Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Chai
 
Kw taarifa Yako mi sijamkubali nongekua nania ya kuvunja mahusiano Yao ningemkubali mkaka miwili nyuma uoni miaka yote ito ananisumbua namkataa Sasa nongekua nania ya kuharibu mahusiano Yao SI ningayaharibu TU usiazan Kila MTU anapenda kuharibu mahusiano ya watu

DJ walete [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unachamba mno uduguu mama Kenzo anasubiri yaani [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] Wacha wee ila mama kenzo simuwez yule mdada loh namfikiriaga Ata simmalizi nabaki nacheka tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una hamu ya kuumizwa, kama mtu anakupenda angekua ameshaachana nae, hao wanaishi pamoja ni bado wanapendana, anataka uwe nyumba ndogo
 
Una hamu ya kuumizwa, kama mtu anakupenda angekua ameshaachana nae, hao wanaishi pamoja ni bado wanapendana, anataka uwe nyumba ndogo
Hahahha mi sijamkubali hata mwaka WA pili huu bado hajakata tamaaa
 
Pole limekuchoma kalilie chooni unataka ligi na msukuma ohooo utajinyonga kw kamasi mie sinaga MBA MBA mba nachamba kama mange kimambi we endelea kunichokonoa TU utafurai na roho Yako my Wangu nakojoaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji7]
kwahiyo totoo jana umeshinda hapa ukijikojolea tu 😆
 
Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Wanaume sisi hatupo complicated ni ishara chache tu

1. Anaanza ku care ,vizawadi zawadi n.k.
2. Anapozungumza na wewe huwa anatumia sauti ya upole .
3. Anahakikisha anapokuwa na wewe unakuwa mwenye furaha muda wote mf vichekesho vya hapa na pale , utani mwingi .
4. Haofii kukwambia ukweli
5. Atashare kwa kiwango fulani part ya maisha yake
6. Atakupa muda wake
 
Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Hii inaonyesha either hukupata Mapenzi ya baba au hukulelewa nae kabisa.
 
Back
Top Bottom