Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Muhimu ni ile title ya 'mke',Tatizo wengi wanapenda harusi kuliko ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu ni ile title ya 'mke',Tatizo wengi wanapenda harusi kuliko ndoa
We Hanna weweUsinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
Ukishamweka ndani akawa na cheti cha ndoa anaanza kuibomoa ndoa. Wanatushinikiza sana tuwaoe sio maeneo ya kazi, mitaani hadi nyumba za ibada ili wapate hiyo titleMuhimu ni ile title ya 'mke',
Si umpee tu utakufa kitaliwa na mchwa. Miaka miwili ni ukatali unafanya huoMaana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan wwSi umpee tu utakufa kitaliwa na mchwa. Miaka miwili ni ukatali unafanya huo
Je wewe ni mzuri kama flower ?Iyo ni avaty tu usije kuwa twisted ukajia ndo mwandishi
Mtuzoee tu hatujaumbiwa mwanamke mmoja kikubwa jueni tunawapendaUwiii sio yule aliyekuwaga Songea teaching college Sasa kahamia Mbeya? Ni muongo yule kaka anaweza kukufanya ukahiona unapendwaa Dunia nzima upo wewe tu kumbe kawapanga kila mkoa.Kimbia
Roho mbaya tu hizo umeandika nini jamani na kuna vitoto vya chuo vinapita kusoma mada mbalimbali jf unataka uvi brainwash kwa kupandikiza hizi chuki za uongoUsinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
😂😂😂mtatutoa roho,Ukishamweka ndani akawa na cheti cha ndoa anaanza kuibomoa ndoa. Wanatushinikiza sana tuwaoe sio maeneo ya kazi, mitaani hadi nyumba za ibada ili wapate hiyo title
Kidume lazima u-take your time choose wisely
Una umri gani? Kwani hujawahi kuwa na mahusiano na wanaume au?? Wewe ni kigori?Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Ndio mkae mtulie sisi wanaume ndo tutaamua nikuoe au nisikuoe 😅😅😅😂😂😂mtatutoa roho,
Uko single?Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Human righs violation sio kumpiga mwanamke au kumfanyisha kazi mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan ww
Tunaweza kukufuatilia miaka zaidi ya hiyo na ukitoa mzigo watu tunayeyaMaana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
[emoji1666][emoji1666]Kila mmoja anaestaili yake mimi ya kwangu nikimpenda demu sana sitaki ajue kama nampenda nikianza kumpa salam sahivi kesho au baadae ni zamu yake kuanza kunitafuta yeye akinikaushia tutamaliza wiki hatutafutani, anaweza kufikiri simpendi kumbe nampenda kinoma ila suala la kuwa mtumwa ndo sitaki
NakaziaHuwa anampa sana pesa, tena bila kuombwa
Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
[emoji1787][emoji1787]Eeh dada nenda na wewe kajaribu bahati yako usije ukaona nakuzibia bure.
Nimesoma nimeishia humo nilipo-bold sijaimaliza ya nini mwisho wa siku tutukanane wakati umeomba tu ushauri?