malikia balqiis
Senior Member
- Apr 28, 2023
- 118
- 189
- Thread starter
-
- #21
Ahaaa kumbe Kwaio Kuna wanaume weñgine awapendi kujionesha mapenzi yaoKila mmoja anaestaili yake mimi ya kwangu nikimpenda demu sana sitaki ajue kama nampenda nikianza kumpa salam sahivi kesho au baadae ni zamu yake kuanza kunitafuta yeye akinikaushia tutamaliza wiki hatutafutani, anaweza kufikiri simpendi kumbe nampenda kinoma ila suala la kuwa mtumwa ndo sitaki
Usinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Nakuja chumbani(pm) chap.watu wale pilau mwaka huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karibu mwaya
Nakuja chumbani(pm) chap.watu wale pilau mwaka huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karibu mwaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jaman anaitwa nani uyo kaka wa songea??Uwiii sio yule aliyekuwaga Songea teaching college Sasa kahamia Mbeya? Ni muongo yule kaka anaweza kukufanya ukahiona unapendwaa Dunia nzima upo wewe tu kumbe kawapanga kila mkoa.Kimbia
Mi siishi mbeyaUwiii sio yule aliyekuwaga Songea teaching college Sasa kahamia Mbeya? Ni muongo yule kaka anaweza kukufanya ukahiona unapendwaa Dunia nzima upo wewe tu kumbe kawapanga kila mkoa.Kimbia
Karibu[emoji4][emoji4][emoji4] tunaweza kuwa wa kudumu pia.. kila kitu si maelewano tu
Hahhahaha unanichekeasha SanaNakuja chumbani(pm) chap.watu wale pilau mwaka huu
ila hutoniamba hela hadi tuzoeana kwanza au 😊Karibu
Wee mi siombagi Hela bwana ACHA uoga Kwan weñgine wanakuombaga Hela??? Kila MTU na tabia zake usizan Kila MTU anaomba ombaila hutoniamba hela hadi tuzoeana kwanza au [emoji4]
Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Ndio mana moto Wangu umegoma.kukubali aiseeUsinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
Kwisha habari yako,ushapendaMaana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Ukishaliwa kichwa ndo utaelewa kama anakupenda ama la sasa uamuzi ni wakoMaana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
basi unanifaaa kabisaa sweet baby malikia balqiis 😊Wee mi siombagi Hela bwana ACHA uoga Kwan weñgine wanakuombaga Hela??? Kila MTU na tabia zake usizan Kila MTU anaomba omba
Hahhahaa atakae uwin moyo wangu tunakula pilau[emoji23][emoji23][emoji23]basi unanifaaa kabisaa sweet baby malikia balqiis [emoji4]