Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Wakikataa badilisheni Ubin wala msiwaonee/msituonee huruma.

Mtoto kiasili atakuwa wa kwake lakini kimamlaka na kiubin hatakuwa wake.

Wapo watoto wengi wanaotumia Majina ya Upande wa mama.

Wanaume badilikeni basi

Baba kumkataa au kumtelekeza mtoto haimnyimi mtoto huyo haki ya kuwa na baba peke yake. Inamnyima mtoto pia haki ya kupata baraka za baba yake

Kiimani na desturi baraka hutamkwa na mkondo wa baraka unatoka kwa baba. Sisemi kwamba asipotamka baba mtoto habarikiwi, baraka zipo lakini sio za baba
 
Unaweza kufanya hivyo kwa kumuandikisha surname nyingine.

Then mbeleni baba yake akawa tajiri mkubwa then akafariki.

Kwenye mirathi mtoto akakosa haki zake na kukulaumu mama yake kwa ulichofanya
Soma uelewe, mwandishi ameongelea wanaokataa, mimba na kulea watoto!! Unadhani huyo aliekataa mtoto ndio akiwa tajiri atamkubalii?? Ukiona katajirika anafuata mtoto ujue anatafuta sadaka ya kutoaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii Dunia ina mambo mengi sana yaliyojifichaa
 
Soma uelewe, mwandishi ameongelea wanaokataa, mimba na kulea watoto!! Unadhani huyo aliekataa mtoto ndio akiwa tajiri atamkubalii?? Ukiona katajirika anafuata mtoto ujue anatafuta sadaka ya kutoaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii Dunia ina mambo mengi sana yaliyojifichaa
Very true....anatafuta sadaka [emoji848][emoji848]
 
Haya siku mtoto akikuuliza baba yake nani? Usemeje ?
Jina la ubin lina umuhimu gani?
Kuna watu wana majina fake kwa ajili ya kazi aidha walifoji vyeti lkn hawaathiriki nayo.
Mpe mtoto haki yake hahusiki na mambo yenu yamuelea au kutolea

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Wanaume badilikeni basi

Baba kumkataa au kumtelekeza mtoto haimnyimi mtoto huyo haki ya kuwa na baba peke yake. Inamnyima mtoto pia haki ya kupata baraka za baba yake

Kiimani na desturi baraka hutamkwa na mkondo wa baraka unatoka kwa baba. Sisemi kwamba asipotamka baba mtoto habarikiwi, baraka zipo lakini sio za baba


Wengine hatuamini katika baraka kutoka Kwa wazazi.

Baraka hutokana na wajibu
 
Haya siku mtoto akikuuliza baba yake nani? Usemeje ?
Jina la ubin lina umuhimu gani?
Kuna watu wana majina fake kwa ajili ya kazi aidha walifoji vyeti lkn hawaathiriki nayo.
Mpe mtoto haki yake hahusiki na mambo yenu yamuelea au kutolea

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app


Mbona Baba hukumpa mtoto haki zake?
 
Kuna wamama ,wadada wana roho ya kipekee hata akataliwe vipi ndo kwanzaa anapachika majina yote hadi la ukoo wa aliyekataa mimba
 
Nmekusoma vizur mkuu,Una hoja ya msingi Sana.

Ila Hapo kwenye kumpa mtoto jina la ubini usiokua wake umepuyanga.

Unamnyima mtoto Haki yake ya msingi ya original Yake kwa upumbavu wa wazazi wake wote wawili.

Acha ushamba jina sio kitu mkuu
 
Siku hizi taifa linapitia pagumu Sana .

Kila mtu ni mtoa maoni mitandaoni..

Hivi umpokonye mtu damu yake/mtoto wake kisa hakukupa pesa za kulipia vikoba?

Taifa linazidi kupata watu wa hovyo kabisa.
 
Sasa usipoandika jina la baba kwenye kadi ya mtoto inafuta ukweli kuwa ile ni mbegu yake?!

Hizo jazba za kitoto. Lazima mtoto amjue baba yake hata kama hawajibiki.
 
Siku hizi taifa linapitia pagumu Sana .

Kila mtu ni mtoa maoni mitandaoni..

Hivi umpokonye mtu damu yake/mtoto wake kisa hakukupa pesa za kulipia vikoba?

Taifa linazidi kupata watu wa hovyo kabisa.

Ukiona taifa kunakuwa la hovyo jua Sisi wanaume ndio wahovyo Kwa sababu ndio wenye jukumu la kuitawala na kuitiisha hii dunia.

Jina halibadili Damu.
 
Sasa usipoandika jina la baba kwenye kadi ya mtoto inafuta ukweli kuwa ile ni mbegu yake?!

Hizo jazba za kitoto. Lazima mtoto amjue baba yake hata kama hawajibiki.


Mtoto lazima amjue Baba yake ndio aliyemtelekeza kwamba anafananaje, ni Haki yake
 
🤣🤣🤣🤣

Wapo wanaolazimisha Mkuu.
Wapo wengi mimi rafiki yangu alienda hadi kwa joyce kiria baada ya kusikia mdada kabadili ubin wa mwanae.
Ila hata mimi naunga mkono hoja, kama mwenye mtoto kamkimbia basi huyo sio mwanae ni sperm donor.
Ni sawa na steve jobs, wazazi wake waliona eti wamwache alelewe na wengine, baba yake alikuwa ni mtu wa mashariki ya kati toka kwenye familia yenye pesa, steve jobs alikuwa na jina la kiarabu akawa adapted na familia ya carpenter kipato cha chini mr.jobs.
Hata steve, alijua wazazi wake halisi lakini hakuwahitaji maana hawakuona umuhimu wake.
 
Back
Top Bottom