewa?Ila sio kuweka majina ya Baba blank.Huko ni kumnyima mtoto haki ya kujua kwamba mama yake alikosea kuchagua Baba.
 
Hoja ya Msingi hapa ni kuwa, atakayemlea mtoto ndiye mwenye mamlaka naye.
Yeye ndiye ataamua aitwe Nani, ataamua jina la pili na latatu liwe la Nani.
Connection ya Baba na Mtoto au Mama na Mtoto huwa iko kwenye Genes, Physical Body), Maana kabla hata hujapewa hilo jina tayari wewe una genes za Baba yako na ukoo wake (mababu na mababu), hivyo jina has nothing to do with with Connection ya baba na Mtoto au mama na Mtoto, Ijapokuwa watoto wengi wanatumia ukoo wa baba zao, haibadilishi kwamba hana content za mama maana yai ni la mama Mbegu ni ya baba;

Lakini pia documentation zinaweza kuanza kuyumba, maana kuna information za baba huwa zinatakiwa, unless uchukue hatua ya kwenda kurekebisha taarifa za mtoto kutumia majina ya baba mwingine/ yako of which sina hakika kama inakuwa rahisi sana, waliowahi kufanya watanikosoa
 
Mkuu,IKO hivi.Unampomnyima mtu majina yake proper maana yake umemfuta yeye mwenyewe.Katika maisha mimba kukataliwa ni jambo la kawaida sana.Kwetu uchagani Cheti cha kuzaliwa hundikwa Jina Baba na la Mama lakini akienda shule anaandikisha kwa majina ya upande wa mama.Yaani Kama wewe baba yako ni herieli masawe na mama yake ni rita urassa basi utaitwa Robert Herriel Urassa shuleni ila baba yako atakuwepo kwenye cheti cha kuzaliwa ukitaka kujua unamjua.Umeelewa?Ila sio kuweka majina ya Baba blank.Huko ni kumnyima mtoto haki ya kujua kwamba mama yake alikosea kuchagua Baba.

Ninakuelewa.

Mapendekezo yangu ni kuwa Atakayemlea mtoto iwe ni Baba au Mama, ndiye awe na mamlaka na mtoto huyo
 
Connection ya Baba na Mtoto au Mama na Mtoto huwa iko kwenye Genes, Physical Body), Maana kabla hata hujapewa hilo jina tayari wewe una genes za Baba yako na ukoo wake (mababu na mababu), hivyo jina has nothing to do with with Connection ya baba na Mtoto au mama na Mtoto, Ijapokuwa watoto wengi wanatumia ukoo wa baba zao, haibadilishi kwamba hana content za mama maana yai ni la mama Mbegu ni ya baba;

Lakini pia documentation zinaweza kuanza kuyumba, maana kuna information za baba huwa zinatakiwa, unless uchukue hatua ya kwenda kurekebisha taarifa za mtoto kutumia majina ya baba mwingine/ yako of which sina hakika kama inakuwa rahisi sana, waliowahi kufanya watanikosoa

Mkuu wapo watu wengi na ni viongozi wakubwa wanatumia majina ya ujombani(upande wa Mama)
Wala hakuna kuyumba Kwa hizo documentation.

Mimi sioni shida mtoto akipewa majina kulingana na atakayemtunza na kumlea Kwa ruhusa ya mama au Baba
 
Akiwa mtoto Hana mamlaka Yeyote, asubiri akue ajitegemee Kwanza ndio anaweza kuamua kipi kwake ni sahihi.
Mkuu,mtoto ni mamlaka kamili.Kuna watu kama wewe ambao bado nitegemezi.Mtoto ana haki za msingi.
 
Mkuu,mtoto ni mamlaka kamili.Kuna watu kama wewe ambao bado nitegemezi.Mtoto ana haki za msingi.


Mtoto akiwa tegemezi sio mamlaka kamili jaribu kuelewa.

Hata uwe na miaka 30 Kama upo nyumbani utapangiwa na utafuata sheria na matakwa ya hapo NYUMBANI
 
Mpe majina yote. Kama wewe ni Amina mzindayo na Baba yake ni Juma Butiama basi mtoto aitwe Ali Butiama Mzindayo. Fanya hivi ajue umuhimu wa malezi yako kwenye maisha yake na ajue umuhimu wa mbegu za baba yake kwenye uwepo wake.
 
Mpe majina yote. Kama wewe ni Amina mzindayo na Baba yake ni Juma Butiama basi mtoto aitwe Ali Butiama Mzindayo. Fanya hivi ajue umuhimu wa malezi yako kwenye maisha yake na ajue umuhimu wa mbegu za baba yake kwenye uwepo wake.


Yes.
Ila ni Kwa kadiri Ya Mapenzi ya Mama atakavyoona inafaa.
Kama vile Sisi wanaume tunavyowapa majina yetu kadiri tunavyoona wakiwa chini ya milki yetu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wewe heriel wewe!!nilikuwa nagonga dem mmoja miaka ya 2010 baadae nikagundua kua yupo kama watatu hivi tunagonga huyo dem!!nikaamua kukiacha aendelee na wengine!badae nipo chuo dem ananiambia ana mimba yangu!!Sasa nikammuuuliza typo watatu ninaowafaham iweje miezi mitano imepita unaniambia mimba ni yangu!!???akapata mawasiliano Hadi leo mtoto kajua ana miaka tisa halafu kipi kabisa na mimi na jina anatumia la mwanaume mwingine!!nimeshindwa cha kufanya Hadi leo!!hapo alaumiwe nani?mwanaume huyo aliepewa ubini wa mtoto ni Teja la madawa Hadi leo!!!mimi kidogo mambo Safi!!!Mtoto atarithi nini hapo!!???changamoto Sana!!
 
Wewe heriel wewe!!nilikuwa nagonga dem mmoja miaka ya 2010 baadae nikagundua kua yupo kama watatu hivi tunagonga huyo dem!!nikaamua kukiacha aendelee na wengine!badae nipo chuo dem ananiambia ana mimba yangu!!Sasa nikammuuuliza typo watatu ninaowafaham iweje miezi mitano imepita unaniambia mimba ni yangu!!???akapata mawasiliano Hadi leo mtoto kajua ana miaka tisa halafu kipi kabisa na mimi na jina anatumia la mwanaume mwingine!!nimeshindwa cha kufanya Hadi leo!!hapo alaumiwe nani?mwanaume huyo aliepewa ubini wa mtoto ni Teja la madawa Hadi leo!!!mimi kidogo mambo Safi!!!Mtoto atarithi nini hapo!!???changamoto Sana!!

Jina na Ubin halina chakufanya Kwa mtoto zaidi linaashiria umiliki wa mtoto.
 
Ukiona taifa kunakuwa la hovyo jua Sisi wanaume ndio wahovyo Kwa sababu ndio wenye jukumu la kuitawala na kuitiisha hii dunia.

Jina halibadili Damu.
Sasa kumpokonya mtoto asili yake huoni kama ni kumbadilisha mtoto damu?
Unapomnyima ubini wa Baba yake na kumpa wa mjomba huoni ni kumnyima haki yake?
Hizo ni Mila za kizamani na mara nyingi zilikuja kuleta matekeo hasi ktk family hapo baadae.




Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Yani mfano, Baba kipato kimepiga Chenga, basi mama mtoto abadili ubini wa mtoto?! Akili za wapi hizi?

Nchi hii na Taifa hili vinazidi kuwa vya hovyo kila sekunde!

Ee mwenyezi Mungu uturehemu.[emoji120]
Kipato kupiga chenga siyo tatizo. Tatizo ni unapoamua kugeuka na kutupa jongoo na mti wako na maneno ya shombo juu. Unamwambia mwanamke hiyo mimba siitambui au siihitaji au nimekuzawadia. Huu ni uungwana? Kwanini usimjali hata katika hali ya kukosa matunzo. Ukawa naye jirani na kumfariji. Kidogo unachoweza kupata ukamgawia. Ukamthamini kama mwanamke badala ya kumwita malaya nk.

Ukifanyiwa hivi kwa binti yako utaelewa maumivu ya kulea mjukuu wakati babake anakula bata na wanawake wengine. Inauma!

Kama hujawa tayari kulea basi mlinde asibebe mimba. Ikibidi kataa ku ..... bila kinga.
 
Sasa kumpokonya mtoto asili yake huoni kama ni kumbadilisha mtoto damu?
Unapomnyima ubini wa Baba yake na kumpa wa mjomba huoni ni kumnyima haki yake?
Hizo ni Mila za kizamani na mara nyingi zilikuja kuleta matekeo hasi ktk family hapo baadae.




Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app

Kama hutaki kupokonywa mtoto kuwa Mwanaume halisi, Huduma mtoto, usitelekeze Mimba.

Jina na Ubin ni Umiliki tuu na wala haina uhusiano na VINASABA
 
Wanaume wa siku hizi tumekuwa hovyo Sana wengi wetu.

Mwanaume ni hulka, tabia,nguvu, akili, Spirit, maamuzi.
Wengi hufikiri Kuwa na jinsia ya kiume ndio Uanaume 😀😀.
Jinsia inabeba 10% ya Uanaume Kwa binadamu.

Ndio maana Mungu Hana jinsia lakini anaitwa Baba(Mwanaume) kutokana na mambo niliyoyaeleza hapo juu.

Sasa kuna Vijana hawajafundwa vyema, wana-cover ya kiume lakini ndani ni wanawake.

Hivi mwanaume gani halisi anakimbia mtoto, mwanaume gani anashindwa kumdhibiti Mwanamke ati kisa anamdomo, au ananguvu, au tabia zozote za hovyo.

Hizo akili, nguvu na mamlaka mwanaume ulizopewa na Mungu kuitawala dunia unazitumia kufikiria upuuzi tuu


Asilimia kubwa wamekua wa hovyo kuliko hovyo yenyewe
 
Back
Top Bottom