Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

Screenshot_20230527_100704_Instagram Lite.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ya mwanaume tamu unaichukua unaitumia unavyotaka haiumi, ya vicoba sasa machungu ya kupanda hisa na marejesho hamu yote inakata ya matumizi
Ya vicoba ni ya moto nyieee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani utaiweka mwenyewe kwenye mzunguko,ya baby sasa Perfume ya ZARA🤣🤣🤣
 
Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.

Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.

But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.

Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.

Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.

Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
na mbona hujanitafuta nikikongoja
 
Wakati huo mwanaume anakuja na mazaga zaga yote hayo uliyotaja

Wewe una nini na nini cha ku-offer?
Ndio maana nakupenda Joanah unajua kubalance shobo 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Ya vicoba ni ya moto nyieee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani utaiweka mwenyewe kwenye mzunguko,ya baby sasa Perfume ya ZARA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha tu roho juu juu ukikosea hesabu usingizi hupati [emoji23][emoji23]

Pesa ya baby unaenda nayo American nail’s, mara kwa Lulu’s hair ngoja ikate [emoji1787][emoji1787] unamtafuta mtoto Iddy akuweke tips za bei nafuu
 
Mawili wa mazoezi halafu kitambi mh we mwanamke wewe mashart hayo hata malaika hawana😄😄😄😄

Kwa style hii mtaolewa kweli halafu unakuta una degree halafu guns kazi na sura ngumu kama ya babu yako 😄😄😄😄😄😄😄
 
Yaani mtu akae kwenye tumbo la mamaake miezi 9 aje kufanya yote hayo kwa ajili yako? Kuwa serious basi.
 
Nyie si ndio mliosema kwamba sisi " wanaume weuse, warefu, wembamba (dark, tall and handsome) pepo ni ya kwetu [emoji848] hawa wengine liwakute lolote jambo, sio nyie mliosema hivyo?

Wewe tena umekuja na lako, mbona mnatuchanganya jamani..!!?
Kila mtu ana anachopenda hao uliotaja its not my cup of coffee.
 
Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.

Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.

But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.

Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.

Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.

Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
Badili jina lako liwe Ma ushuzi.
 
Back
Top Bottom