Naona umeshiba chakula cha mchana hapo nyumbaniheeeee? sacrifice ya mama ni kubwa mnoooo,
alafu watu wamelelewa kwenye malezi tofauti so huwezi mforce mtu amtumie baba wakati amekua akiona mama ndo anampambania kwa kila kitu
wacha kila mtu ashinde mechi zake afanye awezalo
Tuma Kwa wote au laa Kwa baba atafikisha kwenye familiaHii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.
Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?
Sioni kama tatizo, hasa kama baba na mama wanaishi vizuri.Hii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.
Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?
utajiju π π πNaona umeshiba chakula cha mchana hapo nyumbani
THECODONT ni ID yako mpya
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2
Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.
Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
Wewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2
Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.
Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee
haswaaaaSioni kama tatizo, hasa kama baba na mama wanaishi vizuri.
π€£π€£π€£ Hapa tu ndio JF huwa inanichoshaπ€£π€£π€£ Ngoja nikauchungulie huo uzi unaotumia ID ya THECODONT afu nitaleta mrejesho mzuri.
Aisee.... π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hapa tu ndio JF huwa inanichosha
πππAisee.... π€£π€£π€£
we bamdogo weweMamdogo, kwa hili hatupo pamoja kabisa. Embu msikilize huyu hapa chini;
Mamdogo, nimeshindwa kuipandisha video clip. Ngoja nihangaike niiweke usikilizewe bamdogo wewe
Hii ni maada kwajili ya wanaume ambao tayari wameanza kujipambania na wanajua hali ilivyo, wale ambao bado hamjaanza au mna shughuli zenu ila mnakaa kwa wazazi mpishe kidogo.
Wewe mwanaume ambae ni kichwa cha familia na unajua jinsi upambanaji ulivyo, umepambana kutafuta pesa ya chakula, kujenga, nguo, elimu ya watoto alafu siku mtoto wako wa kiume tena yule wa kwanza kaanza kupambana kivyake pesa anatuma kwa mke wako, wewe unajisikiaje kama kichwa cha familia ? anasema nani kama mama, utajisikiaje ?
SULUHISHO:
Tuma pesa kwa wote na wathamini wote bila upendele
Million 8 ya kuchora mwambie aweke screenshot ya muamala huo Million 2 uoneWewe ni THECODONT, unatumia IDs mbili. Kuna uzi umemaliza kuandika dakika chache zilizopita na id yako mpya umepokea milioni 8 ukamtumia mama milioni 2
Halafu huku unakuja kujipinga kwa kusema pesa atumiwe baba.
Watu mna mbinu.... Hapo unataka tu nyuzi zote zitembee