Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Watu warudi kwenye maadili, hususani mabinti,, Tamaa zitawamaliza.

Hakuna kijana mwenye akili timamu na aliridhia kupata mtoto kisha akimbie hata Kama maisha yamekuwa magumu vipi!

Mabinti wengi wanatumia mtoto Kama kigezo cha manyanyaso dhidi ya wanaume.

Maisha ya miaka mitano ijayo wanataka wayaishi sasa hivi! MABINTI TULIZENI BICHWA ZENU HIZO!
Aiseee, umemaliza mkuu.

Zamani nilikuwa nalaani sana kitendo cha mtu kukimbia mimba ila kuna mahali mtoto wa mtu amenifikisha nikahisi kuchizi mchana kweupe.

Yani naomba miezi iende haraka ajifungue nimchukue mtoto wangu hata akiwa na miezi miwili tu nitajua naishi nae vipi kulalake.
 
Aiseee, umemaliza mkuu. Zamani nilikuwa nalaani sana kitendo cha mtu kukimbia mimba ila kuna mahali mtoto wa mtu amenifikisha nikahisi kuchizi mchana kweupe. Yani naomba miezi iende haraka ajifungue nimchukue mtoto wangu hata akiwa na miezi miwili tu nitajua naishi nae vipi kulalake.
Kakufanyaje mkuu?
 
Unaweza kufanya hivyo kwa kumuandikisha surname nyingine. Then mbeleni baba yake akawa tajiri mkubwa then akafariki. Kwenye mirathi mtoto akakosa haki zake na kukulaumu mama yake kwa ulichofanya
km alikukataa akiwa hai hyo mirathi haitokuhusu unaijua roho wewe?

hakuna kitu kinaishi km maneno ya marehemu.
 
Sahii kabisa,
Anakua kamkosesha mtoto wake Haki yake ya msingi kwa kuendekeza mihemko[emoji3525]
Hakuna kitu km mashangaz wanavojua kufatilia historia ya kaka yao, yaani akukane hai akiwa marehemu watakukana wao na vikao vya mirathi hutoruhusiwa kuingia tena utapata machungu nafuu ya aliekufa.

Isikie isikupate
 
Nmekusoma vizur mkuu,Una hoja ya msingi Sana.
Ila Hapo kwenye kumpa mtoto jina la ubini usiokua wake umepuyanga.

Unamnyima mtoto Haki yake ya msingi ya original Yake kwa upumbavu wa wazazi wake wote wawili.[emoji848]
upande wa ubin kakosea

atlist ampe ubin wa jina la utani

yaani km baba mtoto anatumia OMARY JUMA na jina la mtaani anaitwa OMMY.

basi mtoto ataitwa oscar ommy
 
Yani mfano, Baba kipato kimepiga Chenga, basi mama mtoto abadili ubini wa mtoto?! Akili za wapi hizi?

Nchi hii na Taifa hili vinazidi kuwa vya hovyo kila sekunde!

Ee mwenyezi Mungu uturehemu.[emoji120]



Soma Uelewe.

Watanzania wengi wetu tumetoka familia fukara mbona Baba zetu waligangamaa mpaka mwisho.

Kupigwa chenga ndio ukimbie familia na kuanza kunyanyasa mtoto na Mama yake


Cattigo Huyo baba anayeacha kulea mtoto au anayemkataa mtoto ati sababu kipato kimempiga chenga yeye hali? Havai? Halali? Hatibiwi?

Na kama yeye kipato kimempiga chenga mwanamke yeye kipato hakimpigi chenga? Kwahiyo na yeye ampige mtoto chenga?

Kabla hujasema huwezi kulea mtoto anza kukataa kumpata huyo mtoto wewe kama mwanaume, na wala usiseme ni kosa la mwanamke

ROBERT HERIEL hili swala la wababa kukataa watoto au kukataa kulea watoto kwa kisingizio chochote ni baya zaidi ya tunavyoweza kulielezea
 
Kuna kajomba kangu katoto ka sista jamaa alikakataa,, mshua akaona isiwe tabu akakalea ila alikataa kukapa jina lake (ujombani).

Mshua amekapa kila kitu elimu,mtaji na maza alishanitonya kwenye urithi wa dingi (babu yake) kuna estate katapewa. Ila jina hakukapa letu alisema abaki na la kwa baba yake.

Mshua hajawahi toa sababu la hii kitu.

Haya mambo haya Dunia uwanja wa fujo.
 
Kakufanyaje mkuu?
Huyu binti asee mpaka nashindwa nimuweke kundi gani,, nimekuwa nae kama miezi nane hivi kila mmoja akijua kwamba hakuna future yoyote kati yetu tunafanya kusaidiana genye tu na shida ndogo ndogo.

Bahati mbaya/ nzuri akashika mimba hapo ndipo kipegele kilianza. Alikuwa anaishi nyumba ya chumba kimoja na sebule akasema anataka nyumba nzima nikampangishia, akastop kila kitu alichokuwa anajihudumia ikawa juu yangu nikasema poa, nikawa nampa 300k per month kwa matumizi yake(hii ni kuanzia October 2021),

Mshahara wake sijui akaw anafanyia nini sikutaka hata kujua sababu niliamua kulea mimba yangu na ukizingatia nilimkuta bikra pamoja na ukubwa wote huo nikawa najitahidi kufanya kila anachotaka asije kunipa hata chembe ya lawama.

Lakini kisirani alichonacho huyu mtu sijawahi kuona mpaka kuna muda nilimpigia mshikaji wangu ni doctor ili tukaitoe ile mimba kila mtu aendelee na kawaida ila jamaa akakataa na kunishauri nisiwaze tena huo upuuzi nivumilie akijifungua nichukue mtoto.

Mazingira yangu ya kazi ni magumu naweza nisikutane nae hata wiki moja mpaka tatu sasa hapo ndo kuna kipengele mpaka anasema niache kazi nikakae nae yani mpaka nachanganyikiwa.
 
Unaweza kufanya hivyo kwa kumuandikisha surname nyingine. Then mbeleni baba yake akawa tajiri mkubwa then akafariki. Kwenye mirathi mtoto akakosa haki zake na kukulaumu mama yake kwa ulichofanya
km alikukataa akiwa hai hyo mirathi haitokuhusu unaijua roho wewe?

hakuna kitu kinaishi km maneno ya marehemu.

Hizo case nimeshakutana nazo sana.

Watoto wengi wanawajua baba zao wakiwa wameshafariki hao ma baba. Ila misibani wanaenda na mirathi wanajumlishwa. Hasa wakiwa wanafanana na baba zao
 
km alikukataa akiwa hai hyo mirathi haitokuhusu unaijua roho wewe?

hakuna kitu kinaishi km maneno ya marehemu.
hujawahi kukutana na mtoto anaesumbua kuumwa umwa mwisho wa siku inashindikana kumtibia unaambiwa uumpeleke kwenye ukoo wao, kwao!?
 
Cattigo Huyo baba anayeacha kulea mtoto au anayemkataa mtoto ati sababu kipato kimempiga chenga yeye hali? Havai? Halali? Hatibiwi?

Na kama yeye kipato kimempiga chenga mwanamke yeye kipato hakimpigi chenga? Kwahiyo na yeye ampige mtoto chenga?

Kabla hujasema huwezi kulea mtoto anza kukataa kumpata huyo mtoto wewe kama mwanaume, na wala usiseme ni kosa la mwanamke

ROBERT HERIEL hili swala la wababa kukataa watoto au kukataa kulea watoto kwa kisingizio chochote ni baya zaidi ya tunavyoweza kulielezea

Wakikataa badilisheni Ubin wala msiwaonee/msituonee huruma.

Mtoto kiasili atakuwa wa kwake lakini kimamlaka na kiubin hatakuwa wake.

Wapo watoto wengi wanaotumia Majina ya Upande wa mama.
 
Kuna kajomba kangu katoto ka sista jamaa alikakataa,, mshua akaona isiwe tabu akakalea ila alikataa kukapa jina lake (ujombani). Mshua amekapa kila kitu elimu,mtaji na maza alishanitonya kwenye urithi wa dingi (babu yake) kuna estate katapewa. Ila jina hakukapa letu alisema abaki na la kwa baba yake.
Mshua hajawahi toa sababu la hii kitu.
Haya mambo haya. Dunia uwanja wa fujo.


Yes ni maamuzi ya atakayemlea.

Ila hata akiamua kubadilisha jina ni Haki yake
 
Aiseee, umemaliza mkuu.

Zamani nilikuwa nalaani sana kitendo cha mtu kukimbia mimba ila kuna mahali mtoto wa mtu amenifikisha nikahisi kuchizi mchana kweupe.

Yani naomba miezi iende haraka ajifungue nimchukue mtoto wangu hata akiwa na miezi miwili tu nitajua naishi nae vipi kulalake.
Duuuuh, umefikia pabaya sana, pole sana broo, mungu akupiganie
 
Back
Top Bottom