Mwanaume alieanza kujitafutia sio sawa kumtumia pesa mama badala ya baba, Sio sawa hata kidogo kusema nani kama mama

Mwanaume alieanza kujitafutia sio sawa kumtumia pesa mama badala ya baba, Sio sawa hata kidogo kusema nani kama mama

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Hii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.

Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?

SULUHISHO:

Tuma pesa kwa wote na wathamini wote bila upendeleo
 
heeeee? sacrifice ya mama ni kubwa mnoooo,

alafu watu wamelelewa kwenye malezi tofauti so huwezi mforce mtu amtumie baba wakati amekua akiona mama ndo anampambania kwa kila kitu

wacha kila mtu ashinde mechi zake afanye awezalo
 
heeeee? sacrifice ya mama ni kubwa mnoooo,

alafu watu wamelelewa kwenye malezi tofauti so huwezi mforce mtu amtumie baba wakati amekua akiona mama ndo anampambania kwa kila kitu

wacha kila mtu ashinde mechi zake afanye awezalo
Naona umeshiba chakula cha mchana hapo nyumbani
 
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2

Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.

Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
 
Hii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.

Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?
Tuma Kwa wote au laa Kwa baba atafikisha kwenye familia
 
Hii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.

Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?
Sioni kama tatizo, hasa kama baba na mama wanaishi vizuri.
 
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2

Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.

Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
1692790389086.png
 
🤣🤣🤣 Ngoja nikauchungulie huo uzi unaotumia ID ya THECODONT afu nitaleta mrejesho mzuri.
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2

Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.

Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
 
🤣🤣🤣 Ngoja nikauchungulie huo uzi unaotumia ID ya THECODONT afu nitaleta mrejesho mzuri.
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2

Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.

Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
 
Msiwe mnawapeleka watoto wenu shule za gharama ( English Mediums) wapelekeni kayumba na tuition ya nguvu( English na Maths) seco wasome kayumba ( 1-6) chuo watapata ufafhili wa serikali ( mkopo) hamtakuwa mmetumia gharama nyingi sana hata baadae watoto wakija kuzingua.

Imagine umsomeshe shule za mamilioni halafu aje kuzingua.

Pesa nyingine fanya mambo mengine ya kimaendeleo jijenge ili hata wakija kuzingua uwe na sehemu yako
Hii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.

Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?

SULUHISHO:

Tuma pesa kwa wote na wathamini wote bila upendele
 
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2

Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.

Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
Million 8 ya kuchora mwambie aweke screenshot ya muamala huo Million 2 uone
 
Back
Top Bottom