Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Usinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
We Hanna wewe
Mmmh mbona unanisema mimi Mkuu! Kuna mdada namtaka hii wiki ya tatu toka nianze wasiliana naye. Aseee nina kiwewe kweli kweli na yeye kishajaa tayari ni mwendo wa kutumiana zile Gifs zetu za mambo yetu yale. [emoji28][emoji28]. Nikimla ndiobnitajua nampenda au zilikuwa nyege




Moja mbili tatu nateleza kama nyoka [emoji28]
 
Muhimu ni ile title ya 'mke',
Ukishamweka ndani akawa na cheti cha ndoa anaanza kuibomoa ndoa. Wanatushinikiza sana tuwaoe sio maeneo ya kazi, mitaani hadi nyumba za ibada ili wapate hiyo title

Kidume lazima u-take your time choose wisely
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Si umpee tu utakufa kitaliwa na mchwa. Miaka miwili ni ukatali unafanya huo
 
Uwiii sio yule aliyekuwaga Songea teaching college Sasa kahamia Mbeya? Ni muongo yule kaka anaweza kukufanya ukahiona unapendwaa Dunia nzima upo wewe tu kumbe kawapanga kila mkoa.Kimbia
Mtuzoee tu hatujaumbiwa mwanamke mmoja kikubwa jueni tunawapenda
 
Usinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
Roho mbaya tu hizo umeandika nini jamani na kuna vitoto vya chuo vinapita kusoma mada mbalimbali jf unataka uvi brainwash kwa kupandikiza hizi chuki za uongo
 
Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Una umri gani? Kwani hujawahi kuwa na mahusiano na wanaume au?? Wewe ni kigori?
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Uko single?
Tukijua hapo tunaweza kukushauri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan ww
Human righs violation sio kumpiga mwanamke au kumfanyisha kazi mtoto

Hata ukimnyima mwanaume na ukamzungusha kwa miaka miwili huko ni kukiukwa haki za binadamu


Au nasema uwongo nyie wanafunzi wa sheria hapo udizmu ?

Anyway Sahivi wapo Riverside wananunua chips funga wakirudi wepesi watakujibu
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Tunaweza kukufuatilia miaka zaidi ya hiyo na ukitoa mzigo watu tunayeya
 
Kila mmoja anaestaili yake mimi ya kwangu nikimpenda demu sana sitaki ajue kama nampenda nikianza kumpa salam sahivi kesho au baadae ni zamu yake kuanza kunitafuta yeye akinikaushia tutamaliza wiki hatutafutani, anaweza kufikiri simpendi kumbe nampenda kinoma ila suala la kuwa mtumwa ndo sitaki
[emoji1666][emoji1666]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
44D5CFC1-3FA7-49BC-963F-DBE8FDEE642F.jpeg
 
Back
Top Bottom