Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
ChaiMaana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Kimasihara itatokeq hapa.Wahuni Sio watu wazuri[emoji4]
Kw taarifa Yako mi sijamkubali nongekua nania ya kuvunja mahusiano Yao ningemkubali mkaka miwili nyuma uoni miaka yote ito ananisumbua namkataa Sasa nongekua nania ya kuharibu mahusiano Yao SI ningayaharibu TU usiazan Kila MTU anapenda kuharibu mahusiano ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenivunja mbavu we weeeDJ walete [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenivunja mbavu we weee
[emoji23][emoji23] Wacha wee ila mama kenzo simuwez yule mdada loh namfikiriaga Ata simmalizi nabaki nacheka tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unachamba mno uduguu mama Kenzo anasubiri yaani [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpk midomo na masikio vitoe cheche my wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Miaka 2 mnatongozana, mnataka muandike utafiti wa mapenzi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.u
Nakuona nakuona
Unaupiga mwingi.
Muonjeshe bwana et😂😂Mi mchoyo wa mbususu nae anasema eti atanioa lakn mpk nimepe mbususu NAMI nimegoma kumpa kabisa Kwaio saiv Kila siku ananisifia ooh we dada tabia zako nzur sana
Apewi mtu mbususu apa mpk ndoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ayo ndo maamuz yang ya mwisho atak bas aendelee kuimba mwakan inafika mitatuMuonjeshe bwana et[emoji23][emoji23]
Hahahha mi sijamkubali hata mwaka WA pili huu bado hajakata tamaaaUna hamu ya kuumizwa, kama mtu anakupenda angekua ameshaachana nae, hao wanaishi pamoja ni bado wanapendana, anataka uwe nyumba ndogo
Angalia matendo sio manenoMambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Ah wee mie ni mwanaume suruali, jf women want man with moneyyKula chuma hiyo mzabzab
dah 🤣🤣🤣🤣Basi hapo kwenye nafsi unajiona mzuri kuliko mkewe hata km ni sogea tukae ila ni mkewe😂😂
kwahiyo totoo jana umeshinda hapa ukijikojolea tu 😆Pole limekuchoma kalilie chooni unataka ligi na msukuma ohooo utajinyonga kw kamasi mie sinaga MBA MBA mba nachamba kama mange kimambi we endelea kunichokonoa TU utafurai na roho Yako my Wangu nakojoaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji7]
Wanaume sisi hatupo complicated ni ishara chache tuMambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Hii inaonyesha either hukupata Mapenzi ya baba au hukulelewa nae kabisa.Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Hahaha haya si tupo,ukija tutakushauri tena baada ya majuto.Mi mchoyo wa mbususu nae anasema eti atanioa lakn mpk nimepe mbususu NAMI nimegoma kumpa kabisa Kwaio saiv Kila siku ananisifia ooh we dada tabia zako nzur sana